Na ccm pia bila kutusahau sie tusiopenda chama chochoteMungu ibariki Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ccm pia bila kutusahau sie tusiopenda chama chochoteMungu ibariki Chadema
Nguruwe za mama zinajisahau sana.Endelea kumtukana Mungu yakukute ya Mwendaji
Kanisani inabidi uingie na nguo gani?Jambo wanalofanya la kumuombea ni jema ila kuingia Kanisani na uniforms za chama binafsi naona si sahihi, kila chama kikiamua kifanya hivyo itakuwa chaos.........nadhani kuna jambo vyama inatakiwa viwe makini na hizi Siasa
Kauzu limekuwa tusi tangu lini?Punguza matusi.
Kunena matusi kunaonyesha kichwani kumejaa ugoro.
Hahahaaaa....... Dunia tunapita tu bwashee!Wewe hatuna shida nawe maana njia ya Mwendazake iko karibu yako. Waovu wote mtamfuata tu
Ila uonevu ndio furaha yako.Binadamu anaweza kumuombea yeyote yule.....
Hata Noriega alikuwa anaombewa kule Panama...
viBavicha makauzu sana!
Huo ndio ujasiri bwashee!Asante sana Katavi kumbe mpo makini!
vi
Mimi nimeona mara nyingi tu kanisani kwetu siku chama tawala wakiwa na chaguzi zao siku za jumapii hungia na sare zao. Aidha waombea pia hutoa maombi yao kwa MUNGU hapa kanisani ili wafanikiwe kuchaguliwa. HAKUNA MTU ALIYEWARIPOTI POLISI KUWA WAMEINGIA NA SARE KANISANI NA KUTOA MAOMBI.Jambo wanalofanya la kumuombea ni jema ila kuingia Kanisani na uniforms za chama binafsi naona si sahihi, kila chama kikiamua kifanya hivyo itakuwa chaos.........nadhani kuna jambo vyama inatakiwa viwe makini na hizi Siasa
Hii ni ishara mbaya kwa Polisi, wananchi hawaogopi tena ule upuuzi was kuwakamata....Mungu utubarikiWananchi mbali mbali pamoja na waumini wa madhehebu ya Kikristo , leo wameangusha maombi mazito kwa ajili ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, aliyerundikwa Rumande kwa matakwa ya watawala waoga, kwa kesi ya uongo ya Ugaidi ili kumnyamazisha...
Watu wenyewe hao wanahitaji kuombewa😂😂😂😂😁😁😁😆😆😆😆🤣🤣🤣Wananchi mbali mbali pamoja na waumini wa madhehebu ya Kikristo , leo wameangusha maombi mazito kwa ajili ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, aliyerundikwa Rumande kwa matakwa ya watawala waoga, kwa kesi ya uongo ya Ugaidi ili kumnyamazisha.
...
Wakiingia CCM kumuombea Mwenyekiti wao ni Sawa?!!...Hatuwezi kuelewana najua, ila siyo sahihi nitaendelea kusisitiza hivyo kuingia na mavazi ya chama fulani kwenye nyumba ya ibada, SIYO SAHIHI
Unaweza kjuwa upo sawa, lakini vazi ni vazi tu hayo mengine yanategemea aliyevaa amevaa kwa lengo gani! Pia hawa ni wanachama wa CHADEMA, wameingia kanisani kumuombea mwenyekiti na mwanachama mwenzao! Wakivaa hizo sare shida iko wapi? Mbona kwenye misa za kufunga ndoa makanisani watu wanavaa sare za kila aina na hakuna anayewakemea!Jambo wanalofanya la kumuombea ni jema ila kuingia Kanisani na uniforms za chama binafsi naona si sahihi, kila chama kikiamua kifanya hivyo itakuwa chaos.........nadhani kuna jambo vyama inatakiwa viwe makini na hizi Siasa
Mungu aibariki safari ya watu wake.Tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungu
..
Hahaha ndio maana Mungu anawachapaWakiingia CCM kumuombea Mwenyekiti wao ni Sawa?!!...
Unatoa mifano ya Mbali na ya kizamani sana. Juzi tu hapa Shetani Muuaji na mla nyama za watu Jiwe alikuwa anaombewa kila siku na maaskofu fake na bado akadanjaBinadamu anaweza kumuombea yeyote yule.....
Hata Noriega alikuwa anaombewa kule Panama......
Si ajabu hata Hitler na Himmler walikuwa wanaombewa sana kule BAVARIA.......
HIZO NI SIASA NYEPESI SANA