Maombi ya Mbowe kwa Rais Samia yalikuwa geresha. Ukweli anaujua kuhusu Halima Mdee na wenzake 18

Maombi ya Mbowe kwa Rais Samia yalikuwa geresha. Ukweli anaujua kuhusu Halima Mdee na wenzake 18

Mh Mbowe alishupaza sauti kwa kujifanya yupo siriasi kwa kuwaonyesha wafuasi wake watiifu kuwa anayasema maneno yale mbele ya raisi ana uchungu mwingi ilihali anajua jambo lile lina baraka zao na wale wapo pale mpaka wamalize muda wao,
Kutaka kucheza na akili zao na kweli amefanikiwa kwa lengo lake wengi wao wameamini Mbowe hataki covid19 wawepo pale wakati yeye na baadhi ya viongozi ni wanufaika wa wale wanawake kuwepo bungeni.
Lissu hakukosea aliposema mwenyekiti amelamba asali,jibu limepatikana Mbowe hana lawama tena amejivua kiakili kwa kuonyesha kuwa ahusiki ila kwa kuwa anaongoza waliolala milele wamebaki kushangalia hutuba yake ya kimkakati.
Kiufupi Halima's mdee and gangs wameshinda vita kiurahisi na leo hii wanawasiliana na mwenyekiti kupongezana,
Wenye uchungu nendeni mkaiombe mahakama!
Naungana na lissu mwenyekiti kalamba buyu la asali!
Aiseeh !!.
Huna akili hivyo ?! Kwahiyo siku hizi Rais wetu ni wa kuambiwa udanganyifu na blah blah tu ! Atakuwa ni Rais wa makatuni au !!.

Mnataka Cdm ifanye nini ?. Kama ni vikao vya kikatiba kuhusu jambo hili. Vimefanyika na maamuzi yakatoka hadharani. Kwamba wamefukuzwa uanachama na asubuhi yake wakapereka barua kwa dispatch bungeni ya kutowatambua. Sasa unataka nini ?

Mahakama na Tulia kuendelea kuwang'ang'ania ni shauri yao. Siyo tena swala la Mbowe
 
Kwenye wabunge 19 kuna mke wa naibu katibu mkuu bara Benson Kigaila. Waliobaki karibu wote ni ndugu na michepuko ya vigogo wa CHADEMA. Hakuna kesi pale. Askofu wa CHADEMA Mwamakula huwa anasema mwanakondoo ameshinda tumfuate huwa anamaanisha Mbowe kama mwanakondoo aliyeshinda.
Kumbe ndo mana kigaila haongeleagi swala hili,na kwenye kongamano hakuwepo au hakuwepewa nafasi.
 
DR(PhD) AZAVEL LWAITAMA jana amewagonga covid 19 kule mahakaman hawana hamu hadi mawakili wao wa kuungaunga wakaanza kutaftana.
Yule mzee Rwaitama ni mmoja kati wahaya wasomi kutoka Bukoba ila elimu yake haina msahada kwakwe wala kwa mkoa wake,Na hisi ni hasira za kukosa ule mgao wa IPTL.
 
Yule mzee Rwaitama ni mmoja kati wahaya wasomi kutoka Bukoba ila elimu yake haina msahada kwakwe wala kwa mkoa wake,Na hisi ni hasira za kukosa ule mgao wa IPTL.
Yani asome pekeyake halafu asaidie mkoa huu ni upumbavu to the highest order.
kwa taarifa yako DR. LWAITAMA anamsaada mkubwa chadema ndio maana amewagonga kisawasawa wale malaya 19 na mawakili wao uchwara mahakaman jana.
kuhusu mgao wa IPTL kama unalijua hilo itakuwa wewe ndio mmoja wa wanufaika wa huo mgao.
 
Kwenye wabunge 19 kuna mke wa naibu katibu mkuu bara Benson Kigaila. Waliobaki karibu wote ni ndugu na michepuko ya vigogo wa CHADEMA. Hakuna kesi pale. Askofu wa CHADEMA Mwamakula huwa anasema mwanakondoo ameshinda tumfuate huwa anamaanisha Mbowe kama mwanakondoo aliyeshinda.

Mbona kamati kuu na mkutano mkuu waliwafukuza?
Kama mnawapenda hawa wabunge CCM si mbaki nao?Mbona ni wenu tayari?
 
UVCCM NA SUKUMA GANG= MAUWAJI YALIYOACHWA NA MUUWAJI MKUU ANAYELIA MAYUUUUUUUUUUUUUUUU NOYAGA KULE JEHANAM.
Lisu mjanja,baada ya kugundua Mbowe ni Zumaridi,amekimbia mmebakia nyie akina ''Mbowe kasema''

Na SAMIA binti HASSAN amemaliza haoni wa kugombea uraisi huko chademani labda ubunge na udiwani.
 
Lisu mjanja,baada ya kugundua Mbowe ni Zumaridi,amekimbia mmebakia nyie akina ''Mbowe kasema''

Na SAMIA binti HASSAN amemaliza haoni wa kugombea uraisi huko chademani labda ubunge na udiwani.
wajane wa dikteta uchwara mnapenda kujifariji, ila kufikia 2025 mtakuwa vichaa kabisa.
 
Mh Mbowe alishupaza sauti kwa kujifanya yupo siriasi kwa kuwaonyesha wafuasi wake watiifu kuwa anayasema maneno yale mbele ya raisi ana uchungu mwingi ilihali anajua jambo lile lina baraka zao na wale wapo pale mpaka wamalize muda wao
Huu ni upotoshaji, na ni propaganda isiyo na tija. Unasema uongo kwa sababu gani?
 
Mh Mbowe alishupaza sauti kwa kujifanya yupo siriasi kwa kuwaonyesha wafuasi wake watiifu kuwa anayasema maneno yale mbele ya raisi ana uchungu mwingi ilihali anajua jambo lile lina baraka zao na wale wapo pale mpaka wamalize muda wao,
Kutaka kucheza na akili zao na kweli amefanikiwa kwa lengo lake wengi wao wameamini Mbowe hataki covid19 wawepo pale wakati yeye na baadhi ya viongozi ni wanufaika wa wale wanawake kuwepo bungeni.
Lissu hakukosea aliposema mwenyekiti amelamba asali,jibu limepatikana Mbowe hana lawama tena amejivua kiakili kwa kuonyesha kuwa ahusiki ila kwa kuwa anaongoza waliolala milele wamebaki kushangalia hutuba yake ya kimkakati.
Kiufupi Halima's mdee and gangs wameshinda vita kiurahisi na leo hii wanawasiliana na mwenyekiti kupongezana,
Wenye uchungu nendeni mkaiombe mahakama!
Naungana na lissu mwenyekiti kalamba buyu la asali!
Genge S mmeonesha dadili zote za kuchanganyikiwa kwa jinsi Chadema inayoiteka CCM na nchi yote.
 
mjane wa dictator uchwara bado unarusharusha miguu kama mbwa anataka kufa kufikia 2025 utaokota makopo.
CHADEMA kwa sasa wapinzani wenu ni bodaboda. Mwenyekiti wenu ni mtiifu sana kwa mwenyekiti wetu. Mpambane sana maana bodaboda wanawazidi hoja.
 
Kwanini jaji amepanga ile kesi mpk april, nilitegemea apange mfululizo ili tujue mbichi ma mbivu.Jaji acha biases aisee
 
Kwahiyo tukuamini wewe mlinda legacy [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]? Samia na Mbowe ni waongo? Hii blunder mliyoifanya awamu ya tano ni ya hovyo sana, mliamini kila kitu katika kutumia nguvu kuliko akili!!
Mbowe yupo kimkati na kujaza tumbo lake!
 
DR(PhD) AZAVEL LWAITAMA jana amewagonga covid 19 kule mahakaman hawana hamu hadi mawakili wao wa kuungaunga wakaanza kutaftana.
2025 ndio muda wao utamalizika kama wabunge wastaafu wa chadema hizo za lwaitama ni ngonjera kama kibatala!
 
Back
Top Bottom