Ntwa A. Katule
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 239
- 230
Hii ni based na experience yako au overall review ya mtandaoni? Mimi binafsi nimefanya biashara kupitia alibaba na aliexpress ni subsidy ya alibaba. Labda mzigo uchelewe tu lakini suala la kutapeliwa halipo kwa upande wao hasa kama umelipia kupitia mfumo wao wa malipo. Na pia kama items ni more valuable no bora ukatumia DHL. Post office mzigo unaweza potea kwa uzembe wa watu wa posta ukamlaumu supplier..Aliexpress wameweka option, yaani mzigo ukishafika items kadhaa wanakulazimisha kutumia premium courier services...Labda uwe una order items moja moja au mbili kutoka supplkier mmoja. Lakini kama ni mzigo wa maana huo inabidi utumie tu DHL au Premium shipping ya aliexpressKuwa makini na aliexpress matapeli wengi, mizigo kuchelewa, kuibiwa ela kwenye akaunti.. Secured online purchase na uhakika wa kufika mizigo kwa haraka utapata ebay na amazon..
View attachment 496163 View attachment 496164