Manyanyaso ya Waarabu kwa mabinti wa kazi za ndani

Manyanyaso ya Waarabu kwa mabinti wa kazi za ndani

Hivi lengo la kuwapima hawa wadada wa kazi vvu na magonjwa mengine ya zinaa ni nn?

Kama sio kutaka kuwanyatia usiku ?

Waarabu bado wanafikra za zama za watumwa na ubaguzi,
Especially kwa mtu mweusi.
Nchi zao rate ya HiV ni ndogo sana sababu ya kutunza maadili
,sasa waache kupima Ili wakaue raia wao. HIV haimbukizwi kwa ngono tu hata factor zingine pia.
 
Sema nini mzee baba niunganishe na pisi ya kirangi. Fanya hivyo mkuu
Hahahaha

Id tu hiyo mzee haah

Kuna dem mmja aliendaga huko

Sema hyo dem alikuwa na tako kweli

Aise hPo alipokuwa anakaa alikuwa anapata wakatmgumu sana maana babu,mtoto hadi watoto zao walikuwa wanataka kumla mzigo...
Ila sjui kama alipona,ila alirudigi bongo

Ova
 
Mabinti wa kirangi kutoka mjini kondoa hiyo ndo michongo yao sasa, wanazamia Oman kama hawana akili nzuri, halafu wakirudi holiday wanakuja kuwabeba na wenzao.
Na wanaolewa huko pia.na wanasaidia familia zao.Mshahara wa laki 8 kwa mwezi bila kodi ukitumwa kijijini kwao ndani ya miezi 3 wanajenga nyumba bora ikiwemo kubadili kabisa hali ya maisha kwa familia ikiwemo kusomesha na mitaji pia.
 
Hahahaha

Id tu hiyo mzee haah

Kuna dem mmja aliendaga huko

Sema hyo dem alikuwa na tako kweli

Aise hPo alipokuwa anakaa alikuwa anapata wakatmgumu sana maana babu,mtoto hadi watoto zao walikuwa wanataka kumla mzigo...
Ila sjui kama alipona,ila alirudigi bongo

Ova
Hahaa kumbeee

Waarabu lazima wote familia watakuwa walimpitia mixer kutifua mtaro
 
Hao nao wanayatafuta. Hivi dudu liumalo unalipaje mkono?! Wanajua kabisa kuwa huko pahala hali si hali kwann sasa wanaenda?!
 
Serikali imeshindwa kutoa ajira kwa vijana wake then inawazuia kwenda nje kusaka fursa inataka wabakie nchini wafe njaa.
 
Kuna kabila moja iv Tz hujikuta waharabu kinoma mpka mavazi na wapo wengi knoma huko uarbuni
 
Tanzania houegirl ananyonywa Sana ufanya Kazi nyingi kwa malipo kiduchu Sana mtu anafanya Kazi zaidi yaani ni
1.Mlinzi wa nyumba
2.Mpishi
3.Yaya
4.Dobi
5.Escoter wa kupeleka shule watoto
 
Hivi lengo la kuwapima hawa wadada wa kazi vvu na magonjwa mengine ya zinaa ni nn?

Kama sio kutaka kuwanyatia usiku ?

Waarabu bado wanafikra za zama za watumwa na ubaguzi,
Especially kwa mtu mweusi.

Kitabu chao cha dini kinaruhusu utumwa. Na kinaruhusu mtu kumbaka mtumwa wake
 
Sehemu pekee ambako mfanyakazi wa ndani anaweza asipate manyanyaso ya kijinga ni only USA, some European countries, especially WEST, na Australia....

Kwa maana nyingine, ni Mzungu pekee ndie amestaaribika dhidi ya housemaids....

Kinyume chake, hata Miafrika wenyewe, tunawanyanyasa sana Wasichana wa Ndani hadi mtu unajiuliza hivi unaanzaje kumnyanyasa mtu anayekupikia au kukulea watoto wako!!

Kugonga house girls tunaona kawaida tu huku tukijisahaulisha kwamba anakupa uchi yake most likely kwa sababu hana jinsi... she's innocent!

On serious note: Hivi mnapowagonga hawa mabinti, kunakuwa na mutual agreement au huwa mnavuta tu?!
Huko kwa wazungu sheria zao kali thus ni wazungu wachache wenye kumudu kuajiri house girl inatakiwa umkatie Bima ya afya, mshahara wake ulipe kodi,asajaliwe kwenye taasisi zinazowatambua,umlipe mshahara standard.Awajajiriani kiblack market kama afrika na uarabuni.Pili wazungu wengi hawana rundo la ndugu majumbani kama waafrika na waarabu so kwa kutumia mashine zinafanya KILA kitu sio lazima housekeeper
 
Shida sio uarabu shida umepata tajiri yupi, waarabu wanaoijua dini hawana tabia hizo uwatendea mema na kutambua thamani zao

Wanaoijua dini ipi?

Mbona Kitabu chao cha dini kinaruhusu utumwa. Na kinaruhusu mtu kumbaka mtumwa wake ?
 
Wanaoijua dini ipi?

Mbona Kitabu chao cha dini kinaruhusu utumwa. Na kinaruhusu mtu kumbaka mtumwa wake ?
Mbona hata Biblia yetu inaruhusu kuua.
Kuwa muarabu sio kuwa Muislamu. Mtu anaeijua dini hawezi mtendea mabaya kiumbe chochote
 
Back
Top Bottom