Maombi kwa ajili ya Freeman Mbowe yazidi kurindima, leo ilikuwa zamu ya Katavi

Maombi kwa ajili ya Freeman Mbowe yazidi kurindima, leo ilikuwa zamu ya Katavi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wananchi mbali mbali pamoja na waumini wa madhehebu ya Kikristo , leo wameangusha maombi mazito kwa ajili ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, aliyerundikwa Rumande kwa matakwa ya watawala waoga, kwa kesi ya uongo ya Ugaidi ili kumnyamazisha.

Mbowe anakomolewa kwa sababu ya UZALENDO wake wa kuhamasisha uwepo wa Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi , vitu ambavyo watawala hawataki kusikia kwa vile vinahatarisha utawala wao.

Hapa ni Katavi.

Maombi_ya_kumuombea_mwenyekiti_MBOWE__katika_jimbo_la_Kavuu_mkoani_katavi_yaliendelea_leo.%0A#...jpg
 
Jambo wanalofanya la kumuombea ni jema ila kuingia Kanisani na uniforms za chama binafsi naona si sahihi, kila chama kikiamua kifanya hivyo itakuwa chaos.........nadhani kuna jambo vyama inatakiwa viwe makini na hizi Siasa
 
Jambo wanalofanya la kumuombea ni jema ila kuingia Kanisani na uniforms za chama binafsi naona si sahihi, kila chama kikiamua kifanya hivyo itakuwa chaos.........nadhani kuna jambo vyama inatakiwa viwe makini na hizi Siasa
biblia haijakataza mavazi ya chama chochote
 
Uzuri ni kuwa Mungu ni wetu wote. Nasi watanzania tunamuomba atulinde dhidi ya ugaidi wa Mbowe na wenzake . Kwa mapenzi yake mwenye nia yoyote ya kungamiza Tanzania kwa ugaidi ashindwe bila kujali ni nani na ana cheo gani.
Kutoka ndani ya Moyo wako !Mungu aonaye sirini ndani yako na akuhukumu mwenyewe!Na simama na neno katika kitabu cha KUTOKA ,"Alitajae jina la Mungu bure na alaniwe yeye na familia yake"Nami kama mtumishi wa Mungu na simama katika Madhabahu ya Kweli ,Uhukumiwe sawa sawa na maneno yako !Mungu aonekane Leo juu yako na familia yako ,Mungu na ainuke na utukufu wake juu ya maneno yako!
 
Binadamu anaweza kumuombea yeyote yule.

Hata Noriega alikuwa anaombewa kule Panama.

Si ajabu hata Hitler na Himmler walikuwa wanaombewa sana kule BAVARIA.

HIZO NI SIASA NYEPESI SANA
 
Back
Top Bottom