Manyanyaso ya Waarabu kwa mabinti wa kazi za ndani

Manyanyaso ya Waarabu kwa mabinti wa kazi za ndani

Matthew 19:10-12
New International Version
10 The disciples said to him, “If this is the situation between a husband and wife, it is better not to marry."

11 Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given. 12 For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it."

Inaonekana huelewi hayo maandiko yanavyosema. Tuambie wapi hapo imetajwa neno shoga. Rudi tu kwenye dini yako, isiyokuhusu achana nayo, utakuwa mnafiki.

Umeleta biblia ya NIV kwani biblia ni hiyo moja tu ulimwenguni?
Hivi niambie Nani alifanywa eunuch katikau kanisa lako?
 
Waafrika njaa tuitafutie shibe kwingine sio uarabuni. Mwarabu kwake mtu mweusi ni mtumwa pia roho zao ni wanyama kwa mwafrika.

Naona umefurahi hapo , mwafrika umeolewa na mchungaji Mzungu
 

Attachments

  • the-vicar-and-his-nigerian-.jpg
    the-vicar-and-his-nigerian-.jpg
    16.2 KB · Views: 5
Waafrika njaa tuitafutie shibe kwingine sio uarabuni. Mwarabu kwake mtu mweusi ni mtumwa pia roho zao ni wanyama kwa mwafrika.

Thread kama hizi huwa hukosekani mkuu

Mungu aniepushie mbali roho za namna hiyo, hivi unajisikiaje kumchukia mwenzio bila sababu!! Maisha unayafurahia vipi kuwa na kinyongo/chuki na mtu!! Pole sana, nanyi Imeloa Johnny Sack Azarel Don Vill Killing machine

Bhujiku ng'waka wananzengo 👋🏽👋🏽
 
Haya ni malalamiko ya miaka mingi. Kwanini wanaendelea kwenda huko?
Kinachonichosha zaidi ni unafiki wetu waafrika...hivi hapa bongo mabeki tatu hawanyanyaswi??? Why waache kufanya kazi za ndaji hapa na wakimbilie uarabuni??

Hivi kumlipa mfanyakazi wa ndani mshahara wa shilingi elfu 50 au 30 kwa mwezi sio manyanyaso hayo?? Tena mtu akiulizwa anasema si anakula na kulala hapahapa!!! So ana deserve kulipwa sh 50/30k per month??

Je mabeki tatu hawagongwi na baba/watoto wa wenye nyumba hapa Bongo??? Au kwa vile hapa wote ni ngozi nyeusi so hakuna cha ajabu sana ila akifanyiwa vitendo hivyo hivyo na ngozi nyeupe inakuwa msala??

Mimi wapo jamaa zangu wanafanya kazi huko na nawahoji mara nyingi wananambia kuwa inategemea na mabosi kuna ambao ni wakarimu sana kiasi kwamba humlilia mfanyakazi wao pindi mkataba unapoisha na anapotaka kurudi kwao.

Kuna ambao wamepewa hadi pesa waje kuje nyumba huku bongo zisaidie familia zao.

Na pia wapo ambao ni washenzi kama ilivyo hapa kwetu, binti anaweza kupata kazi katika nyumba ambayo bosi ni mlevi, mshenzi mshenzi...ndil hao hufosi wapewe mapenzi. Kama ilivyo hapa bongo tu.

So hizi case zinategemea baina ya mtu na mtu, Sio waarabu wote ni watu wabaya, wengine ni wema kabisa.
 
Wanaume pia tuache unafiki kwa kweli leo hii unaweza ukamto binti kijijini huko ane kuwa beki tatu nyumbani kwako , anapofika huwa hana afya nzuri kutokana na shida za vijijini hasa masuala ya misosi...ila akianza kukaa kwako tu na kula vizuri mwili unaanza kunawiri, tako linatokeza...tayari unaanza kumtamani umle, unavizia tu mkeo akipata safari tu ya kwenda kwao ..wewe huku nyuma unaruka na beki tatu wako. Na huko pia watu hao wapo. Wanawake wa kiafrika wameumbwa wakiwa na maumbo mazuri ya kuvutia....wana matako makubwa kuliko wanawake wa kiarabu ambao wengi huwa ni flat screen!! Sasa unadhani wanaume wa kiarabu nao hawatamani wanawake wenye mizigo??
 
Nilifabya utafiti mdogo kwa wale ambao wanafanyakazi huko uarabuni...wakanieleza kuwa wanawake wa kiarabu huwa wana wivu sana kwa waume zao, yaani hawataki kuwe na contact yoyote baina ya baba mwenye nyumba na mabeki tatu!! Yaani hawataki mazoea, sasa mabinti wengi wa kibongo wanataka ile kuwe na ukaribu kati yao na baba mwenye nyumba!! Hapo ndio vita huanza.


Pia kwa wanaume ni hivyohivyo, unaweza kufanya kazi katika nyumba yao ila usipate nafasi ya kuwaona hata mabinti zao.
 
Wakenya wako wengi sana Saudi Arabia wanafanyakazi za ndani
Serikali ya KENYA imepiga marufuku mabinti zao kwenda Arabunu kwa kazi za ndani.
Hata TANZANIA.
Ukienda Arabuni kwa kazi za ndani go at your own risk, na ukiwa muislam ukirudi lazma uokoke kwa utakavyowachukia waarabu
 
Serikali ya KENYA imepiga marufuku mabinti zao kwenda Arabunu kwa kazi za ndani.
Hata TANZANIA.
Ukienda Arabuni kwa kazi za ndani go at your own risk, na ukiwa muislam ukirudi lazma uokoke kwa utakavyowachukia waarabu
Kuna uhusiano gani kati ya waarabu na Uislamu??? Hujui kuwa hapo Misri, lebanon,iraq,syria, Saudi Arabia wapo waarabu wakristo??

Hujui kama kuna waarabu wayahudi na wapo pia wasiokuwa na dini kwa maana ya wapagani
 
Kuna uhusiano gani kati ya waarabu na Uislamu??? Hujui kuwa hapo Misri, lebanon,iraq,syria, Saudi Arabia wapo waarabu wakristo??

Hujui kama kuna waarabu wayahudi na wapo pia wasiokuwa na dini kwa maana ya wapagani
Hakuna, nimekupa jibu unalolitaka.
 
i always say
its better to miss heaven than to be Muslim...
Mwisho wa siku utatamani walau ungekuwa muislam

Quran 15:2-3

"Perhaps those who disbelieve will wish that they had been Muslims.

Let them eat and enjoy themselves and be diverted by [false] hope, for they are going to know."




"HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.

Waache wale, na wastarehe, na iwazuge tamaa. Watakuja jua."
 


Qur'an (33:50) - "O Prophet! We have made lawful to thee thy wives to whom thou hast paid their dowers; and those (slaves) whom thy right hand possesses out of the prisoners of war whom Allah has assigned to thee"


Qur'an (23:5-6) - "..who abstain from sex, except with those joined to them in the marriage bond, or (the captives) whom their right hands possess..." This verse permits the slave-owner to have sex with his slaves. See also Qur'an (70:29-30).

Qur'an (4:24) - "And all married women (are forbidden unto you) save those (captives) whom your right hands possess." Even sex with married slaves is permissible.

Bukhari (62:137) - An account of women taken as slaves in battle by Muhammad's men after their husbands and fathers were killed. The woman were raped with Muhammad's approval
 
Back
Top Bottom