Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Endelea kumtukana Mungu yakukute ya MwendajiBavicha makauzu sana!
Mungu ibariki ChademaEeh Mungu, msaidie mja wako, kwa haki yako umuokoe toka katika mikono ya watesi wake!
Amina [emoji120]!Mungu ibariki Chadema
HakikaMungu ni mwema wakati wote kesho ni siku ya Haki
AminaMungu wa Jeremia ni Mungu aliye Hai
Tulianza na Mungu na tunamaliza na MunguBavicha makauzu sana!
ZimefikaMpanda Katavi salaam ziende Ikola na Lugonesi ikibidi Kapanga na Kasekese bila kusahau Mwese na Majimoto
biblia haijakataza mavazi ya chama chochoteJambo wanalofanya la kumuombea ni jema ila kuingia Kanisani na uniforms za chama binafsi naona si sahihi, kila chama kikiamua kifanya hivyo itakuwa chaos.........nadhani kuna jambo vyama inatakiwa viwe makini na hizi Siasa
Hatuwezi kuelewana najua, ila siyo sahihi nitaendelea kusisitiza hivyo kuingia na mavazi ya chama fulani kwenye nyumba ya ibada, SIYO SAHIHIbiblia haijakataza mavazi ya chama chochote
lete maandikoHatuwezi kuelewana najua, ila siyo sahihi nitaendelea kusisitiza hivyo kuingia na mavazi ya chama fulani kwenye nyumba ya ibada, SIYO SAHIHI
Uzuri ni kuwa Mungu ni wetu wote. Nasi watanzania tunamuomba atulinde dhidi ya ugaidi wa Mbowe na wenzake . Kwa mapenzi yake mwenye nia yoyote ya kungamiza Tanzania kwa ugaidi ashindwe bila kujali ni nani na ana cheo gani.Mungu ibariki Chadema
Kutoka ndani ya Moyo wako !Mungu aonaye sirini ndani yako na akuhukumu mwenyewe!Na simama na neno katika kitabu cha KUTOKA ,"Alitajae jina la Mungu bure na alaniwe yeye na familia yake"Nami kama mtumishi wa Mungu na simama katika Madhabahu ya Kweli ,Uhukumiwe sawa sawa na maneno yako !Mungu aonekane Leo juu yako na familia yako ,Mungu na ainuke na utukufu wake juu ya maneno yako!Uzuri ni kuwa Mungu ni wetu wote. Nasi watanzania tunamuomba atulinde dhidi ya ugaidi wa Mbowe na wenzake . Kwa mapenzi yake mwenye nia yoyote ya kungamiza Tanzania kwa ugaidi ashindwe bila kujali ni nani na ana cheo gani.