Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

Mimi nina umri wa miaka 27 ,ni mama wa watoto 4 ,nilifika mpaka kidato cha 5 ila sikufanikiwa kumaliza A level.

Ninatamani kujiendeleza kimasomo ila sina uwezo natamani nikaanze certficate in in bussiness managment.

Naomba anayejua wanaotoa ufadhili wa masomo tafadhali aniunganishe au anayeweza kunifadhili nikaanza certificate naomba msaada.

Asanteni.
Lea Familia
 
Mi naona ingekuwa vyema kama ungesema unatafta kazi au mtaji, maana kwa ada ya million kozi ya mwaka mmoja sio sawa.
 
Hizi ndizo akili za mtu mweusi zinavyo furahia kuonekana mwema kumbe sivyo kabisa.
Kwangu mimi hainikai akilini kwamba mtu anaamua kuzaa 4 kids then anakuja kuomba msaada wa kusomeshwa mazee......
This is higher level of stupidity of blacks
Ungekuwa na hekima ungenyamaza na kuachia wachangiaji wengine. Dunia hii ina changamoto lukuki, shukuru tu kama wewe hujazipitia
 
Ungekuwa na hekima ungenyamaza na kuachia wachangiaji wengine. Dunia hii ina changamoto lukuki, shukuru tu kama wewe hujazipitia
Hajapitia wapi ndani ya ukoo wake wenye changamoto lazima wapo wa kutosha. Shida jamii za kiafrika zinaona matatizo ya mtu ni personal na siyo jambo la jamii kusaidia. Unashangaa mtu anamporomoshea matusi mdada kisa et amezaa watoto wanne Sasa unajiuliza inawezekanaje umnyanyapae mwanamke kisa watoto wake. Very stupid life.
 
Hajapitia wapi ndani ya ukoo wake wenye changamoto lazima wapo wa kutosha. Shida jamii za kiafrika zinaona matatizo ya mtu ni personal na siyo jambo la jamii kusaidia. Unashangaa mtu anamporomoshea matusi mdada kisa et amezaa watoto wanne Sasa unajiuliza inawezekanaje umnyanyapae mwanamke kisa watoto wake. Very stupid life.
Hao ni wale wenye very low EQ
 
Back
Top Bottom