Naiona.. asipoutumia muda huu kuwaandalia watoto maybe Watakuja kushindwa kama yeye. They dont have to pay for Her mistake . Aache mengine yapiteSas mkuu huoni tofauti iliyopo ya elimu ya chuo na msingi ?
Sahihi mkuu nimekupataNaiona.. asipoutumia muda huu kuwaandalia watoto maybe Watakuja kushindwa kama yeye. They dont have to pay for Her mistake . Aache mengine yapite
Umenena vyema hakikaSahihi mkuu nimekupata
Lea FamiliaMimi nina umri wa miaka 27 ,ni mama wa watoto 4 ,nilifika mpaka kidato cha 5 ila sikufanikiwa kumaliza A level.
Ninatamani kujiendeleza kimasomo ila sina uwezo natamani nikaanze certficate in in bussiness managment.
Naomba anayejua wanaotoa ufadhili wa masomo tafadhali aniunganishe au anayeweza kunifadhili nikaanza certificate naomba msaada.
Asanteni.
Watanzania wapumbavu kwani kuzaa watoto wanne ukiwa na miaka 27 ni dhambi? Wewe mama Yako alizaa akiwa na miaka 49?Watoto wa4 27 eeh umetisha mdogo wangu..
Allah atakufanyia wepesi inshallhah
Okay, Nichek PMWatoto wa baba mmoja, baba wa watoto ana maisha yake tulitengana ,naweza kulea watoto na mahitaji binafsi ila nahitaji sapoti ya ada tu
Ulisoma sayansi O levelWatoto wa baba mmoja, baba wa watoto ana maisha yake tulitengana ,naweza kulea watoto na mahitaji binafsi ila nahitaji sapoti ya ada tu
Eh mbona matusi mamdogo???Watanzania wapumbavu kwani kuzaa watoto wanne ukiwa na miaka 27 ni dhambi? Wewe mama Yako alizaa akiwa na miaka 49?
Siyo matusi inaniumizaa kuona mwanamke anamnyanyapaa mwanamke mwenzake kisa kuzaa. Tumekuwa na jamii ya hovyo sana.Eh mbona matusi mamdogo???
Ungekuwa na hekima ungenyamaza na kuachia wachangiaji wengine. Dunia hii ina changamoto lukuki, shukuru tu kama wewe hujazipitiaHizi ndizo akili za mtu mweusi zinavyo furahia kuonekana mwema kumbe sivyo kabisa.
Kwangu mimi hainikai akilini kwamba mtu anaamua kuzaa 4 kids then anakuja kuomba msaada wa kusomeshwa mazee......
This is higher level of stupidity of blacks
Hajapitia wapi ndani ya ukoo wake wenye changamoto lazima wapo wa kutosha. Shida jamii za kiafrika zinaona matatizo ya mtu ni personal na siyo jambo la jamii kusaidia. Unashangaa mtu anamporomoshea matusi mdada kisa et amezaa watoto wanne Sasa unajiuliza inawezekanaje umnyanyapae mwanamke kisa watoto wake. Very stupid life.Ungekuwa na hekima ungenyamaza na kuachia wachangiaji wengine. Dunia hii ina changamoto lukuki, shukuru tu kama wewe hujazipitia
Hao ni wale wenye very low EQHajapitia wapi ndani ya ukoo wake wenye changamoto lazima wapo wa kutosha. Shida jamii za kiafrika zinaona matatizo ya mtu ni personal na siyo jambo la jamii kusaidia. Unashangaa mtu anamporomoshea matusi mdada kisa et amezaa watoto wanne Sasa unajiuliza inawezekanaje umnyanyapae mwanamke kisa watoto wake. Very stupid life.