Manyanyaso ya Waarabu kwa mabinti wa kazi za ndani

Manyanyaso ya Waarabu kwa mabinti wa kazi za ndani

Mabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.

Mabinti wanaoajiriwa kutoka Afrika Mashariki kwenda kufanya kazi za ndani katika mataifa ya ghuba wanaendelea kulalamikia jinsi wanavyotendewa vitendo vya kinyama kama kuteswa na hata kubakwa na waajiri wao.

Waarabu inaonekana bado wana fikra za kitumwa hata baada ya hiyo biashara haramu kupigwa marufuku na wakoloni karibu karne moja na nusu iliyopita.
mimi ata ukinipa billiona kwa mwezi,siendi kufanya kazi arabuni,makatili
sana
 
Mbona hata Biblia yetu inaruhusu kuua.
Kuwa muarabu sio kuwa Muislamu. Mtu anaeijua dini hawezi mtendea mabaya kiumbe chochote

Kuijua dini maana yake ni kufata mafundisho ya dini . Sasa mafundishi ya dini katika kitabu kikuu cha dini yameruhusu utumwa na hata kumbaka mwanamke ambaye ni mtumwa wako.

Kuijua dini maana yake nini? Kama yaliyoandikwa katika kitabu cha dini unayapinga hutaki kuyafanya
 
Kuijua dini maana yake ni kufata mafundisho ya dini . Sasa mafundishi ya dini katika kitabu kikuu cha dini yameruhusu utumwa na hata kumbaka mwanamke ambaye ni mtumwa wako.

Kuijua dini maana yake nini? Kama yaliyoandikwa katika kitabu cha dini unayapinga hutaki kuyafanya
Hapo ni suala la tafsiri tu na hakumaanishi hicho.
Kuijua dini ni kuishi kuendana na mafundisho ya dini husika.
 
Mabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.

Mabinti wanaoajiriwa kutoka Afrika Mashariki kwenda kufanya kazi za ndani katika mataifa ya ghuba wanaendelea kulalamikia jinsi wanavyotendewa vitendo vya kinyama kama kuteswa na hata kubakwa na waajiri wao.

Waarabu inaonekana bado wana fikra za kitumwa hata baada ya hiyo biashara haramu kupigwa marufuku na wakoloni karibu karne moja na nusu iliyopita.
kwani wanalazimishwa kwenda? si wanakwenda huko huku wakijua kwa kuna manyanyaso?
 
Sawa nikweli lazima tukubaliane kama wadogo zetu wananyanyasika ughaibuni nataka kuuliza kwamba kwanini pasikwe utaratibu wa hawa watu kustaki na kufuatiliwa kwa ukaribu kufaham hali zao?
 
Kuijua dini maana yake ni kufata mafundisho ya dini . Sasa mafundishi ya dini katika kitabu kikuu cha dini yameruhusu utumwa na hata kumbaka mwanamke ambaye ni mtumwa wako.

Kuijua dini maana yake nini? Kama yaliyoandikwa katika kitabu cha dini unayapinga hutaki kuyafanya
Kwani kwa mujibu wa kitabu mtumwa aliezungumziwa inatakiwa atoke kwenye mazingira yepi ? Kwasabu hata sisi wabongo hawa ma beki 3 tumewageuza watumwa tunawagonga sana tunawapelekesha sana mishahara midogo sanaa...

Nnachojua kwa mafundisho ya uislam mtumwa anaekubalika kisheria ni mateka wa vita na iyo ipo kweny historia ya mataifa mbalimbali na hao kuwatomba ruksa ila tofauti na hapo unakosea kisheria

Japo kua mimi sio mfia dini ebu nipe ufafanuzi kidogo?
 
Hao akina dada wa kazi wanakaa kizembe sana. Tega sumu kwenye chakula familia nzima ipendeze.
 
Hivi lengo la kuwapima hawa wadada wa kazi vvu na magonjwa mengine ya zinaa ni nn?

Kama sio kutaka kuwanyatia usiku ?

Waarabu bado wanafikra za zama za watumwa na ubaguzi,
Especially kwa mtu mweusi.
1664463724348.png
 
Huko kwa wazungu sheria zao kali thus ni wazungu wachache wenye kumudu kuajiri house girl inatakiwa umkatie Bima ya afya, mshahara wake ulipe kodi,asajaliwe kwenye taasisi zinazowatambua,umlipe mshahara standard.Awajajiriani kiblack market kama afrika na uarabuni.Pili wazungu wengi hawana rundo la ndugu majumbani kama waafrika na waarabu so kwa kutumia mashine zinafanya KILA kitu sio lazima housekeeper
Chifu,

Pamoja na yote hayo lakini bado Wazungu wana kaubinadamu ukilinganisha na hizi races zingine. Hata hizi kazi za kawaida, kwenye kampuni ya mzungu unaweza kuwa treated well, na kulipwa vizuri kuliko kwa Waafrika, middle eastern, na Waasia!!
 
Mabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.

Mabinti wanaoajiriwa kutoka Afrika Mashariki kwenda kufanya kazi za ndani katika mataifa ya ghuba wanaendelea kulalamikia jinsi wanavyotendewa vitendo vya kinyama kama kuteswa na hata kubakwa na waajiri wao.

Waarabu inaonekana bado wana fikra za kitumwa hata baada ya hiyo biashara haramu kupigwa marufuku na wakoloni karibu karne moja na nusu iliyopita
Astaghafilulah.... Waarabu .mnawaandama sana. Hawa hawana makosa kabisa. Ni watu safi sana sio kama hao wazungu wenu ....
 
Why unapotosha vitabu vya watu? Vita ya kidini utaiweza kweli? Maana jamaa wakija hapa na kusema Muhamad alikuwa Mbakaji, Mlawiti hali itachafuka. Si unajua ile habari ya muhamad kuoa mtoto wa miaka 9? Na kumnyonya mate mtoto wa kiume wa dada yake? Watakwambia pia alikuwa mario kwa kuoa mwanamke mkubwa kumzidi tajiri?
 
Why unapotosha vitabu vya watu? Vita ya kidini utaiweza kweli? Maana jamaa wakija hapa na kusema Muhamad alikuwa Mbakaji, Mlawiti hali itachafuka. Si unajua ile habari ya muhamad kuoa mtoto wa miaka 9? Na kumnyonya mate mtoto wa kiume wa dada yake? Watakwambia pia alikuwa mario kwa kuoa mwanamke mkubwa kumzidi tajiri?

Hivi hapo nimeandika mimi ?? Kwani biblia iko moja tu ??
 
Astaghafilulah.... Waarabu .mnawaandama sana. Hawa hawana makosa kabisa. Ni watu safi sana sio kama hao wazungu wenu ....
Huoni uovu wao kwa kuwa unachoona ni dini waliyokuletea basi utafikiri kabla hawajakuletea hiyo dini mababu zako hawakumjua Mungu. Bure kabisa.
 

Matthew 19:10-12
New International Version
10 The disciples said to him, “If this is the situation between a husband and wife, it is better not to marry."

11 Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given. 12 For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it."

Inaonekana huelewi hayo maandiko yanavyosema. Tuambie wapi hapo imetajwa neno shoga. Rudi tu kwenye dini yako, isiyokuhusu achana nayo, utakuwa mnafiki.
 
Mabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.

Mabinti wanaoajiriwa kutoka Afrika Mashariki kwenda kufanya kazi za ndani katika mataifa ya ghuba wanaendelea kulalamikia jinsi wanavyotendewa vitendo vya kinyama kama kuteswa na hata kubakwa na waajiri wao.

Waarabu inaonekana bado wana fikra za kitumwa hata baada ya hiyo biashara haramu kupigwa marufuku na wakoloni karibu karne moja na nusu iliyopita.
Waafrika njaa tuitafutie shibe kwingine sio uarabuni. Mwarabu kwake mtu mweusi ni mtumwa pia roho zao ni wanyama kwa mwafrika.
 
Back
Top Bottom