Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Mwalimu Nyerere anabaki kuwa ALAMA ya baraka tele kwa taifa letu adhimu.
Komredi Manyerere Jackton anasema kuwa kila ukikutana na kuongea na Mwalimu Nyerere ulikuwa unaihisi nguvu ya ajabu na ya kipekee ya Mtanzania huyo.....
Anasema kuwa pamoja na ucheshi na misimamo aliyokuwa nayo bado hakuna mtu atakayesema kuwa ALIMFAHAMU VYEMA labda mama Maria Nyerere😍
HASTA LA VICTORIA EL COMANDANTE MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE🙏
SIEMPRE JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TANZANIA KWANZA KABLA YA NAFSI ZETU💪😍👊
#Kazi Iendelee Kwa Kasi &Weledi Zaidi
Komredi Manyerere Jackton anasema kuwa kila ukikutana na kuongea na Mwalimu Nyerere ulikuwa unaihisi nguvu ya ajabu na ya kipekee ya Mtanzania huyo.....
Anasema kuwa pamoja na ucheshi na misimamo aliyokuwa nayo bado hakuna mtu atakayesema kuwa ALIMFAHAMU VYEMA labda mama Maria Nyerere😍
HASTA LA VICTORIA EL COMANDANTE MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE🙏
SIEMPRE JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TANZANIA KWANZA KABLA YA NAFSI ZETU💪😍👊
#Kazi Iendelee Kwa Kasi &Weledi Zaidi