Maombi maalum ya kitaifa kwa ajili ya bandari

Mbona kwenye madini hamuongei kitu
Mikataba ya madini Ina LIMIT na Serikali hupata angalau kiduchu,

Pia zipo SHERIA zinazowabana wawekezaji kuhusu ajira za wazawa kulindwa,

Dude Hilo la Bandari ni Bure kabisa, mkataba unampa Kila kitu DP World,

Haikubaliki!!!
 
🚶
 
Hili la bandari ni barabarani tu, wataelewa kwa lugha wanazopenda wao.
Mkoa wa Mara kuhusu mafuta na bei yake, walioingia barabarani. Majibu ya kuingia barabarani yapo, na bei ninadhani ni zile zile hazikubadirika!
 
 
Tunaendelea kuomba na itafahamika kama Mungu tunayemwomba Ni Mungu wa Israeli mwenye Makao yake Mbinguni kwemye Kiti Cha Enzi.

Kabla ya Mwaka huu kupita.
 
USHAURI MZURI KUNA WATU WANAJIFANYA WAO NDIO KILA KITU TUMWOMBE MUNGU ATUFANYIE UAMUZI MUNGU NI FUNDI SANA
 
Umekosa kazi mjumbe nenda Mirembe watakupa kazi
Kama kushauri watu wamuombe Mungu ni kukosa kazi, na ijulikane leo hii ya kwamba Mungu hadhihakiwi na akuonyeshe uwepo wake.
 
Amen
 
Sio viongozi wa dini zote, sema viongozi Wakristo tu
 
Kamanda Mwambukusi, Dr Slaa, Prof Shivji, Aikaeli Mbowe, Mzee Spunda, Mbatia, na wengine wengi waongoze njia nasi kwa maelfu tufuate Ili tumarch barabarani kuonyesha ujasiri wetu juu ya nchi yetu.
Hao uliowataja wote hakuna aliye tayari.
Wao waandalie jukwaa makamera mengi baaaas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…