Manyanyaso ya Waarabu kwa mabinti wa kazi za ndani

Manyanyaso ya Waarabu kwa mabinti wa kazi za ndani

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Mabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.

Mabinti wanaoajiriwa kutoka Afrika Mashariki kwenda kufanya kazi za ndani katika mataifa ya ghuba wanaendelea kulalamikia jinsi wanavyotendewa vitendo vya kinyama kama kuteswa na hata kubakwa na waajiri wao.

Waarabu inaonekana bado wana fikra za kitumwa hata baada ya hiyo biashara haramu kupigwa marufuku na wakoloni karibu karne moja na nusu iliyopita.
 
Mabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.

Mabinti wanaoajiriwa kutoka Afrika Mashariki kwenda kufanya kazi za ndani katika mataifa ya ghuba wanaendelea kulalamikia jinsi wanavyotendewa vitendo vya kinyama kama kuteswa na hata kubakwa na waajiri wao.

Waarabu inaonekana bado wana fikra za kitumwa hata baada ya hiyo biashara haramu kupigwa marufuku na wakoloni karibu karne moja na nusu iliyopita.
 
Mabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.

Mabinti wanaoajiriwa kutoka Afrika Mashariki kwenda kufanya kazi za ndani katika mataifa ya ghuba wanaendelea kulalamikia jinsi wanavyotendewa vitendo vya kinyama kama kuteswa na hata kubakwa na waajiri wao.

Waarabu inaonekana bado wana fikra za kitumwa hata baada ya hiyo biashara haramu kupigwa marufuku na wakoloni karibu karne moja na nusu iliyopita.
MSIENDE!!! OVA
 
Mabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.

Mabinti wanaoajiriwa kutoka Afrika Mashariki kwenda kufanya kazi za ndani katika mataifa ya ghuba wanaendelea kulalamikia jinsi wanavyotendewa vitendo vya kinyama kama kuteswa na hata kubakwa na waajiri wao.

Waarabu inaonekana bado wana fikra za kitumwa hata baada ya hiyo biashara haramu kupigwa marufuku na wakoloni karibu karne moja na nusu iliyopita.
Hao mataahira bado wanafikiri tuko enzi za utumwa
 
Hivi lengo la kuwapima hawa wadada wa kazi vvu na magonjwa mengine ya zinaa ni nn?

Kama sio kutaka kuwanyatia usiku ?

Waarabu bado wanafikra za zama za watumwa na ubaguzi,
Especially kwa mtu mweusi.
Ukitaka kwenda kusoma arabuni inapimwa vyote,kwa Gaddafi ilikua ukikutwa na malaria unarudishwa,wao UKIMWI hawana,wanajua unaweza kutiana na mmoja wao
 
Hivi lengo la kuwapima hawa wadada wa kazi vvu na magonjwa mengine ya zinaa ni nn?

Kama sio kutaka kuwanyatia usiku ?

Waarabu bado wanafikra za zama za watumwa na ubaguzi,
Especially kwa mtu mweusi.
Kuna duu mmoja jirani aliendaga uko anasema kabla ya kuingia huko unafanyiwa vipimo vyote vya magonjwa ya kuambukiza.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom