Mrema ilikuwa chupuchupu achukue Nchi, ikabidi Mwalimu Nyerere atoke butiama kuja kuokoa jahazi.Na wewe uliwahi kuandama au mpigadebe tu hapa jf
Unayedhani hapakuwa na maandamano before unajidanganya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrema ilikuwa chupuchupu achukue Nchi, ikabidi Mwalimu Nyerere atoke butiama kuja kuokoa jahazi.Na wewe uliwahi kuandama au mpigadebe tu hapa jf
Ingieni basi...makuwadi ya warabu nani anataka watoto wenu uzao wa makuwadi/puppets kuingia mitaani, wataingi wazalendo watanganyika wenye uchungu na tanganyika sio nyie makuwadi ya warabu kutoka zanzibar
Andamana basi.Mrema ilikuwa chupuchupu achukue Nchi, ikabidi Mwalimu Nyerere atoke butiama kuja kuokoa jahazi.
Unayedhani hapakuwa na maandamano before unajidanganya.
🙏AmenWapendwa wana wa nchi! Kupitia viongozi wetu wa kiroho wa dini zote na madhehebu yote nchi nzima,kuchagua siku maalum ambayo itatuweka pamoja kwa ajili ya kumlilia Mungu aliyetujalia kuwa Tanzania na akatupa rasilimali hii muhimu ya bandari,ambayo watawala wasio na haya wameamua kutuuza na kuigawa bure kwa waarabu.
Hali ambayo itapelekea pia usalama wa nchi yetu kuwa mashakani! Lakini pia bandari ni lango kuu la uchumi kwa nchi yetu hivyo kuitoa bure kwa wageni italifanya taifa lizidi kuwa maskini na kuleta shida na umaskini kwa vizazi vya watoto wetu.
Itakuwa ni laana kubwa kwetu Kwa machozi ya vizazi vijavyo,hivyo ninapendeleza tumuombee na kumlilia Mungu atusaidie kwa namna atakavyoamua yeye Ili urithi huu aliotupa ubaki salama mikononi mwetu sisi watoto wake ambao ameamua yeye kwamba pawe ndio nchi yetu.
Tulie mbele zake Mungu kwa maumivu makubwa moyoni hakika atatusikia na kutujibu. Na wote waliohusika na uharibifu huu wa rasilimali yetu hii pamoja na wengine wa gas na madini adhabu yake ikawe juu Yao na vizazi vyao.
Amen
Sawa Wacha tuishi nao huu uziKuingia mtaani familia zenu zitangulie siyo watoto wetu
Utapokea matusi hapa toka kwa wanufaika wa posho toka dili la DP world!!Wapendwa wana wa nchi! Kupitia viongozi wetu wa kiroho wa dini zote na madhehebu yote nchi nzima,kuchagua siku maalum ambayo itatuweka pamoja kwa ajili ya kumlilia Mungu aliyetujalia kuwa Tanzania na akatupa rasilimali hii muhimu ya bandari,ambayo watawala wasio na haya wameamua kutuuza na kuigawa bure kwa waarabu.
Hali ambayo itapelekea pia usalama wa nchi yetu kuwa mashakani! Lakini pia bandari ni lango kuu la uchumi kwa nchi yetu hivyo kuitoa bure kwa wageni italifanya taifa lizidi kuwa maskini na kuleta shida na umaskini kwa vizazi vya watoto wetu.
Itakuwa ni laana kubwa kwetu Kwa machozi ya vizazi vijavyo,hivyo ninapendeleza tumuombee na kumlilia Mungu atusaidie kwa namna atakavyoamua yeye Ili urithi huu aliotupa ubaki salama mikononi mwetu sisi watoto wake ambao ameamua yeye kwamba pawe ndio nchi yetu.
Tulie mbele zake Mungu kwa maumivu makubwa moyoni hakika atatusikia na kutujibu. Na wote waliohusika na uharibifu huu wa rasilimali yetu hii pamoja na wengine wa gas na madini adhabu yake ikawe juu Yao na vizazi vyao.
Amen
Achana nae, njaa na msimamo havikai pamoja!!Hata Kwa ushauri huu ni sehemu ya kazi na wajibu tulio nao kwa taifa letu.
Umekosa kazi mjumbe nenda Mirembe watakupa kazi
Wamemkamata nabii wetu Boniface Mwabukusi, tusikae kimyaAmen
Tusipoandamana kimwili, tutaandamana kiroho, lazima Jezebeli afeZama za kutufanya mazuzu zishaisha. Utaandamana wewe na familia yako.