Manula out Kariakoo derby ya kesho

Sisi kama wananchi hatutaki mambo kama hizi .tuna taka mje kamili msije anza visingizio iki wapendeza muingia 13 uwanjani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mmevurugwaa kweliii.
 
Semaaa tenaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatutaki.......!!!!! sisi tunataka wote watimie hatutaki visingizio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msalimieee Nabi kumbe kiswahili anakijua vizuri kabisaaa, khaaaah

Nimechekaa hadi baas.
 
Reactions: Tui
Njooo hapa usemee maneno yako tenaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utopwiseeee wee.
 
Dah! Naona hofu imekujaa kweli kweli mkurugenzi! Imagine wachezaji muhimu kama hao wanakosekana kwenye mechi ngumu kama hii ya leo!

Hivi wakina Mayele si watakuwa wanatetema tu ndani ya dakika zote 99!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee bahati yako, Una mdomo sanaa wee, bila kuogopaa Ban ningekufurahishaaa. Wallah
 
Wacha wee
 
Haya sasa tupe Majibu baadae Kipigo Heavy Weight
 
Shabaniiiiiii
ulisema veve kipa daka mishale mbona kwepa mpira sasaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…