Tetesi: Maombi ya Mnyika kujiunga CCM yakwamishwa na kauli yake ya kuudhi dhidi ya mstaafu Kikwete aliyoitoa bungeni

Tetesi: Maombi ya Mnyika kujiunga CCM yakwamishwa na kauli yake ya kuudhi dhidi ya mstaafu Kikwete aliyoitoa bungeni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Inasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!
 
Inasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!
Hapo kwenye bold ndio pamenifanya nisiiamini ukisemacho; yaani Mnyika aandike barua to ccm halafu makao makuu ya Chadema/Ufipa wawe na taarifa za namna hiyo!? Uongo wa kiwango cha degree.
Back to the topic; kwani jiwe si ndio anafurahishwa na wanao muunga mkono huku wakiponda watangulizi wake!? Kauri zake pia zinaonesha hivyo several time so kama kweli Mnyika angekua kaandika barua, Lumumba wangeona "hakika wamevua SANGARA" lenye tani kadhaa kwa maana ya uzito; Mwigamba, KAfulila na wengine wengi waliporudi walionesha kwamba ccm hi ni tofauti na ccm ile waliokua wakiipinga; what is the difference with Mnyika!? Hu ni UONGO.
 
Hapo kwenye bold ndio pamenifanya nisiiamini ukisemacho; yaani Mnyika aandike barua to ccm halafu makao makuu ya Chadema/Ufipa wawe na taarifa za namna hiyo!? Uongo wa kiwango cha degree.
Back to the topic; kwani jiwe si ndio anafurahishwa na wanao muunga mkono huku wakiponda watangulizi wake!? Kauri zake pia zinaonesha hivyo several time so kama kweli Mnyika angekua kaandika barua, Lumumba wangeona "hakika wamevua SANGARA" lenye tani kadhaa kwa maana ya uzito; Mwigamba, KAfulila na wengine wengi waliporudi walionesha kwamba ccm hi ni tofauti na ccm ile waliokua wakiipinga; what is the difference with Mnyika!? Hu ni UONGO.
Tutasikia mengi kwa kweli!
 
Hapo kwenye bold ndio pamenifanya nisiiamini ukisemacho; yaani Mnyika aandike barua to ccm halafu makao makuu ya Chadema/Ufipa wawe na taarifa za namna hiyo!? Uongo wa kiwango cha degree.
Back to the topic; kwani jiwe si ndio anafurahishwa na wanao muunga mkono huku wakiponda watangulizi wake!? Kauri zake pia zinaonesha hivyo several time so kama kweli Mnyika angekua kaandika barua, Lumumba wangeona "hakika wamevua SANGARA" lenye tani kadhaa kwa maana ya uzito; Mwigamba, KAfulila na wengine wengi waliporudi walionesha kwamba ccm hi ni tofauti na ccm ile waliokua wakiipinga; what is the difference with Mnyika!? Hu ni UONGO.
Mkuu usikariri unadhani hapo Ufipa mko Chadema watupu........hahahaa Nape alimlipia Dr Slaa ada ya uanachama hadi 2020, je umewahi kumsikia Slaa akisema ' anarejea' CCM?...... Kalagabaho mkuu!
 
Inasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!
Mngesha ichapisha hiyo barua kitambo tu. Tena kama ni kweli inawauma mngeisambaza halafu mngemkatalia.
by the way, ukimuondoa Julius Mtatilo ni nani mwingine aliyeomba kujiunga na CCM, maana wote waliandika barua ya kujiuzuru na kutoa tamko la kujiunga. Hakuna aliyeandika barua ya kujiunga.
 
Mkuu usikariri unadhani hapo Ufipa mko Chadema watupu........hahahaa Nape alimlipia Dr Slaa ada ya uanachama hadi 2020, je umewahi kumsikia Slaa akisema ' anarejea' CCM?...... Kalagabaho mkuu!
Fikiria tena na mtunge upya, hi singo imeisha doda sana, haifanyi vizuri sokoni. Shida moja nyingine hua mnadhania wote tunao wakosoa tuna kadi za vyama na kuishi maisha ya bure kama nyie, sijui hata hapo UFIPA panafananaje zaidi ya kuona jina la makao makuu ya Chadema yapo UFIPA, vyumba vya Lumumba walau nina vifahau fahamu but sio UFIPA.
 
Mbunge Mnyika si kamanda tena, matendo na maneno yake hayuko Chadema, hata mtaani Kijichi anajulikana hana mpango wa kubaki aliko, ANAREJEA NYUMBANI KULIKONOGA!
 
Propaganda at work? Yaani Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aandike barua ya kujiunga ccm mumkatalie wakati wenyeviti wa vijiji 20 wa CHADEMA kutoka Hai walipohamia CCM mlifanya sherehe?
Mnyika chadema hawamtambui kama naibu katibu mkuu, anayetambuliwa ni Salum Mwalimu naibu katibu mkuu chadema zanzibar.Huyo ndio huwa anakishika na cheo cha naibu katibu mkuu tanzania bara .ndio maana kutwa Salum mwalimu huwa tanzania bara akifanya kazi za mnyika ambazo ndiye anayetakiwa kufanya.Mnyika ana cheo hewa cha naibu katibu mkuu bara
 
Back
Top Bottom