Manunuzi ya umeme wa Ethiopia ni wizi tusiwe wajinga!

Manunuzi ya umeme wa Ethiopia ni wizi tusiwe wajinga!

Hii michezo ya Tanesco inajulikana toka zama za Msoga empire. Kulikuwa na IPTL na Richmond walichokuwa wanafanya sote tunakijua😂!

Kikubwa ni mtu anatafutiwa ulaji tu humo. Hio Arusha na moshi walikuwa wanatumia nini siku zote kabla ya tamko hilo? Au Makonda alikuwa analala gizani na raia wake?

Kama tatizo ni service lines basi wazikarabati upya ili grid iwafikie. Kuna bwawa nyumba ya Mungu kwanini wasi utilize hilo bwawa😇?
Mimi naendelea kusema,Mtanzania ni mtu mwenye Roho mbaya sana.
Hasa hawa Viongozi wetu.

Ukimwangalia Msigwa siku akiwa pale Bwawani(Nyerere Dam) kama huna akili unaweza sema Umeme hakuna shida tena imeisha.

Ni watu wenye roho mbaya na wabinafsi ndio sifa zao hizo.

Wameshindwa kuboresha Nyumba ya Mungu?
Kuna Upepo wa Same pale mwingi na wa kutosha.
Kuna Upepo Singida hapo wa kutosha.

Umeme mwingi unapotea njiani..😀😀😀😀 hizi substation za kupoze na kuongeza nguvu zinafanya nini?

Huku kusini tu umeme bado mbugila mbugila aisee....

Roho mbaya ndio imetawala hakuna kingine.
 
Shida ya kuchukua hoja juuu bila kufikiria,,,unafikiri eti umeme utatoka moja kwa moja Ethiopia ndo uje Tanzania,,,jua kwamba Ethiopia wanawauzia umeme Kenya,,hivyo umeme utachukuliwa Kenya mpkani na kuingizwa Tanzania
Wewe ni Zuzu mwandamizi
 
Ni wizi na kutafuta njia za kuiba tu. Umeme wa kusini mwa Tanzania unakuaje mbali kuliko umeme wa Ethiopia?

Lakini pili kuna bomba la gas toka mtwara kwanini wasipeleke bomba kaskazini la gas halafu Dar wakatumia umeme wa bwawa!?

Ukweli ndugu zangu ni mazingira ya wizi kwa watoto na ndugu wa vigogo kupewa tender za ajabu ajabu ili wanufaishe familia.

Tanzania haitakiwi kununua umeme wakati wana bwawa na bomba ya gas. Yaani ni maajabu na wizi wa wazi. Tutasikia mtu kapewa tender

Mtoto wa Mama Samia ana kampuni ya umeme imepewa kazi huko Uganda sasa wanamtafutia deal hapa hakuna shida ya umeme. Bomba ya gas lingeweza kupelekwa hadi Nairobi na sisi ndiyo tukauza umeme lakini huko njiani wote wana nufaiaka


View attachment 3265261
See new posts

Conversation​





Yoweri K Museveni
@KagutaMuseveni



I met Mr. Abdul Halim Hafidah Ameir and his delegation from Tanzania. We discussed future cooperation in the area of Energy, especially the power line from Mutukula to Mwanza, which will boost supply on that stretch, leading to the development for both Uganda and Tanzania. I also okayed the proposal from the delegates to go ahead and develop a solar generation plant of 20 Megawatts in Nwoya district, near Olwiyo substation. This electricity will be evacuated onto the main grid and there we shall no longer have issues of electricity in that area.

Mama anapiga dili kwa sifa sasa dah hadi kwenye hili
Nimezielewa Sandals za Museveni.......😛
 
Ni wizi na kutafuta njia za kuiba tu. Umeme wa kusini mwa Tanzania unakuaje mbali kuliko umeme wa Ethiopia?

Lakini pili kuna bomba la gas toka mtwara kwanini wasipeleke bomba kaskazini la gas halafu Dar wakatumia umeme wa bwawa!?

Ukweli ndugu zangu ni mazingira ya wizi kwa watoto na ndugu wa vigogo kupewa tender za ajabu ajabu ili wanufaishe familia.

Tanzania haitakiwi kununua umeme wakati wana bwawa na bomba ya gas. Yaani ni maajabu na wizi wa wazi. Tutasikia mtu kapewa tender

Mtoto wa Mama Samia ana kampuni ya umeme imepewa kazi huko Uganda sasa wanamtafutia deal hapa hakuna shida ya umeme. Bomba ya gas lingeweza kupelekwa hadi Nairobi na sisi ndiyo tukauza umeme lakini huko njiani wote wana nufaiaka


View attachment 3265261
See new posts

Conversation​





Yoweri K Museveni
@KagutaMuseveni



I met Mr. Abdul Halim Hafidah Ameir and his delegation from Tanzania. We discussed future cooperation in the area of Energy, especially the power line from Mutukula to Mwanza, which will boost supply on that stretch, leading to the development for both Uganda and Tanzania. I also okayed the proposal from the delegates to go ahead and develop a solar generation plant of 20 Megawatts in Nwoya district, near Olwiyo substation. This electricity will be evacuated onto the main grid and there we shall no longer have issues of electricity in that area.

Mama anapiga dili kwa sifa sasa dah hadi kwenye hili

Adul ndiye hako kajamaa kafupi?
 
Shida ya kuchukua hoja juuu bila kufikiria,,,unafikiri eti umeme utatoka moja kwa moja Ethiopia ndo uje Tanzania,,,jua kwamba Ethiopia wanawauzia umeme Kenya,,hivyo umeme utachukuliwa Kenya mpkani na kuingizwa Tanzania
Sawa.. vipi tatizo la kupotea Kwa umeme kutokana na njia kuwa ndefu litapungua vipi ukilinganisha na umeme wa Tanzania
 
Back
Top Bottom