Manunuzi ya Joseph Mbilinyi Sugu kwenye Soko la Igawilo huko Mbeya Mjini yaleta mtikisiko mkubwa

Sugu fighter kitambo
Salute sana kwake

Ova
 
Uzi bila picha ni batili
 
Kwani Tulia alishinda? Au alipewa na mwendazake?
 

Picha ipo wapi mzee baba...
 
Tulia alipewa tu hilo jimbo na yule jamaa yenu. Hakushinda kwa kura.
Sio kweli mkuu tulia aliweza kujenga Imani ya wana mbeya na alishinda ila awami ya 6 wameua Imani yote ya wana mbeya kwa ccm hivyo sugu atashinda tena kama akigombea wanambeya waje kuniprove wrong usiongee kishabiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…