Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah....xx za nini sasa kwa jumuiya hii mkuu?Naunga mkono hoja hata mm nitampa. Kura yangu Kwa kuwa ni mtu anayejua kujennga hoja na bungeni xx kumepwaya Kwa kukosekana upinzani najua tutakuwa tumejifjnza tuliwapenda xna
Bunge Kama limemwagiwa maji, hovyooo.Kilaza hana uwezo wa kumtoa Dk Tulia
Uzi bila picha ni batiliLeo hii huko Mbeya Mjini kulikuwa na ziara ya manunuzi ya nyanya na mishikaki iliyofanywa na Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo bilionea Joseph Mbilinyi ambaye pia anafahamika kama Sugu au RealJ ongwe kama anavyofahamika siku hizi, ama waweza kumtambua kama mfungwa wa kisiasa.
Kama masihara tu akaibuka kwenye soko la Igawilo ambako alienda kununua nyanya na vitunguu, yaani viungo mbalimbali zikiwemo karoti na pilipili hoho kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kwake, na baadaye wadau wakampeleka hadi eneo la kuchomea mishikaki, ili waitafune kidogo.
Basi bwana kufumba na kufumbua akajikuta amezungukwa na umati ambao haufahamiki ulikotokea! Hakika huyu jamaa anapendwa Mbeya Mjini! Kwa kifupi ni kwamba shughuli za soko ni kama zilisitishwa kwa muda kupisha Sugu anunue nyanya! Yaani ilifika wakati tukahofia kwamba huenda polisi wangevurumisha mabomu ya machozi, maana umati wake unazidi ule wa mechi ya Yanga dhidi Al Hilal ya Sudan kwa Mkapa.
Kwenye Hili nimejifunza jambo moja kubwa sana, kwamba usishindane na aliyejaaliwa, utadhalilika sana. Wazaramo wana msemo mmoja kwamba, "Acholile kachora".
Kwani Tulia alishinda? Au alipewa na mwendazake?Baada ya kupita kimya kirefu takribani miaka miwili siku ya jana aliyewahi kuwa mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi Maarufu kama Sugu, alionekana mitaani huku akishangiliwa kwa nguvu sana na Vijana.
Hii ni picha inayoashiria kuwa amerejea kwenye kutafuta jimbo ambalo kwasasa linashikiliwa na Tulia Ackson Spika wa bunge la JMT.
Wananchi mbalimbali wa Mbeya wametoa maoni yao kuwa Sugu akiamua kugombea tena Mwaka 2025 ataibuka na ushindi wa kishindo.
Huu ndiyo muda wa Siasa tunazozipenda.
Welcome back Sugu.
Sugu ni mnyakyusa?Hakuna mnyakyusa anayekubali kutawaliwa na mwanamke
Baada ya kupita kimya kirefu takribani miaka miwili siku ya jana aliyewahi kuwa mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi Maarufu kama Sugu, alionekana mitaani huku akishangiliwa kwa nguvu sana na Vijana.
Hii ni picha inayoashiria kuwa amerejea kwenye kutafuta jimbo ambalo kwasasa linashikiliwa na Tulia Ackson Spika wa bunge la JMT.
Wananchi mbalimbali wa Mbeya wametoa maoni yao kuwa Sugu akiamua kugombea tena Mwaka 2025 ataibuka na ushindi wa kishindo.
Huu ndiyo muda wa Siasa tunazozipenda.
Welcome back Sugu.
Mtaje tu ni yule njiti anayebana puaAisee jamaa anakubalika Mbeya imezizima kukatiza kitaa tu
Kunamutu kanuna balaaa.....
Kwa uchaguzi huru kabisa na wa haki, Tulia hawezi kupata hata nusu ya kura za Sugu.Sugu ni mnyakyusa?
Mbeya ni ya Wasafwa lakini Sugu ni mkinga na mbunge Msomi wa sasa ni Mnyakyusa
Yuko ki fb zaidiDah....xx za nini sasa kwa jumuiya hii mkuu?
Umeelewa hoja yake?Sugu ni mnyakyusa?
Mbeya ni ya Wasafwa lakini Sugu ni mkinga na mbunge Msomi wa sasa ni Mnyakyusa
.Kwa uchaguzi huru kabisa na wa haki, Tulia hawezi kupata hata nusu ya kura za Sugu.
Sugu, kwa Mbeya, anapendwa na anaheshimika sana.
Hana hoja Wasafwa hutawaliwa na yoyoteUmeelewa hoja yake?
Kilaza mama yakoKilaza hana uwezo wa kumtoa Dk Tulia
Sasa si abaki na urais ubunge amwachie tuliaKweli kbsa yule ni Rais wa mbeya
Sio kweli mkuu tulia aliweza kujenga Imani ya wana mbeya na alishinda ila awami ya 6 wameua Imani yote ya wana mbeya kwa ccm hivyo sugu atashinda tena kama akigombea wanambeya waje kuniprove wrong usiongee kishabikiTulia alipewa tu hilo jimbo na yule jamaa yenu. Hakushinda kwa kura.