Maombi ya kuongeza viwango vya alcohol kwa TBL na SBL

Maombi ya kuongeza viwango vya alcohol kwa TBL na SBL

Umenikumbusha mitaa ya Afrikasana kuna mama alikuwa anahamia eneo jingine so kuna jamaa mmoja alimsaidia kupakia mizigo kwenye kenta baada ya kumaliza mama akampa chupu ya whisky Kali, nadhani jamaa akajua ni pombe alizozooe ingawa yule mama limwambia kachanganye na Maji ya barid, jamaa kufika pale sokoni akapiga tarumbeta mpk chupa ikawa nusu ile kushusha chupa akaanguka pale pale, mwagia sana Maji alikuja kuzinduka kesho yake amejiharishia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi kati pia tumemzika kijana huku Msakuzi, walishindana na mwenzie kunywa vile vichupa vya konyagi vidogo, ilikuwa kila mmoja anywe vitano vikavu, jamaa alipofika kichupa cha 4 akapiga magoti akaanza kutapika damu na kuharisha kumpeleka Sinza Palestina keshakata moto kitambo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana mimi nimehamia kwa desperado rasmi...! Maana ht k vant nayo sio kbs!..karibuni desperado😊!
 
Kiwango cha alcohol katika beer ni kidogo sana aisee yan 5% aisee hapana hii sio fair kabsa naomba pendekezo langu beer iwe angalau 15%-25% kulingana na kiwango cha hela 1500..... Ni nyingi sana.

Natumai maombi yangu yatashugulikiwa
Konyagi na Kvant hazikutoshi?
 
Acha bhana mkuu
Juzi kati pia tumemzika kijana huku Msakuzi, walishindana na mwenzie kunywa vile vichupa vya konyagi vidogo, ilikuwa kila mmoja anywe vitano vikavu, jamaa alipofika kichupa cha 4 akapiga magoti akaanza kutapika damu na kuharisha kumpeleka Sinza Palestina keshakata moto kitambo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ganja hata mimi natumia lakin mada inatakiwa beer iongezwe alcohol
kvant ndo napenda ila mi simnywaji sana


natumia bangi mwaka wa 20 huu yaani I mean tangia ujana na sijawahi juta na enjoy sana
 
Back
Top Bottom