kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Hujui chochote kuhusu SUGU njia zote na lami zilizoingia mtaani ni kaka SUGU alisimamia akati ccm ilishindwa miaka yoote ya UhuruBasi hiyo ndiyo iliwaleta hapo,na Sugu alijua jinsi ya kuwatumia sababu ya ulafi wao wa nyama.
Viboko hawakai kaburini kiboko kafa kibwege.kuishi sana nao ni mkuu.Sasa nani kiboko anaeliwa na funza au anaepiga kampeni kupitia mishikaki?kkatika jambo lile lile ambalo kiboko mfu alikuwa akilizuia.Kiboko yake Yuko kaburini SASA hivi.........maana huyo ndio alikuwa aangalii mbwembwe za MTU au umaarufu wake
Nilikula block, kila nikipost inakataa, nikaamua kukaa kandoMkuu umeibuka. Ulipoteaga wapi?
Ina maana miaka yote alikuwa anakula chukuchukuKama masihara tu akaibuka kwenye Soko la Igawilo ambako alienda kununua nyanya na vitunguu, yaani viungo mbalimbali zikiwemo karoti na pilipili hoho kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kwake,
Itatuchukua karne kufika safari yetu ni ndefu mnoBasi bwana kufumba na kufumbua akajikuta amezungukwa na umati ambao haufahamiki ulikotokea! Hakika huyu jamaa anapendwa Mbeya Mjini! Kwa kifupi ni kwamba shughuli za soko ni kama zilisitishwa kwa muda kupisha Sugu anunue nyanya!
kilichomkuta niniKiboko yake Yuko kaburini SASA hivi.........maana huyo ndio alikuwa aangalii mbwembwe za MTU au umaarufu wake
Sasa unalia nini ?Walimpokea kwa shangwe wakijua atanunua vitu kibao kumbe fix tu
Mtu yeyote ukienda hilo soko na kule kwa wauza Michele barabarani wanakupokea kama mfalme Wakitarajia biashara zao zimepata mtu watauza!! Alienda kuuza sura sokoni.Sokoni sio sehemu ya kuuza sura ni kwenda kununua.Kawapotezea muda wao kwawaacha na njaa zao mauzo sifuri
Yeye yuko tu anawapita kwenda kununua vimishkaki vya elfu 20
Ndiyo Kile Kile Ameacha Vyotekilichomkuta nini
Sugu sio mngoni wa songea kweliSugu ni mnyakyusa?
Mbeya ni ya Wasafwa lakini Sugu ni mkinga na mbunge Msomi wa sasa ni Mnyakyusa
Jinsia yako tafadhaliWamrudishe Johnson wangu; I like him.
Yaani huyu mtu nimetokea kumpenda tu sijui kwa nini. Hata ile appearance yake tu huwa inanivutia sana.
Sugu ni mkinga wa Makete
Wanamuita Sugu mtu wa mavurugu.Mkuu hii kitu imenishangaza sana , inakuwaje Raia anasimamisha shughuli mitaa yote ?
Dogo tulia weweee. Mbona kaweka video? Mangi bana unakwama wapi?Kwa hiyo hii habari umesimuliwa au?
Ingekuwa umeona ungeweka picha. Porojo tu!
Ndugu yako siyoSugu ni mkinga wa Makete
Jirani yanguNdugu yako siyo
Mgaya, Sanga, Mbilinyi.....Jirani yangu
TweveMgaya, Sanga, Mbilinyi.....