Maombi ya Mbowe kwa Rais Samia yalikuwa geresha. Ukweli anaujua kuhusu Halima Mdee na wenzake 18

Maombi ya Mbowe kwa Rais Samia yalikuwa geresha. Ukweli anaujua kuhusu Halima Mdee na wenzake 18

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Mh Mbowe alishupaza sauti kwa kujifanya yupo siriasi kwa kuwaonyesha wafuasi wake watiifu kuwa anayasema maneno yale mbele ya raisi ana uchungu mwingi ilihali anajua jambo lile lina baraka zao na wale wapo pale mpaka wamalize muda wao,

Kutaka kucheza na akili zao na kweli amefanikiwa kwa lengo lake wengi wao wameamini Mbowe hataki covid19 wawepo pale wakati yeye na baadhi ya viongozi ni wanufaika wa wale wanawake kuwepo bungeni.

Lissu hakukosea aliposema mwenyekiti amelamba asali,jibu limepatikana Mbowe hana lawama tena amejivua kiakili kwa kuonyesha kuwa ahusiki ila kwa kuwa anaongoza waliolala milele wamebaki kushangalia hutuba yake ya kimkakati.

Kiufupi Halima Mdee and gangs wameshinda vita kiurahisi na leo hii wanawasiliana na mwenyekiti kupongezana,

Wenye uchungu nendeni mkaiombe mahakama!
Naungana na lissu mwenyekiti kalamba buyu la asali!
 
Huu ndio msimamo wa Chadema kuhusu Covid.
FqsHL8FXsAAc-j5.jpg


Zenu kelele tu.
 
Kwenye wabunge 19 kuna mke wa naibu katibu mkuu bara Benson Kigaila. Waliobaki karibu wote ni ndugu na michepuko ya vigogo wa CHADEMA. Hakuna kesi pale. Askofu wa CHADEMA Mwamakula huwa anasema mwanakondoo ameshinda tumfuate huwa anamaanisha Mbowe kama mwanakondoo aliyeshinda.
 
Kwenye wabunge 19 kuna mke wa naibu katibu mkuu bara Benson Kigaila. Waliobaki karibu wote ni ndugu na michepuko ya vigogo wa CHADEMA. Hakuna kesi pale. Askofu wa CHADEMA Mwamakula huwa anasema mwanakondoo ameshinda tumfuate huwa anamaanisha Mbowe kama mwanakondoo aliyeshinda.
Tatizo Elimu hamna empty mind hamna Hoja zaidi ya kuokoteza habari vijiweni
 
Mh Mbowe alishupaza sauti kwa kujifanya yupo siriasi kwa kuwaonyesha wafuasi wake watiifu kuwa anayasema maneno yale mbele ya raisi ana uchungu mwingi ilihali anajua jambo lile lina baraka zao na wale wapo pale mpaka wamalize muda wao,
Kutaka kucheza na akili zao na kweli amefanikiwa kwa lengo lake wengi wao wameamini Mbowe hataki covid19 wawepo pale wakati yeye na baadhi ya viongozi ni wanufaika wa wale wanawake kuwepo bungeni.
Lissu hakukosea aliposema mwenyekiti amelamba asali,jibu limepatikana Mbowe hana lawama tena amejivua kiakili kwa kuonyesha kuwa ahusiki ila kwa kuwa anaongoza waliolala milele wamebaki kushangalia hutuba yake ya kimkakati.
Kiufupi Halima's mdee and gangs wameshinda vita kiurahisi na leo hii wanawasiliana na mwenyekiti kupongezana,
Wenye uchungu nendeni mkaiombe mahakama!
Naungana na lissu mwenyekiti kalamba buyu la asali!
Kwahiyo tukuamini wewe mlinda legacy 🤣🤣🤣🤣? Samia na Mbowe ni waongo? Hii blunder mliyoifanya awamu ya tano ni ya hovyo sana, mliamini kila kitu katika kutumia nguvu kuliko akili!!
 
Mh Mbowe alishupaza sauti kwa kujifanya yupo siriasi kwa kuwaonyesha wafuasi wake watiifu kuwa anayasema maneno yale mbele ya raisi ana uchungu mwingi ilihali anajua jambo lile lina baraka zao na wale wapo pale mpaka wamalize muda wao,
Kutaka kucheza na akili zao na kweli amefanikiwa kwa lengo lake wengi wao wameamini Mbowe hataki covid19 wawepo pale wakati yeye na baadhi ya viongozi ni wanufaika wa wale wanawake kuwepo bungeni.
Lissu hakukosea aliposema mwenyekiti amelamba asali,jibu limepatikana Mbowe hana lawama tena amejivua kiakili kwa kuonyesha kuwa ahusiki ila kwa kuwa anaongoza waliolala milele wamebaki kushangalia hutuba yake ya kimkakati.
Kiufupi Halima's mdee and gangs wameshinda vita kiurahisi na leo hii wanawasiliana na mwenyekiti kupongezana,
Wenye uchungu nendeni mkaiombe mahakama!
Naungana na lissu mwenyekiti kalamba buyu la asali!
DR(PhD) AZAVEL LWAITAMA jana amewagonga covid 19 kule mahakaman hawana hamu hadi mawakili wao wa kuungaunga wakaanza kutaftana.
 
Kwenye wabunge 19 kuna mke wa naibu katibu mkuu bara Benson Kigaila. Waliobaki karibu wote ni ndugu na michepuko ya vigogo wa CHADEMA. Hakuna kesi pale. Askofu wa CHADEMA Mwamakula huwa anasema mwanakondoo ameshinda tumfuate huwa anamaanisha Mbowe kama mwanakondoo aliyeshinda.
mjane wa dictator uchwara bado unarusharusha miguu kama mbwa anataka kufa kufikia 2025 utaokota makopo.
 
Kwenye wabunge 19 kuna mke wa naibu katibu mkuu bara Benson Kigaila. Waliobaki karibu wote ni ndugu na michepuko ya vigogo wa CHADEMA. Hakuna kesi pale. Askofu wa CHADEMA Mwamakula huwa anasema mwanakondoo ameshinda tumfuate huwa anamaanisha Mbowe kama mwanakondoo aliyeshinda.

Tatizo umejawa na siasa mpaka unakebehi imani za watu. Hiyo ni salamu ya Moravian.
 
Kwani huyo Lwaitama yeye ana maajabu gani???

Dr. Mzima hana hata viatu huyo ni wa kumsikiliza kweli??
Kwa akili yako kuwa na viatu ndio indicator kuwa wewe ni Dr.
Kama hujui watafte wale malaya 19 uwaulize kuhusu DR(PhD) LWAITAMA alivyowanyonga jana kule mahakaman na mawakili wao had wakaanza kutaftana.
Umeuliza kuwa anamaajabu gani swali hilo utakutana na jibu lake kwenye hukumu ya Jaji Mkeha itakapotoka.
 
DR(PhD) AZAVEL LWAITAMA jana amewagonga covid 19 kule mahakaman hawana hamu hadi mawakili wao wa kuungaunga wakaanza kutaftana.

Mawakili wanauliza maswali ya kijinga mpaka Jaji anawaambia sijaandika chochote mpka Sasa hivi maana siajona swali la maana.
 
Kwa akili yako kuwa na viatu ndio indicator kuwa wewe ni Dr.
Kama hujui watafte wale malaya 19 uwaulize kuhusu DR(PhD) LWAITAMA alivyowanyonga jana kule mahakaman na mawakili wao had wakaanza kutaftana.
Umeuliza kuwa anamaajabu gani swali hilo utakutana na jibu lake kwenye hukumu ya Jaji Mkeha itakapotoka.

Mawakili wa Mdee ni vilaza. Sijaona mpaka sasa hivi wakithibitisha kwamba wale akina Halima waliteuliwa kihalali Bali ni sarakasi tu na maswali yasiyokuwa ya maana.
 
Mawakili wanauliza maswali ya kijinga mpaka Jaji anawaambia sijaandika chochote mpka Sasa hivi maana siajona swali la maana.
Ndio maana wapumbavu wa uvccm na sukuma gang humu jf huwa nawambia waende shule hawataki wamekalia bukusaba na kuvizia teuz huku wengine wakizeeka kijingajinga tu matokeo yake wanakuwa na mawakili uchwara kama wao na hio hukumu itawagonga kwelikweli.
 
Ndio maana wapumbavu wa uvccm na sukuma gang humu jf huwa nawambia waende shule hawataki wamekalia bukusaba na kuvizia teuz huku wengine wakizeeka kijingajinga tu matokeo yake wanakuwa na mawakili uchwara kama wao na hio hukumu itawagonga kwelikweli.

Unauliza eti kikao Cha baraza kuu kilitumia shilingi ngapi? Hiyo ni akili kweli?
 
Fuatilia mahojiano ya Jana mahakamani ndio utajua ukweli wote.
 
Back
Top Bottom