ahahha mimi hayawashi nishazaa hiz ndala haziwezi sumbua !lol
Sidiria Za Mtumba Mnapenda Kuvaa Hayo Ndo Madhara Yakemuwasho muwasho hahahahahah
Hahaha Kama namuona memba wa CHAPUTA anavyokenua Baada ya kuona reply ya Mtoto mrembo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Basi BAK yaishe tu ndugu yangu, msamaheane
hahahahahahahahahah
ahsante sanaPole sana mtani, nenda kwa mtaalamu (daktari) wa magonjwa ya wanawake akupime... Pia usisahau kupima Saratani ya matiti
Nina dawaMficha "nyeti" hapati mtoto.
Yaani ikifika usiku wa manane kuwe na joto au baridi, manyonyo yanawasha sana hadi kwenye chuchu!
Ushauri wenu tafadhali hasa hawa wataalam @sky eclat, na [USER=10655]@Watu8
Ahsanteni sana[/USER]
we unavaa za wapiSidiria Za Mtumba Mnapenda Kuvaa Hayo Ndo Madhara Yake
we unavaa za wapiSidiria Za Mtumba Mnapenda Kuvaa Hayo Ndo Madhara Yake
ππππππ mwe!Nina dawa
Bila shaka yanahitaji huduma ya kushikwa na mkono wangu karibu upate tiba
Huyo si jina lake ni la kiume hawezi kuvaa bra!!!we unavaa za wapi
mh! dawa yako ya Zaire mmmh!Hahaha Kama namuona memba wa CHAPUTA anavyokenua Baada ya kuona reply ya Mtoto mrembo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ahsante sana kwa kunishauri na kunipa pole Mr MakunduchiPole sana nenda kwenye zahanati iliyo karibu upate ushauli
Mficha "nyeti" hapati mtoto.
Yaani ikifika usiku wa manane kuwe na joto au baridi, manyonyo yanawasha sana hadi kwenye chuchu!
Ushauri wenu tafadhali hasa hawa wataalam @sky eclat, na [USER=10655]@Watu8
Ahsanteni sana[/USER]
Kweli kabisa!!! mmmh! saratani uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!Fanya yote uliyo shauriwa hapa kama yanafaa ILA kama wajipenda usiache kwenda hospital ukamuona Docta,Ogopa sana Saratani ya Nyonyo.
Nataka nijue za aina Gani then tujue tufanyeje kuna titi mzigo na kuna tule tunakochoma tumesimama hatariππππ
πππππππππNataka nijue za aina Gani then tujue tufanyeje kuna titi mzigo na kuna tule tunakochoma tumesimama hatari
Nataka nijue za aina Gani then tujue tufanyeje kuna titi mzigo na kuna tule tunakochoma tumesimama hatari