Manunuzi ya Joseph Mbilinyi Sugu kwenye Soko la Igawilo huko Mbeya Mjini yaleta mtikisiko mkubwa

Duh kwa nafsi yako kabisa unaamini tulia alishinda Ubunge halali Mbeya...?

Mungu hadhihakiwi....
Anayetangazwa mshindi, ndie mshindi!. The end justifies the means!. Kwenye the African democracy, ushindi does not depends on the vote cast, but the vote count!. Hivyo kama Dr. Tulia ameshinda kwa vote count akiwa just Naibu Spika!, akiwa Spika atapita bila kupingwa!.
P
 
mtafutieni Jimbo lingine , vinginevyo mtapoteza spika wenu
Kiukweli wengi humu ni very short sighted, wengine ni myopia!. Samia aliposema 2025 tunataka kusimamisha mgombea mwanamke, jee mnamjua ni nani?.
Open your eyes!.
P
 
Brother unampigia mbuzi gitaa huyo jamaa kanywa maji ya bendera hasikii wala hambiwi.
Huna lolote wewe , subiri posho tu , mtu ambaye hata chama chenyewe hakijui anawezaje kuwa na sauti ? ataburuzwa tu na akina Pinda , angalia timu iliyorudi madarakani baada ya yeye kuapishwa
 
Huna lolote wewe , subiri posho tu , mtu ambaye hata chama chenyewe hakijui anawezaje kuwa na sauti ? ataburuzwa tu na akina Pinda , angalia timu iliyorudi madarakani baada ya yeye kuapishwa
Unatembea na kiwiliwili tu kichwa umewapa hao wa puuzi wenzio, wamekugeuza sigara kali wana kuwasha mbele na nyuma kwa maana wewe mwenyewe hujuelewi kama sigara kali.
 

Siku wakiruhusu siasa itakuwa raha Sana. Huku Wenje, kule mnyika, kushoto Sugu, kulia Madam Ruge, kule pambalu, huku Mwaioaya, pale malisa, hapa Heche na Salum Mwalimu. Long live CHADEMA my only party since I was born.
 
Haaaaaaaaah nimecheka sana Huyu Sugu ambaye habari yake imeisha Mbeya
 
Watu wako busy na maisha,, siku hizi, anyway weka video tuone
Walimpokea kwa shangwe wakijua atanunua vitu kibao kumbe fix tu

Mtu yeyote ukienda hilo soko na kule kwa wauza Michele barabarani wanakupokea kama mfalme Wakitarajia biashara zao zimepata mtu watauza!! Alienda kuuza sura sokoni.Sokoni sio sehemu ya kuuza sura ni kwenda kununua.Kawapotezea muda wao kwawaacha na njaa zao mauzo sifuri

Yeye yuko tu anawapita kwenda kununua vimishkaki vya elfu 20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…