Whiteman confusing
JF-Expert Member
- Sep 12, 2020
- 328
- 279
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua teng'o mkuuMbona Wajaluo tuna cheza na muziki?
Mtu aue ndugu zetu eti tumsamehe kweli?mbn yy alikuwa hataki kuwasamehe waliomkosea?dawa ya moto ni moto aiseeeBinadamu hatulingani akili mkuu, Imagine kichaa amekwibia nguo yako nzuri uliyokuwa umeanika nje, je na wewe ukikuta sehemu amelala na yupo na furushi pembeni la makombo kibao, utamwibia ili umkomoe?
Ukinijibu hapo nitakuelewa.
Lastly ubaya hulipwa kwa wema ili hadi wengine waone ubaya uliotendewa. Ukilipwa kwa ubaya watu wataona wewe ndiye uliye na makosa.
Tujifunze kusamehe. But sorry kama nimekuudhi.
Lkn utaanzaje kushangilia kifo cha mwenzako??
Kisheria sijui but kiheshima tu si vzr kushangilia msiba mana huwezi jua badaye yako.
Mmh mbona idd amin ulimuhukum??Ni kukosa ubinadamu. Mtu ameshakufa atajuana na muumba wake hukumu si yetu wanadamu.
Hao walioshikwa inakula kwakoWatashika watu wangapi? Huku kwetu mtaa mzima ni vifijo na nderemo tupu tangu juzi.
Kipindi hiki TBL wanauza aisee.... usipime!!
Na ubaya hana Ubavu wala Ujasiri wa kuonesha hivyoo yani...!!Jamani, naombeni tushangilie kimoyomoyo tu,Hawa POLISI hawajaelewa kuwa mheshimiwa Samia Suluhu ndiye rais,siyo JPM.
yeye alikuwa na roho nzuri?Ila wanadamu siye hata km mtu humpendi unashangilia ili iweje?!!!yaani wanadamu bwanaa!!!roho mbaya tu!mfyuu zenu!!!
Angechunguza vp wakati ni yeye aliyekuwa anapanga hizo njama za mauaji na bila kificho kwa kauli na matamshi aliyokuwa anayatoa ni wazi kabisa kwamba yeye ndio mpangaji wa hayo mauaji so binafsi sijaguswa hata kidogo and watu wanakwenda weng kumuaga lengo ni kuhakikisha kama kweli kakata moto achelewi kufufuka yule unacheza malaika (jokes)!!!!!!!!😀😀😀yeye alikuwa na roho nzuri?
hajawahi kuchunguza shutuma zozote za mauaji, hakujali hata kidogo... watu wamefungwa detention miaka miaka mitano, hajali, wasaidizi wake wamekufa na korona yeye anasema tuko vizuri tisivae barakoa, anajali watu huyo?
Hahahaaaa! Mitano tena!Ile mitano ya nyongeza angeipata bila kupingwa na hata mingine mitano. Nchi aliiweka mfukoni mwake.
Lkn sio uungwana.Watashika watu wangapi? Huku kwetu mtaa mzima ni vifijo na nderemo tupu tangu juzi.
Kipindi hiki TBL wanauza aisee.... usipime!!
Sasa utatofautishaje Kati ya upinzani na ccm Kama wote wanamatendo yanayofanana. Ccm akitukana wapinzani wanalipiza, ccm wakichekelea kifo upinzani nao wanalipiza, mtu apende au ahamie upinzani kwa jema gani kutoka upando huo? Tulitegemea upinzani wawe mfano Mambo kutenda Mambo chanya na sio kulipa visasiVipi ikitokea na mhusika naye alifurahia vifo/mateso ya wenzake enzi za uhai wake? Si ndiyo watu huongelea sasa masuala ya "KARMA" katika hili!!
Sasa utatofautishaje Kati ya upinzani na ccm Kama wote wanamatendo yanayofanana. Ccm akitukana wapinzani wanalipiza, ccm wakichekelea kifo upinzani nao wanalipiza, mtu apende au ahamie upinzani kwa jema gani kutoka upando huo? Tulitegemea upinzani wawe mfano Mambo kwa kutenda Mambo chanya na sio kulipa visasiMtu aue ndugu zetu eti tumsamehe kweli?mbn yy alikuwa hataki kuwasamehe waliomkosea?dawa ya moto ni moto aiseee
Lissu alivyopigwa risasi watu walikatazwa kumuombea. Wabunge wa CCM walipigwa stop kwenda kumtembelea hospitalini Nairobi.Lkn sio uungwana.
Wataachiwa tu mama Samia.Hao walioshikwa inakula kwako
Nipe namba yako yenye whatsapp nikutumie location mkuu!Hahaha mtaa upi huo na Mimi nije kushangilia Mkuu
Hahaha Sawa MkuuNipe namba yako yenye whatsapp nikutumie location mkuu!