Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
labda wale bodaboda wa mchongo kutoka uvccm ambao ni wapumbavu na chadema haiwahitaji.CHADEMA kwa sasa wapinzani wenu ni bodaboda. Mwenyekiti wenu ni mtiifu sana kwa mwenyekiti wetu. Mpambane sana maana bodaboda wanawazidi hoja.
wewe huwa unajaza tumbo la nani.Mbowe yupo kimkati na kujaza tumbo lake!
labda chadema ya uvccm na sukuma gang ndio watakuwa wabunge wastafu wake.2025 ndio muda wao utamalizika kama wabunge wastaafu wa chadema hizo za lwaitama ni ngonjera kama kibatala!
kamba nyie mlivyo na yule shehe ubwabwa wa daresalaam.Askofu Mwamakula ni kada mtiifu wa CHADEMA.... ni mchungaji wa CHADEMA
uvccm na sukuma gang ni mapumbavu wala usihangaike.Huu ni upotoshaji, na ni propaganda isiyo na tija. Unasema uongo kwa sababu gani?
kwamba aliposema hivyo ukajifarij ndio maana nyie uvcvm na sukuma gang huwa nawambia ni wapumbavu kwa akili zenu za kijinga subirin 2025 ndio mtaelewa vizuriKwa sura alizoziona pale zinastahili kugombea ubunge na udiwani,tena hata huko amesema ''labda''
Mmeshapoteza malengo... badala ya kupambana na washindani wenu nyie mnapambana na wapiga kura. Imekula kwenulabda wale bodaboda wa mchongo kutoka uvccm ambao ni wapumbavu na chadema haiwahitaji.
Hebu tusaidie. Ni kweli kwamba mmoja wa Covi 19 ni Mke wa Naibu Katibu Mkuu Bara?Kwa akili yako kuwa na viatu ndio indicator kuwa wewe ni Dr.
Kama hujui watafte wale malaya 19 uwaulize kuhusu DR(PhD) LWAITAMA alivyowanyonga jana kule mahakaman na mawakili wao had wakaanza kutaftana.
Umeuliza kuwa anamaajabu gani swali hilo utakutana na jibu lake kwenye hukumu ya Jaji Mkeha itakapotoka.
Mke wa Kiongozi wa CDM ZNdugu Kigaila ni miongoni mwa Covid 19?UVCCM NA SUKUMA GANG= MAUWAJI YALIYOACHWA NA MUUWAJI MKUU ANAYELIA MAYUUUUUUUUUUUUUUUU NOYAGA KULE JEHANAM.
Labda kama wewe ni michepuko wa Mbowe ndo maana husikii wa huoni. Mbowe kawauza... Mbowe ni mjasiliamali wa siasa. Polewewe huwa unajaza tumbo la nani.
Mtasubiriiiii na hayatatokeaaaaa mbowe anajua kuwasomea dua mkalala wenyewe kama ngamia na kuwachinjilia mbali!labda chadema ya uvccm na sukuma gang ndio watakuwa wabunge wastafu wake.
Shusha pumzi na fuatialia kinachoendelea mahakani wiki hii vinginevyo utaonyesha hadharani utimamu ulio na shaka wa ufahamu wako.Mh Mbowe alishupaza sauti kwa kujifanya yupo siriasi kwa kuwaonyesha wafuasi wake watiifu kuwa anayasema maneno yale mbele ya raisi ana uchungu mwingi ilihali anajua jambo lile lina baraka zao na wale wapo pale mpaka wamalize muda wao,
Kutaka kucheza na akili zao na kweli amefanikiwa kwa lengo lake wengi wao wameamini Mbowe hataki covid19 wawepo pale wakati yeye na baadhi ya viongozi ni wanufaika wa wale wanawake kuwepo bungeni.
Lissu hakukosea aliposema mwenyekiti amelamba asali,jibu limepatikana Mbowe hana lawama tena amejivua kiakili kwa kuonyesha kuwa ahusiki ila kwa kuwa anaongoza waliolala milele wamebaki kushangalia hutuba yake ya kimkakati.
Kiufupi Halima's mdee and gangs wameshinda vita kiurahisi na leo hii wanawasiliana na mwenyekiti kupongezana,
Wenye uchungu nendeni mkaiombe mahakama!
Naungana na lissu mwenyekiti kalamba buyu la asali!
We kibavicha,kila uchaguzi tunawanyuka halafu unasema hatuna akili kweli!!!??2025 tukasimamisha wagombea uraisi wawili,mkatuangalia tu!kwamba aliposema hivyo ukajifarij ndio maana nyie uvcvm na sukuma gang huwa nawambia ni wapumbavu kwa akili zenu za kijinga subirin 2025 ndio mtaelewa vizuri
Kweny hili niliomba san humu tupewe angalau ushahid jins anavyojaza tumbo lake wakati enz za giza awamu ya tano mlimuharibia mali zake, inaonyesha waz jinsi mlivyo na roho za kimasikini!!Mbowe yupo kimkati na kujaza tumbo lake!
Yes. They are in panic.Genge S mmeonesha dadili zote za kuchanganyikiwa kwa jinsi Chadema inayoiteka CCM na nchi yote.
Subiri tukuletee!Kweny hili niliomba san humu tupewe angalau ushahid jins anavyojaza tumbo lake wakati enz za giza awamu ya tano mlimuharibia mali zake, inaonyesha waz jinsi mlivyo na roho za kimasikini!!
Ok wakusanye walinda legacy wenzako mlete evidence!!Subiri tukuletee!
Wenye darubini kali tulishasema hatusubiri lema arudie!Mh Mbowe alishupaza sauti kwa kujifanya yupo siriasi kwa kuwaonyesha wafuasi wake watiifu kuwa anayasema maneno yale mbele ya raisi ana uchungu mwingi ilihali anajua jambo lile lina baraka zao na wale wapo pale mpaka wamalize muda wao,
Kutaka kucheza na akili zao na kweli amefanikiwa kwa lengo lake wengi wao wameamini Mbowe hataki covid19 wawepo pale wakati yeye na baadhi ya viongozi ni wanufaika wa wale wanawake kuwepo bungeni.
Lissu hakukosea aliposema mwenyekiti amelamba asali,jibu limepatikana Mbowe hana lawama tena amejivua kiakili kwa kuonyesha kuwa ahusiki ila kwa kuwa anaongoza waliolala milele wamebaki kushangalia hutuba yake ya kimkakati.
Kiufupi Halima Mdee and gangs wameshinda vita kiurahisi na leo hii wanawasiliana na mwenyekiti kupongezana,
Wenye uchungu nendeni mkaiombe mahakama!
Naungana na lissu mwenyekiti kalamba buyu la asali!
Nafikiri sasa akili imekukaa sawa!Ok wakusanye walinda legacy wenzako mlete evidence!!