Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli

Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli

Sasa Kilimanjaro ndio Uko Manyara? Ni zaid ya makanjanja wale wakosa akili wao wamemiliki Tekno za kutupa pale Manzese washakua waandish..uandishi ni kaz kama kaz nyngne au nasema uongo ndugu zanguuuh
Kaandika Simanjiro pakajimmy we
 
Watashika watu wangapi? Huku kwetu mtaa mzima ni vifijo na nderemo tupu tangu juzi.

Kipindi hiki TBL wanauza aisee.... usipime!!
Ni kawaida ya kila msiba kula na kunywa hasa ikikuta mwenye msiba ni tajiri
 
Ila wanadamu siye hata km mtu humpendi unashangilia ili iweje?!!!yaani wanadamu bwanaa!!!roho mbaya tu!mfyuu zenu!!!

Kila mtu ana namna yake ya kupokea na kuomboleza msiba, wewe kama wa kununa na kulia lia, wengine ni wa kucheka na kuimba pia.
 
Wakazi 8 wa Mererani Wilaya Simanjiro wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kukejeli na kushangilia kifo cha Rais John Magufuli.

Rais John Magufuli amefariki Machi 17 kwa matatizo ya moyo na atazikwa Machi 26, Chato, Mkoani Geita. Taifa lipo katika maombolezo ya siku 21, huku bendera zikipepea nusu mlingoti.
Cc Erythrocyte
 
Na walioshangalia kifo cha Membe wakamatwe pia.
 
Back
Top Bottom