Manunuzi ya Joseph Mbilinyi Sugu kwenye Soko la Igawilo huko Mbeya Mjini yaleta mtikisiko mkubwa

TUme ya kupiga kura itakata tu jina lake.Siku hizi hatufati kura bali ni matakwa ya tume
 
Vijana huwa hawana akili,wasituletee balaa mwisho wa siku serikali ikaghairisha miradi yote waliyopanga kufanya Mbeya Kwa heshima ya Speaker..

Kigoma baada ya kuachana na wapinzani miradi imeanza kuja.
 
Kwa uchaguzi huru kabisa na wa haki, Tulia hawezi kupata hata nusu ya kura za Sugu.

Sugu, kwa Mbeya, anapendwa na anaheshimika sana.
Kwa maslahi ya Mkoa wa Mbeya Sugu hafai ila kama wanataka kuendelea kuwa hovyo basi wamchague Sugu.
 
Sio kweli mkuu tulia aliweza kujenga Imani ya wana mbeya na alishinda ila awami ya 6 wameua Imani yote ya wana mbeya kwa ccm hivyo sugu atashinda tena kama akigombea wanambeya waje kuniprove wrong usiongee kishabiki
Kwa nini? Wakati Kwa sasa ndio kuna nafuu na miradi inakuja kwa jina la Speaker..

Binafsi siwezi mchagua Sugu maana hana faida kwa Mbeya Wala Taifa.
 
Naunga mkono hoja hata mm nitampa. Kura yangu Kwa kuwa ni mtu anayejua kujennga hoja na bungeni xx kumepwaya Kwa kukosekana upinzani najua tutakuwa tumejifjnza tuliwapenda xna
Acha vioja mkuu ,hoja gani amewahi Jenga Sugu?

Amekuwa mbunge wenu miaka 10 nini alibadilisha hapo Mjini?

Kama mnapenda Maendeleo chagua Tulia ila kama unapenda hadithi zisizo na msingi chagua Sugu na Chadema.
 
Wamrudishe Johnson wangu; I like him.
Yaani huyu mtu nimetokea kumpenda tu sijui kwa nini. Hata ile appearance yake tu huwa inanivutia sana.
 
Mbeya siyo jiji Ni Kijiji kubwa mno ,nawashanga[emoji6][emoji38] Sana wanaosifia mbeya

Back to siasa kama mbeya wanataka maendeleo ya kwelii bas waendelee tu kuwachagua wanna ccm uzuri pia wanaccm wengi Ni wasomi wa Hali ya juu hvyo nimatumaini yangu kuwa mbeya wasijichanganye wakamchagua sugu au mpinzani kwa Sasa

Hyo baraba ya njia nne mtasahau
 
Ni maandalizi ya mikutano ya hadhara Nchi nzima.

CCM must die Nchi iwe HURU.

Ameeen.
 


"Naam, walitupora tittle tukabaki na Respect. Tutatumia Respect kuisaka na kuitafuta Tittle. Hakika SUGU, Heche, Msigwa, Mbowe, John Mnyika, n.k nawakubali na naamini ikipatikana Katiba Mpya ya Jaji mstaafu Mzee WARIOBA M4C 2024 Mitaa yote na vijiji vyote vya Tz, vitarudi M4C"
 
K
Naona kaamua kupita sokoni nadhani ni Kabwe hapo, eneo lenye wananchi wa kima cha chini ndio sehemu sahihi mwanasiasa unaweza pata picha kama unakubalika au lah
Kabwe mpaka sterio mtu utajua kila kitu bila kusahau masela wa uyole na nzovwe kwa mbali stendi ya mbalizi
 
muite UNCLE SUGU
 
Kabadilisha nn???
Hospital ya Kanda,
Tactic inakuja na kifurushi Cha kuzidi kuna stand mpya,kuna kituo Cha daladala na Bajaji,kuna masoko 2 yanaboteshwa na ujenzi wa soko jipya kabisa na Kuna barabara kibao za lami..

Kubwa zaidi kawezesha kupatikana eneo la kujengwa Chuo kikuu Cha Udsm kule Tanganyika packers,kawezeshwa kujengwa kwa hospital ya Ocean Road pale TBC .

Mwisho njia 4 zinaanza kujengwa mapema mwaka ujao.
 
Mbona nyie wapambavu mnoooo,, katika majimbo yote yalioyotoka wapinzani mengi yalikuwa yale yaliyoendelea hasa mijini vijijini walijaa chama tawala,,,
Sehemu ambayo maendeleo yataendelea kwa kasi ni sehemu zenye mchanganyiko wa watu hasa makabila tofauti...
Sehemu ambayo maendeleo au maeneo hakuna makabila mchanganyiko kunakuwa na maendeleo duni ndiko chama changu tawala kimejichimbia mnoo..
Twaweza_____ CCM inapendwa na wazee maskini na watu wasiojitambua hasa vijijini .,
Twaweza______CHADEMA inapendwa na vijana, wasomi, matajiri na wanaojitambua na inapendwa hasa mijini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…