Manunuzi ya Joseph Mbilinyi Sugu kwenye Soko la Igawilo huko Mbeya Mjini yaleta mtikisiko mkubwa

Manunuzi ya Joseph Mbilinyi Sugu kwenye Soko la Igawilo huko Mbeya Mjini yaleta mtikisiko mkubwa

Kiboko yake Yuko kaburini SASA hivi.........maana huyo ndio alikuwa aangalii mbwembwe za MTU au umaarufu wake
Viboko hawakai kaburini kiboko kafa kibwege.kuishi sana nao ni mkuu.Sasa nani kiboko anaeliwa na funza au anaepiga kampeni kupitia mishikaki?kkatika jambo lile lile ambalo kiboko mfu alikuwa akilizuia.
 
Kwani umati unaanzia watu wangapi ili tuwahesabu hao jamaa, tulinganishe na idadi inayofaa kuitwa umati.
 
Kama masihara tu akaibuka kwenye Soko la Igawilo ambako alienda kununua nyanya na vitunguu, yaani viungo mbalimbali zikiwemo karoti na pilipili hoho kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kwake,
Ina maana miaka yote alikuwa anakula chukuchuku
 
Basi bwana kufumba na kufumbua akajikuta amezungukwa na umati ambao haufahamiki ulikotokea! Hakika huyu jamaa anapendwa Mbeya Mjini! Kwa kifupi ni kwamba shughuli za soko ni kama zilisitishwa kwa muda kupisha Sugu anunue nyanya!
Itatuchukua karne kufika safari yetu ni ndefu mno
 
Walimpokea kwa shangwe wakijua atanunua vitu kibao kumbe fix tu

Mtu yeyote ukienda hilo soko na kule kwa wauza Michele barabarani wanakupokea kama mfalme Wakitarajia biashara zao zimepata mtu watauza!! Alienda kuuza sura sokoni.Sokoni sio sehemu ya kuuza sura ni kwenda kununua.Kawapotezea muda wao kwawaacha na njaa zao mauzo sifuri

Yeye yuko tu anawapita kwenda kununua vimishkaki vya elfu 20
Sasa unalia nini ?
 
Back
Top Bottom