Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

Lea watoto. Haukuandikiwa barua ya maombi uwe na watoto wanne huku huna kazi. Umeulizwa baba watoto yuko wapi haujibu. Unadhani kuna mwendawazimu ataharibu pesa yake kukulipia chuo mama wa watoto wanne ambaye hataji alipo baba watoto wake? KAZI YAKO KWA SASA NI KULEA WATOTO NA SIO VINGINEVYO.
Ok
 
Reni Unaomba msaada wa tuition fee peke yake au na mahitaji. Umesema ada ni 1m, hii ni kwa kulipa chuo nadhani na nawaza una sehemu ya kukaa na mahitaji mengine isipokuwa msaada utakao ni ada right?
 
Hiki kitu unafanya kilifanywa na mama yangu mzazi way back 2004. Lakini kwa hali ya ajira ya sasa sidhani kama inawezekana kuona faida ya elimu kirahisi ushindani ni mkubwa na nafasi ni chache.

Na ni vigumu private sector kuajiri mwanamke mdogo mwenye watoto kuanzia wawili. Mabinti niliograduate nao chuo wakaolewa instantly wote hamna aliyepata ajira. Mtu kamaliza chuo kaolewa, kaenda honeymoon, kalea ndoa, kapata mimba, kajifungua, kalea uzazi. Mwaka na nusu umekata ndio kaanza kutafuta kazi mara siku ya interview mtoto kaamka anaharisha. Sasa wewe una watoto wanne.

Nikisema utafute mtaji ufanye biashara siko sahihi sana, biashara sio suluhisho la walioshindwa maisha. Ni passion na uwezo. Hata mama kabla hajaenda kusoma alianza na genge akashindwa akauza mazao akashindwa. Akaenda zake kusoma ndio akafanikiwa. Ila that time ajira zilikuwepo sio kama sasa.
ni kweli, soko la ajira ni gumu sana wakati huu, wenye degree tu na masters huku wanasota , ije kua certficate? tena ya business?? unapoteza muda tu mkuu stop this, hata sjui nikusharije uelewe but stop this , itakupotezea muda tu uje kufa kwa stress badae huko
 
Not enough sweetheart, wewe ulisha jiumiza mwenyewe na leo maumivu haya ni matokeo ya kile ulicho kipanda.
Mkuu......
Hakuna mtu ataeweza kukusaidia hapa duniani pasipo kutaka kupata majibu ya maswali ambayo wewe hautaki kuyajibu.
🤣 me nimekuelewa sana mkuu sema wabongo wanakwaida ya kupingana na ukweli ila uliyosema yote ni kweli na upo sahih sana
 

Attachments

  • JamiiForums1496266782.jpeg
    JamiiForums1496266782.jpeg
    31.8 KB · Views: 3
Mimi nina umri wa miaka 27 ,ni mama wa watoto 4 ,nilifika mpaka kidato cha 5 ila sikufanikiwa kumaliza A level.

Ninatamani kujiendeleza kimasomo ila sina uwezo natamani nikaanze certficate in in bussiness managment.

Naomba anayejua wanaotoa ufadhili wa masomo tafadhali aniunganishe au anayeweza kunifadhili nikaanza certificate naomba msaada.

Asanteni.
umeandika mama wa watoto 4 na unaumri wa miaka 27 au 77 nisaidie sioni vizuri........ ila nikupe pole sana aseee jitahidi uliwe na wenye pesa utakufa maskini na vipanya hivyo
 
Wachangiaji wengi humu mna matatizo...yaani badala msaidie namna atakavyofanya eti mnajitia kushangaa watoto?
Bila kujali wengine hupitia changamoto mbalimbali za kimaisha na kimazingira.
Comments nyingi za JF huongeza msongo WA mawazo na hata MTU anaweza kujitoa uhai kuliko kupata uponyaji WA kinachomsibu.

So heart breaking.
 
Watoto wanne kwa miaka 27.

Asee kuna madem sio wachoyo wa mbunye kabisa.... Na hao watoto naamin sio wa baba mmoja 😃

Kuna chuo hapa ningekuunganisha ukasome kwa scholarship na ulipie 100k (laki moja) kwa mwaka. Na kingine ungelipa 500k kwa mwaka ila hao watoto nan atawalea??

Kama ukiweka wazi Baba wa hao watoto wako wapi basi naahidi kukusaidia upate scholarship ambayo utachangia 100k TU kwa mwaka.

Uamuzi ni wako
 
Watoto wanne kwa miaka 27.

Asee kuna madem sio wachoyo wa mbunye kabisa.... Na hao watoto naamin sio wa baba mmoja 😃

Kuna chuo hapa ningekuunganisha ukasome kwa scholarship na ulipie 100k (laki moja) kwa mwaka. Na kingine ungelipa 500k kwa mwaka ila hao watoto nan atawalea??

Kama ukiweka wazi Baba wa hao watoto wako wapi basi naahidi kukusaidia upate scholarship ambayo utachangia 100k TU kwa mwaka.

Uamuzi ni wako
Watoto wa baba mmoja, baba wa watoto ana maisha yake tulitengana ,naweza kulea watoto na mahitaji binafsi ila nahitaji sapoti ya ada tu
 
Kuna mambo nimejikuta nawazaaaaaa.....
Then nimeona nisiandike tu hapa sababu naweza onekana kama mkatili.
Yaani ulizaa mtoto wa 1, 2, 3 na 4 ndipo unakuja kukumbuka kurudi shule...[emoji848]
Anyways, pengine mimi nina fikiria kwa utofauti mkuu.......
Ok, ukisha pata mfadhi na ukaanza kwenda shule... watoto wako watakua wanahudumiwa na nani...??
Na...... hivi kweli unaona ni rahisi tu kuomba kusaidiwa na ukafanikiwa ilkhali tayari umezaa watoto 4 pasipo kuelezea kwanini ulifikia kuzaa watoto 4 kwanza ukitarajia nani atakusomesha baada ya kumaliza kuzaa...[emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mambo nimejikuta nawazaaaaaa.....
Then nimeona nisiandike tu hapa sababu naweza onekana kama mkatili.
Yaani ulizaa mtoto wa 1, 2, 3 na 4 ndipo unakuja kukumbuka kurudi shule...🤔
Anyways, pengine mimi nina fikiria kwa utofauti mkuu.......
Ok, ukisha pata mfadhi na ukaanza kwenda shule... watoto wako watakua wanahudumiwa na nani...??
Na...... hivi kweli unaona ni rahisi tu kuomba kusaidiwa na ukafanikiwa ilkhali tayari umezaa watoto 4 pasipo kuelezea kwanini ulifikia kuzaa watoto 4 kwanza ukitarajia nani atakusomesha baada ya kumaliza kuzaa...🙄
Binafsi siez poteza ada yangu kwa huyo Mama ye anataka kusoma afu watoto wake wanasomeshwa na Nani
 
Back
Top Bottom