Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

Maombi ya kufadhiliwa masomo ya chuo

Kwa ulimwengu wa sasa wafadhili ni vigumu kupatikana; kwa sababu ata huko kwenye nyumba za ibada watu wamekuwa wabahili ata kwenye kutoa sadaka.

Jiulize swali; mfadhili anatoa pesa alafu yeye ananufaika na nini?

Ushauri:- Jiajiri kwenye mauzo, kutafutia kampuni, watu wenye biashara n.k wateja wa kununua bidhaa zao ili upate gawio uweze kusonga mbele, kupitia kwenye hiyo kazi wapo ambao utawafanyia kazi vizuri na watatamani wakuendeleze ili wakuajiri, ikiwa ni pamoja na wewe kutimiza ndoto zako.​
 
Kwa ulimwengu wa sasa wafadhili ni vigumu kupatikana; kwa sababu ata huko kwenye nyumba za ibada watu wamekuwa wabahili ata kwenye kutoa sadaka.

Jiulize swali; mfadhili anatoa pesa alafu yeye ananufaika na nini?

Ushauri:- Jiajiri kwenye mauzo, kutafutia kampuni, watu wenye biashara n.k wateja wa kununua bidhaa zao ili upate gawio uweze kusonga mbele, kupitia kwenye hiyo kazi wapo ambao utawafanyia kazi vizuri na watatamani wakuendeleze ili wakuajiri, ikiwa ni pamoja na wewe kutimiza ndoto zako.​
Assnte
 
Hatutakiwi kukatishana tamaa.lolote linawezekana
yes but tuache kuishi kwa kuhisi inawezekana just from no where, tuishi in realities na sio kutegemea muujiza, miujiza ipo ndio lakini huja wakati huna hata wazo unashangaa tu imekuaje, but hii ya ku expect muujiza wakati unajua reality ila unaenda tu hata Mungu anakukataa na kukuona mpumbavu
 
Watoto wa baba mmoja, baba wa watoto ana maisha yake tulitengana ,naweza kulea watoto na mahitaji binafsi ila nahitaji sapoti ya ada tu
Pole sana kwani naona watu wanakushambulia. Hajui mazingira uliyopitia na ni nini hasa kilitokea. Ushauri wangu: Una uhakika ukisoma hiyo kozi utapata kazi? Nauliza hivi kwa sababu mtaani kuna vyuo vingi sana vinavyoa kozi ambazo hazieleweki. Pia business mngmt ni ngumu sana kupata kazi kwani ajira zenyewe hakuna na wanaosoma kozi za aina hii ni wengi.
 
Dada usikate tamaa

At ur age 27 ur still young you can achieve ur dreams easily.

Unajua kinachomfanikisha MTU huwa ni kile MTU anaamini na sio kile watu wanaamini.

Mfano kuzaa yawezekana yupo happy na watoto that is Good.

Kusoma ikiwa unaamini katika Elimu ni vizuri ukafocus katika ELIMU .

Kuna mdau hapo juu kazungumzia kuhusu Passion kuwa ikiwa hauna passion na biashara basi doesn't matter ukapewa mtaji kiasi gani bado utakwama.


Hivyo ikiwa passion yako ni Kuzaa watoto wengi na kuwa msomi basi focus huko huko. Utafanikiwa.


Mimi binafsi ushauri wangu unapoamua kuomba msaada fahamu kuna watu watakukatisha tamaa na kukutamkia maneno negative Ila wewe kuwa strong na usiwajibu.

All the best mkuu ✊🏿
 
Asilimia kubwa ya watu wengi hapa watakukatisha tamaa.
Sababu wengi tumezoea mwanamke anasoma kwanza halafu ndio anaanza kuzaa.

Ila kama una nia kweli pambana, ndoto yako itatimia.
Kuna mifano mingi ya wanawake waliosoma huku tayari wameshazaa.
 
Kuna mambo nimejikuta nawazaaaaaa.....
Then nimeona nisiandike tu hapa sababu naweza onekana kama mkatili.
Yaani ulizaa mtoto wa 1, 2, 3 na 4 ndipo unakuja kukumbuka kurudi shule...🤔
Anyways, pengine mimi nina fikiria kwa utofauti mkuu.......
Ok, ukisha pata mfadhi na ukaanza kwenda shule... watoto wako watakua wanahudumiwa na nani...??
Na...... hivi kweli unaona ni rahisi tu kuomba kusaidiwa na ukafanikiwa ilkhali tayari umezaa watoto 4 pasipo kuelezea kwanini ulifikia kuzaa watoto 4 kwanza ukitarajia nani atakusomesha baada ya kumaliza kuzaa...🙄
mulemule tu mkuu
 
Kwakweli sijaelewa connection iliyopo kati ya kua na watoto 4 na kutaka kujua baba wa watoto na msaada mtu anataka kuutoa.

Kama umewiwa kusaidia, baba wa watoto, watoto watatunzwa na nani hiyo inahusiana vipi.

Akikwambia watoto wana baba tofauti, bado utaendelea kumkashfu kua anagawa hovyo, awaambie baba wa hao watoto na bullying za namna hiyo.

Bila shaka kwake kinachomkwamisha ni hiyo ada tu, malazi, mavazi msosi keshathibitisha anavyo ni ada tu ya 1M.

Mambo za kuuliza baba wa mtoto na hata huo msaada hutuo ni ujinga sana.

Simamia unachoamini binti, piga shule hujui utatokea wapi na bila shaka una malengo yako uliyoset kabla ya kuwaza kusoma hiyo course.
 
Watoto wako atawasomesha nani? Kama wewe unaomba msaada wa kusomeshwa.

Miaka 27 watoto wa4 .. Achana na hiyo League Somesha tu watoto wako mama.
Sas mkuu huoni tofauti iliyopo ya elimu ya chuo na msingi ?
 
yes but tuache kuishi kwa kuhisi inawezekana just from no where, tuishi in realities na sio kutegemea muujiza, miujiza ipo ndio lakini huja wakati huna hata wazo unashangaa tu imekuaje, but hii ya ku expect muujiza wakati unajua reality ila unaenda tu hata Mungu anakukataa na kukuona mpumbavu
Sio muujiza mkuu imagine koz ni mwaka mmoja kwa maana hiyo atakua na umri wa miaka 28 hadi 28.kuhusu ajira hilo ni juu yake kwa maana hata unavyolalamika hakuna hajira, kila siku watu wanaajiriwa ,watu wanalalamika hali ngumu ya maisha lakini kila siku bar zinajaa,hali ngumu lakini kwenye list ya waliostake kwenye aviator wapo hadi waliostake 500000



#power of subconcious mind
#law of belief
#universe
 
Back
Top Bottom