Manunuzi makubwa aliyofanya Floyd Mayweather

Mwisho wa yote haya ni kanafasi kadogo chini ya ardhi chenye urefu wa futi sita kwenda chini. Mungu tupe hekima na busara waja wako.
 
Lazima aizungushe hiyo pesa kwa kiwango kikubwa sana or else yatamkuta yaliyomkuta Mike Tyson...
Ila hapo kwenye Bugatti hongera zake...


Cc: mahondaw
 
Basi sawa bwana..hata mimi huku Mwanza ( RockCity ) nina mjengo wa milion 35,Rav4 na Starlet moja matata sana inanipeleka popote,Shy town,Musoma,Dodoma n.k
Kiufupi mimi na Mayweather ni kama maisha yetu yana fanana tu na sote tutakufa siku moja

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Akina beyonce jayz, diddy wana mihela kumzidi na wametulia tuli. Huyu asojua kusoma mbwembwe nyiiingiii usijute halipi hata taxes baada ya mida tusikie ka file bankruptcy [emoji849][emoji849]
Sema hufuatilii habari za mastar.... Jay Z alienda likizo akakodi meli ya kifahari Bilion moja kwa siku moja tu.... Kuna watu wanatumia hela, sema huyu Flyde amekuwa star kwa kipindi hiki ndiyo maana anafuatiliwa sana na mapaparazi.....
 
Sema hufuatilii habari za mastar.... Jay Z alienda likizo akakodi meli ya kifahari Bilion moja kwa siku moja tu.... Kuna watu wanatumia hela, sema huyu Flyde amekuwa star kwa kipindi hiki ndiyo maana anafuatiliwa sana na mapaparazi.....
Difference is JayZ hafanyi show offs za kijinga kama Mayweather. Floyd kawa star ghafla na dharau nyingi zinampanda kichwani. Jamaa dharau selfish plus abusive sana. Yet dumb as hell.
Akajifunze hata kusoma basi.
 
Difference is JayZ hafanyi show offs za kijinga kama Mayweather. Floyd kawa star ghafla na dharau nyingi zinampanda kichwani. Jamaa dharau selfish plus abusive sana. Yet dumb as hell.
Akajifunze hata kusoma basi.
mkuu umejuaje hajui kusoma??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…