Manyonyo kuwasha sana usiku

Fanya yote uliyo shauriwa hapa kama yanafaa ILA kama wajipenda usiache kwenda hospital ukamuona Docta,Ogopa sana Saratani ya Nyonyo.
Mficha "nyeti" hapati mtoto.

Yaani ikifika usiku wa manane kuwe na joto au baridi, manyonyo yanawasha sana hadi kwenye chuchu!

Ushauri wenu tafadhali hasa hawa wataalam @sky eclat, na [USER=10655]@Watu8

Ahsanteni sana
[/USER]
 
Nataka nijue za aina Gani then tujue tufanyeje kuna titi mzigo na kuna tule tunakochoma tumesimama hatari
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Titi za muhenga hizo huoni kajiunga jf wewe bado unachezea magari ya matete..Zishakua kama Tube isiyokua na hewa
Nataka nijue za aina Gani then tujue tufanyeje kuna titi mzigo na kuna tule tunakochoma tumesimama hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…