Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Upo mzee tena uwe makini sana unaponunua gari ya mfanyakazi wa serikalini maana ukienda kufanya transfer ya jina TRA unaweza kutakiwa ulipe pesa ndefu ya msamaha wakati inaingia TZ,kuna jamaa yangu alitakiwa alipe mln 4 ili abadilishe umiliki
labda kusingekuwa na mafisadi na matumizi ya anasa ya watawalaTupende kulipa Kodi kwa maendelea ya Taifa letu.
[emoji3][emoji3]Sawa mkuu hamuwezi lingana woteHahaha msamaha wa kodi kwa gari ya milioni ishirini na tano? Mshauri huyo jamaa muda wake wa kumiliki magari bado aache kabisa afanye mishe zingine na hiyo hela. Kuomba Exemption kwa subaru SH hata SJG ni matumizi mabaya ya msamaha wa kodi. Bora angekua anaagiza SUBARU SKE/SK9 ya 2018-2024
Kigezo kimoja wapo katika msamaha wa kodi ni umri wa gari usizidi miaka 10, agiza gari kuanzia 2015 na kuendelea.Habari Wana JF Kuna mtu n mtumishi wa umma anataka kuagiza Subaru forester ya 2012 angependa ajue gharama hadi anaiweka mkononi
Pia angependa kujua akipitia process za kuomba msamaaa wa kodi kama mtumishi wa Umma n shingapi atatumia hadi chuma kinamfikia mkononi
Mkuu naona sasa umeamua kujilipua,unehama Toyota😁😁, japo hujacheza mbali na mjapani.Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...
Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Huo msamaha ni wa kisanii sana unahusu import duty pekee halafu gari liwe chini ya miaka 10.Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...
Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Zote hizo wanaenda kulipa faini za mahsksma ya ICSIDNimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...
Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Hakuna namna mkuu maana Leo jioni hii ndiyo chuma nimekabidhiwaMkuu naona sasa umeamua kujilipua,unehama Toyota😁😁, japo hujacheza mbali na mjapani.
Hizi Xt zinaunguza Turbo kinoma na ni bei hatariHakuna namna mkuu maana Leo jioni hii ndiyo chuma nimekabidhiwa View attachment 3058012View attachment 3058011
Tena mkuu unechukua yenye turbo...Hongera boss kubwa.Hakuna namna mkuu maana Leo jioni hii ndiyo chuma nimekabidhiwa View attachment 3058012View attachment 3058011
Pamoja mkuuTena mkuu unechukua yenye turbo...Hongera boss kubwa.
Hakuna gari imekamilika duniani, watu tunaogopa magari ya kijerumani na bado yananunulika kama pipiHizi Xt zinaunguza Turbo kinoma na ni bei hatari
Hapana unaweza kupata mkuu tuwasiliane ukitaka ingine..Gari ya 2017 sio mchezo bei yake ni ngumu Sana Kwa Sisi tunaungaunga maisha
Poapoa chiefHapana unaweza kupata mkuu tuwasiliane ukitaka ingine..
Safi sana, haystofautiani sana na magari ya Ulaya na USA kwenye uimara ikiwa barabaraniHakuna namna mkuu maana Leo jioni hii ndiyo chuma nimekabidhiwa View attachment 3058012View attachment 3058011
Kabisaa mkuu hizi gari hazina tofauti na BMW hasa kwenye performance na handlingSafi sana, haystofautiani sana na magari ya Ulaya na USA kwenye uimara ikiwa barabarani
Habari kiongozi. Hiyo Forester uliyotoka kulipia ushuru 9.9M ni ya mwaka gani? Maana TRA calculator kwa Forester SH5 2010 inaonesha ni 11.7M.Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...
Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Habari Wana JF Kuna mtu n mtumishi wa umma anataka kuagiza Subaru forester ya 2012 angependa ajue gharama hadi anaiweka mkononi
Pia angependa kujua akipitia process za kuomba msamaaa wa kodi kama mtumishi wa Umma n shingapi atatumia hadi chuma kinamfikia mko
Hizo chuma zina horsepower kubwa so zinabugia sana wese mkuu....so jiandaeMkuu nifafanulie hii imekaaje anataka kuagiza ya kutembelea hyo Subaru forester je itamgarimu bei gani akishapata huo msamaha