Maombi ya Mbowe kwa Rais Samia yalikuwa geresha. Ukweli anaujua kuhusu Halima Mdee na wenzake 18

Maombi ya Mbowe kwa Rais Samia yalikuwa geresha. Ukweli anaujua kuhusu Halima Mdee na wenzake 18

Ndio maana wapumbavu wa uvccm na sukuma gang humu jf huwa nawambia waende shule hawataki wamekalia bukusaba na kuvizia teuz huku wengine wakizeeka kijingajinga tu matokeo yake wanakuwa na mawakili uchwara kama wao na hio hukumu itawagonga kwelikweli.
🤣🤣🤣🤣🤣 sasa utakuwa umeanza kuelewa kidogo kuwa kuna watu wamewatangulia wengine ufahamu. Yaani kuna watu hawajui na hawajui kama hawajui. Kula chuma hicho..
 
Kweny hili niliomba san humu tupewe angalau ushahid jins anavyojaza tumbo lake wakati enz za giza awamu ya tano mlimuharibia mali zake, inaonyesha waz jinsi mlivyo na roho za kimasikini!!
Ushahidi umetolewa na lissu na lema!
 
Back
Top Bottom