Manunuzi ya Subaru Forester

Manunuzi ya Subaru Forester

Huo msamaha wa Kodi Kama mtumishi wa umma sijawah kuusikia.

Wazoefu karibuni .

Extrovert
Upo mzee tena uwe makini sana unaponunua gari ya mfanyakazi wa serikalini maana ukienda kufanya transfer ya jina TRA unaweza kutakiwa ulipe pesa ndefu ya msamaha wakati inaingia TZ,kuna jamaa yangu alitakiwa alipe mln 4 ili abadilishe umiliki
 
Kama mtu una msamaha si bora uvute Harrier ya 2014 au kama Forester iwe 2017 hivi.

Vipi na wastaafu wanahusika?
 
Hahaha msamaha wa kodi kwa gari ya milioni ishirini na tano? Mshauri huyo jamaa muda wake wa kumiliki magari bado aache kabisa afanye mishe zingine na hiyo hela. Kuomba Exemption kwa subaru SH hata SJG ni matumizi mabaya ya msamaha wa kodi. Bora angekua anaagiza SUBARU SKE/SK9 ya 2018-2024
[emoji3][emoji3]Sawa mkuu hamuwezi lingana wote
 
Habari Wana JF Kuna mtu n mtumishi wa umma anataka kuagiza Subaru forester ya 2012 angependa ajue gharama hadi anaiweka mkononi

Pia angependa kujua akipitia process za kuomba msamaaa wa kodi kama mtumishi wa Umma n shingapi atatumia hadi chuma kinamfikia mkononi
Kigezo kimoja wapo katika msamaha wa kodi ni umri wa gari usizidi miaka 10, agiza gari kuanzia 2015 na kuendelea.
Sikukatishi tamaa lakini kodi inayotolewa ni ushuru wa forodha (import duty) tu ni ndogo sana kodi nyingine zinabaki kama zilivyo.
 
Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...

Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Mkuu naona sasa umeamua kujilipua,unehama Toyota😁😁, japo hujacheza mbali na mjapani.
 
Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...

Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Huo msamaha ni wa kisanii sana unahusu import duty pekee halafu gari liwe chini ya miaka 10.
Gari zenye umri huo bei zimechangamka kwa hiyo unakwepa import duty bila unafuu
 
Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...

Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Zote hizo wanaenda kulipa faini za mahsksma ya ICSID
 
Mkuu naona sasa umeamua kujilipua,unehama Toyota😁😁, japo hujacheza mbali na mjapani.
Hakuna namna mkuu maana Leo jioni hii ndiyo chuma nimekabidhiwa
IMG-20240731-WA0031.jpg
IMG-20240731-WA0033.jpg
 
Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...

Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Habari kiongozi. Hiyo Forester uliyotoka kulipia ushuru 9.9M ni ya mwaka gani? Maana TRA calculator kwa Forester SH5 2010 inaonesha ni 11.7M.

Pia ningependa kujua Ushuru unalipia baada ya documents kufika au hadi gari ikifike?
 

Attachments

  • Screenshot_20240807_191409_Firefox.jpg
    Screenshot_20240807_191409_Firefox.jpg
    516.3 KB · Views: 18
Habari Wana JF Kuna mtu n mtumishi wa umma anataka kuagiza Subaru forester ya 2012 angependa ajue gharama hadi anaiweka mkononi

Pia angependa kujua akipitia process za kuomba msamaaa wa kodi kama mtumishi wa Umma n shingapi atatumia hadi chuma kinamfikia mko

Mkuu nifafanulie hii imekaaje anataka kuagiza ya kutembelea hyo Subaru forester je itamgarimu bei gani akishapata huo msamaha
Hizo chuma zina horsepower kubwa so zinabugia sana wese mkuu....so jiandae
 
Back
Top Bottom