kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
mimi ata ukinipa billiona kwa mwezi,siendi kufanya kazi arabuni,makatiliMabinti wanaofanya kazi za ndani wanavyonyanyaswa uarabuni.
Mabinti wanaoajiriwa kutoka Afrika Mashariki kwenda kufanya kazi za ndani katika mataifa ya ghuba wanaendelea kulalamikia jinsi wanavyotendewa vitendo vya kinyama kama kuteswa na hata kubakwa na waajiri wao.
Waarabu inaonekana bado wana fikra za kitumwa hata baada ya hiyo biashara haramu kupigwa marufuku na wakoloni karibu karne moja na nusu iliyopita.
sana