Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Kwa nnavo mjua huyo jamaa hushindwi kukuta hata hii thread kaianzisha mwenyeww🥱🙄 Sijaona jipya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya hakuna njaaBasi hiyo ndiyo iliwaleta hapo,na Sugu alijua jinsi ya kuwatumia sababu ya ulafi wao wa nyama.
Tuwekee thread alizowahi kuanzisha hapa jfKwa nnavo mjua huyo jamaa hushindwi kukuta hata hii thread kaianzisha mwenyeww🥱[emoji849] Sijaona jipya!
Sasa sugu aje kuwa discussed hapa jf ili iweje? Watu wangapi wananunua hoho na carrot masokoni hawaandikwiTuwekee thread alizowahi kuanzisha hapa jf
Hao wengine waliwahi kufunga masoko ?Sasa sugu aje kuwa discussed hapa jf ili iweje? Watu wangapi wananunua hoho na carrot masokoni hawaandikwi
Sasa sisi tutaaminije kuwa alifunga soko because logically it doesn’t make any sense! Who is he btwHao wengine waliwahi kufunga masoko ?
Mkuu ,ni kuchola si kuchoraLeo hii huko Mbeya Mjini kulikuwa na ziara ya manunuzi ya Nyanya na Mishikaki , iliyofanywa na Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo , Bilionea Joseph Mbilinyi , ambaye pia anafahamika kama Sugu au RealJongwe kama anavyofahamika siku hizi ama waweza kumtambua kama Mfungwa wa kisiasa .
Kama masihara tu akaibuka kwenye soko la Igawilo , ambako alienda kununua nyanya na vitunguu , yaani viungo mbalimbali zikiwemo karoti na pilipili hoho kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kwake , na baadaye wadau wakampeleka hadi eneo la kuchomea mishikaki , ili waitafune kidogo .
Basi bhana kufumba na kufumbua akajikuta amezungukwa na umati ambao haufahamiki ulikotokea ! Hakika huyu jamaa anapendwa Mbeya Mjini ! kwa kifupi ni kwamba Shughuli za soko ni kama zilisitishwa kwa muda kupisha Sugu anunue nyanya yaani ! Ilifika wakati tukahofia kwamba huenda Polisi wangevurumisha mabomu ya machozi , maana umati wake unazidi ule wa mechi ya Yanga VS Al hilal ya Sudan kwa Mkapa.
Kwenye Hili nimejifunza jambo moja kubwa sana , kwamba USISHINDANE NA ALIYEJAALIWA , UTADHALILIKA SANA , wazalamo wana msemo mmoja kwamba , ACHOLILE KACHORA .
Balozi wa Marekani juzi tu kamtembelea Sugu Mbeya , huyu unataka kumfananisha na wabeba majeneza kweli ! una roho ngumu sana !Sasa sisi tutaaminije kuwa alifunga soko because logically it doesn’t make any sense! Who is he btw
Asante kwa Masahihisho , mimi ni mshamba kutoka huko kyela , sasa haya malugha yenu siyajui sana !Mkuu ,ni kuchola si kuchora
😂 unalazimisha nione unachoona wewe?Balozi wa Marekani juzi tu kamtembelea Sugu Mbeya , huyu unataka kumfananisha na wabeba majeneza kweli ! una roho ngumu sana !
Ndio maana vipofu wanavishwa miwani[emoji23] unalazimisha nione unachoona wewe?
Umeshau kusema Mbeya nzima ilitikisika😂Leo hii huko Mbeya Mjini kulikuwa na ziara ya manunuzi ya Nyanya na Mishikaki , iliyofanywa na Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo , Bilionea Joseph Mbilinyi , ambaye pia anafahamika kama Sugu au RealJongwe kama anavyofahamika siku hizi ama waweza kumtambua kama Mfungwa wa kisiasa .
Kama masihara tu akaibuka kwenye soko la Igawilo , ambako alienda kununua nyanya na vitunguu , yaani viungo mbalimbali zikiwemo karoti na pilipili hoho kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kwake , na baadaye wadau wakampeleka hadi eneo la kuchomea mishikaki , ili waitafune kidogo .
Basi bhana kufumba na kufumbua akajikuta amezungukwa na umati ambao haufahamiki ulikotokea ! Hakika huyu jamaa anapendwa Mbeya Mjini ! kwa kifupi ni kwamba Shughuli za soko ni kama zilisitishwa kwa muda kupisha Sugu anunue nyanya yaani ! Ilifika wakati tukahofia kwamba huenda Polisi wangevurumisha mabomu ya machozi , maana umati wake unazidi ule wa mechi ya Yanga VS Al hilal ya Sudan kwa Mkapa.
Kwenye Hili nimejifunza jambo moja kubwa sana , kwamba USISHINDANE NA ALIYEJAALIWA , UTADHALILIKA SANA , wazalamo wana msemo mmoja kwamba , ACHOLILE KACHORA .
Unataka basi na Mimi nimuone sugu kama Baba yangu mbwa wewe ..........Kwanza nikutoe tongotongo Tu namjua before Sana akati alikuwa mlinzi wewe sijui kipindi iko uko wapi?? Mavi wewe.........mwambie akubandue basiKwani kuna binadamu anaishi milele?
Hoja yako ni ya kipuuzi na inaonyesha undani wa kichwa chako!
Hypabolic writing au mubaraghaLeo hii huko Mbeya Mjini kulikuwa na ziara ya manunuzi ya nyanya na mishikaki iliyofanywa na Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo bilionea Joseph Mbilinyi ambaye pia anafahamika kama Sugu au RealJ ongwe kama anavyofahamika siku hizi, ama waweza kumtambua kama mfungwa wa kisiasa.
Kama masihara tu akaibuka kwenye soko la Igawilo ambako alienda kununua nyanya na vitunguu, yaani viungo mbalimbali zikiwemo karoti na pilipili hoho kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kwake, na baadaye wadau wakampeleka hadi eneo la kuchomea mishikaki, ili waitafune kidogo.
Basi bwana kufumba na kufumbua akajikuta amezungukwa na umati ambao haufahamiki ulikotokea! Hakika huyu jamaa anapendwa Mbeya Mjini! Kwa kifupi ni kwamba shughuli za soko ni kama zilisitishwa kwa muda kupisha Sugu anunue nyanya! Yaani ilifika wakati tukahofia kwamba huenda polisi wangevurumisha mabomu ya machozi, maana umati wake unazidi ule wa mechi ya Yanga dhidi Al Hilal ya Sudan kwa Mkapa.
Kwenye Hili nimejifunza jambo moja kubwa sana, kwamba usishindane na aliyejaaliwa, utadhalilika sana. Wazaramo wana msemo mmoja kwamba, "Acholile kachora".
Ndo wafuasi wengi wanavyo aminishwa basi taifa linakuwa kama la wehu🤦🏽♀️Ndio maana vipofu wanavishwa miwani
Aitoe wapi? Na vile Erythrocyte ni Kihiyo wa IT hawezi hata kuedit video akaunga ungaWatu wako busy na maisha,, siku hizi, anyway weka vindeo tuone