Maombi ya Mbowe kwa Rais Samia yalikuwa geresha. Ukweli anaujua kuhusu Halima Mdee na wenzake 18

🤣🤣🤣🤣🤣 sasa utakuwa umeanza kuelewa kidogo kuwa kuna watu wamewatangulia wengine ufahamu. Yaani kuna watu hawajui na hawajui kama hawajui. Kula chuma hicho..
 
Kweny hili niliomba san humu tupewe angalau ushahid jins anavyojaza tumbo lake wakati enz za giza awamu ya tano mlimuharibia mali zake, inaonyesha waz jinsi mlivyo na roho za kimasikini!!
Ushahidi umetolewa na lissu na lema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…