Maombi ya kuongeza viwango vya alcohol kwa TBL na SBL

Maombi ya kuongeza viwango vya alcohol kwa TBL na SBL

Umenikumbusha mitaa ya Afrikasana kuna mama alikuwa anahamia eneo jingine so kuna jamaa mmoja alimsaidia kupakia mizigo kwenye kenta baada ya kumaliza mama akampa chupu ya whisky Kali, nadhani jamaa akajua ni pombe alizozooe ingawa yule mama limwambia kachanganye na Maji ya barid, jamaa kufika pale sokoni akapiga tarumbeta mpk chupa ikawa nusu ile kushusha chupa akaanguka pale pale, mwagia sana Maji alikuja kuzinduka kesho yake amejiharishia!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wengi huwa hawaelewi ile alcohol iliyopo katika kinywaji husika. Hiyo beer ya 5% alcohol unanunua 1500 umesema. Ile chupa kubwa ya wine labda mfano alcohol 25% utanunua Tsh.50,000,kwa hiyo alcohol iliyo pamoja yaani 25%. Kwa namna hiyo ichukue hiyo 50,000 igawe kwa 1500 ili ujue utapata beer ngapi kwa hiyo elfu 50. Hapo unaweza kupata beer 33. Sasa basi hizo beer 33 mara 5% alcohol,jumla hapo kwa hiyo elfu 50 uliyoitumia kununua wine ya 25% alcohol,kwenye beer utakuwa umenunua alcohol 165%. Na pima sasa kwenye ulevi wake. Je utakuwa salama kubugia alcohol hizo zote. Unachotakiwa ujue ukinywa beer 1 ni 5% alcohol,ya pili utakuwa na 10% alcohol mwilini ++++alcohol

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa umedanganya ukichukua bia 33 zenye 5%alcohol kwa pamoja ukazipima alcohol itabaki ile ile 5% na sio 165% kama unavyosema hapo kwenye post yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi huwa hawaelewi ile alcohol iliyopo katika kinywaji husika. Hiyo beer ya 5% alcohol unanunua 1500 umesema. Ile chupa kubwa ya wine labda mfano alcohol 25% utanunua Tsh.50,000,kwa hiyo alcohol iliyo pamoja yaani 25%. Kwa namna hiyo ichukue hiyo 50,000 igawe kwa 1500 ili ujue utapata beer ngapi kwa hiyo elfu 50. Hapo unaweza kupata beer 33. Sasa basi hizo beer 33 mara 5% alcohol,jumla hapo kwa hiyo elfu 50 uliyoitumia kununua wine ya 25% alcohol,kwenye beer utakuwa umenunua alcohol 165%. Na pima sasa kwenye ulevi wake. Je utakuwa salama kubugia alcohol hizo zote. Unachotakiwa ujue ukinywa beer 1 ni 5% alcohol,ya pili utakuwa na 10% alcohol mwilini ++++alcohol

Sent using Jamii Forums mobile app
Umelewa wewe Food technician
 
Back
Top Bottom