- Thread starter
- #21
Hii michezo ya Tanesco inajulikana toka zama za Msoga empire. Kulikuwa na IPTL na Richmond walichokuwa wanafanya sote tunakijuaš!
Kikubwa ni mtu anatafutiwa ulaji tu humo. Hio Arusha na moshi walikuwa wanatumia nini siku zote kabla ya tamko hilo? Au Makonda alikuwa analala gizani na raia wake?
Tu hakikishiwe ile kampuni aliyepo mtoto wa Mama Samia Abdul ya umeme haipo kwenye tender yeyote kuanzia huko Kenya