Maombi kwa ajili ya Freeman Mbowe yazidi kurindima, leo ilikuwa zamu ya Katavi

Maombi kwa ajili ya Freeman Mbowe yazidi kurindima, leo ilikuwa zamu ya Katavi

Jambo wanalofanya la kumuombea ni jema ila kuingia Kanisani na uniforms za chama binafsi naona si sahihi, kila chama kikiamua kifanya hivyo itakuwa chaos.........nadhani kuna jambo vyama inatakiwa viwe makini na hizi Siasa




Home HABARI Waitara ashiriki ibada ya Jumapili Kanisa la PEFA Gwitiryo - Sirari

Waitara ashiriki ibada ya Jumapili Kanisa la PEFA Gwitiryo - Sirari​

October 04, 2020 ,HABARI

Mgombea Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini kupitia CCM, Mwita Waitara (wa pili kushoto) akiongozwa kuingia katika Kanisa la Kipentekosti la PEFA Gwitiryo - Sirari ambako ameungana na waumini wa kanisa hilo kushiriki ibada ya Jumapili leo asubuhi. (Picha na Peter Hezron)

MGOMBEA Ubunge Jimbo la Tarime Vijijini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwita Waitara ameungana na waumini wa Kanisa la Kipentekosti la PEFA Gwitiryo - Sirari kushiriki ibada ya Jumapili iliyoongozwa na Mchungaji Julius John leo (Oktoba 4, 2020) asubuhi.
Baada ya kushiriki ibada hiyo, Waitara amekwenda kuhutubia mkutano wake wa kampeni katika kijiji cha Nyandage kilichopo kata ya Nyanungu jimboni humo.
#MaraOnlineNews-Updates
Tags HABARI#

Share This
AddThis Sharing Buttons
Share to Facebook
Share to TwitterShare to WhatsAppShare to More
 
Wananchi mbali mbali pamoja na waumini wa madhehebu ya Kikristo , leo wameangusha maombi mazito kwa ajili ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, aliyerundikwa Rumande kwa matakwa ya watawala waoga, kwa kesi ya uongo ya Ugaidi ili kumnyamazisha.

Mbowe anakomolewa kwa sababu ya UZALENDO wake wa kuhamasisha uwepo wa Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi , vitu ambavyo watawala hawataki kusikia kwa vile vinahatarisha utawala wao.

Hapa ni Katavi.

View attachment 1903824
Faru John zimekwisha vichwani ndio wanakumbuka kuna maombi. Nyumbu kwa maigizo hamjambo.
 
Mkuu sisi huku vijijini tunaingia church na nguo za CCM , CHADEMA, ACT n,k. Yaani ni kawaida kabisa na hatuna hayo mambo yenu ya huko mjini. Yaani hizi nguo huku kwetu baada ya uchaguzi ni nguo mpaka za kutokea out.
Ni ukweli kabisa. Kuvaa hizi nguo kanisani haina maana amekwenda kufanya maombi kwa ajili ya gaidi Mbowe. Tena kijijini kuvaa nguo ya chama fulani siyo lazima uwe mfuasi wa chama hicho. Ni kudaka tu fursa ya nguo iliyopatikana.
 
Kauzu limekuwa tusi tangu lini?

Unaijua Kauzu FC wewe?

Au bsdo unaishi migombani!
Unakuwaga na maudhui mazuri lkn ikitajwa Chadema tu unachanganyikiwa. Jifunze kuvumilia wengine. Ndio maana Kuna wenye mapenzi na Simba na wengine Yanga.
Sometimes we have to agree to disagree. Tanzania Ni yetu sote. Chadema, CCM hata kwa mzee Rungwe.
 
Mkuu sisi huku vijijini tunaingia church na nguo za CCM , CHADEMA, ACT n,k. Yaani ni kawaida kabisa na hatuna hayo mambo yenu ya huko mjini. Yaani hizi nguo huku kwetu baada ya uchaguzi ni nguo mpaka za kutokea out.
Hiyo ni topic nyingine kabisa, wale maadui aliowasema Nyerere bado wapo hasa UJINGA na Umasikini, tutajadili siku nyingine ila naendelea kusisitiza kuingia na nguo za chama kwenye nyumba ya ibada SIYO SAHIHI
 
Wananchi mbali mbali pamoja na waumini wa madhehebu ya Kikristo , leo wameangusha maombi mazito kwa ajili ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, aliyerundikwa Rumande kwa matakwa ya watawala waoga, kwa kesi ya uongo ya Ugaidi ili kumnyamazisha.

Mbowe anakomolewa kwa sababu ya UZALENDO wake wa kuhamasisha uwepo wa Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi , vitu ambavyo watawala hawataki kusikia kwa vile vinahatarisha utawala wao.

Hapa ni Katavi.

wanajidharirisha sana kumuombea gaidi atoke ni ujinga usio na kifani
 
Siyo sahihi kwa CDM tu au na CCM pia? Huku vijijini watu kuingia kanisani na sare za CCM tumezoea.
Huwa wanazipata kwa wingi wakati wa chaguzi na zinakuwa Bora kuliko zile zao za kawaida-wanawake na kanga zao za kiCcm na wababa na kofia zao hivohivo.


Tatizo ni nini, sheria? Wivu? Na ikiwa hakuna sheria inayokataza, hizo fujo za kuzuia raia wasivae wapendavo zinaletwa na nani! Ili iweje?!

Naamini ingekuwa ni wafuasi wa Ccm, isingekuwa issue. Wakati mwingine kwa wivu tu, vurugu zinatokea. Au tatizo ilikuwa yale maombi? Au kuna jingine?
Kwa chama cha Siasa chochote SIYO SAHIHI
 
Unaweza kjuwa upo sawa, lakini vazi ni vazi tu hayo mengine yanategemea aliyevaa amevaa kwa lengo gani! Pia hawa ni wanachama wa CHADEMA, wameingia kanisani kumuombea mwenyekiti na mwanachama mwenzao! Wakivaa hizo sare shida iko wapi? Mbona kwenye misa za kufunga ndoa makanisani watu wanavaa sare za kila aina na hakuna anayewakemea!
Nasisitiza tu, kuingia nyumba ya Ibada na nguo ya Chama cha Siasa,SIYO SAHIHI ......
 
Kuomba kwa ajili ya korona aah ah
Ila magaidi ndo safi uongo
Nawasihi tu wanapoomba waombe Mungu amlipe mbowe sawa na haki inavyotaka
 
Binadamu anaweza kumuombea yeyote yule.

Hata Noriega alikuwa anaombewa kule Panama.

Si ajabu hata Hitler na Himmler walikuwa wanaombewa sana kule BAVARIA.

HIZO NI SIASA NYEPESI SANA

Niliona comment #7 kwenye huu uzi:

Kama kamanda Mbowe akitiwa hatiani, CHADEMA tutaweza ku-survive?

Naona umewapiku namba hadi wakongwe kina Yohana:

IMG_20210823_114329_414.jpg


Uko vizuri.

Cc: Mag3
 
Hatuwezi kuelewana najua, ila siyo sahihi nitaendelea kusisitiza hivyo kuingia na mavazi ya chama fulani kwenye nyumba ya ibada, SIYO SAHIHI
Ni kwelii sio vizuri. Lkn Kama lengo mahusis Ni kwa ajili ya maombi hayo sio mbaya.
 
Laana ya Mungu ikutafune wewe na kizazi chako chote , Amina .
Mdomo wako siyo spika ya malaika wa BWANA.....

Nami nikikulaani wewe na watoto wako ndio Mungu atanisikiliza?!!!😲😲😲🤣

Si mimi Wala kizazi changu tulio duniani kwa hisani yako wewe Wala ya mwenyekiti wako mjanjajanja Mbowe.......

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO

#KaziIendelee
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoNiAmaniNaUtulivuWaNchi
 
Wananchi mbali mbali pamoja na waumini wa madhehebu ya Kikristo , leo wameangusha maombi mazito kwa ajili ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, aliyerundikwa Rumande kwa matakwa ya watawala waoga, kwa kesi ya uongo ya Ugaidi ili kumnyamazisha.

Mbowe anakomolewa kwa sababu ya UZALENDO wake wa kuhamasisha uwepo wa Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi , vitu ambavyo watawala hawataki kusikia kwa vile vinahatarisha utawala wao.

Hapa ni Katavi.

Maombi ya kumwombea Gaidi Mbowe? Mbona wako wawili tu naona watoto wanawashangaa tu.
 
Mungu mbariki Mbowe.

Kwa unyama huu watakufa watu,hasa mioyo yetu inavyozidi kuumizwa kwa haya
 
Back
Top Bottom