Tetesi: Maombi ya Mnyika kujiunga CCM yakwamishwa na kauli yake ya kuudhi dhidi ya mstaafu Kikwete aliyoitoa bungeni

Tetesi: Maombi ya Mnyika kujiunga CCM yakwamishwa na kauli yake ya kuudhi dhidi ya mstaafu Kikwete aliyoitoa bungeni

Hapo kwenye bold ndio pamenifanya nisiiamini ukisemacho; yaani Mnyika aandike barua to ccm halafu makao makuu ya Chadema/Ufipa wawe na taarifa za namna hiyo!? Uongo wa kiwango cha degree.
Back to the topic; kwani jiwe si ndio anafurahishwa na wanao muunga mkono huku wakiponda watangulizi wake!? Kauri zake pia zinaonesha hivyo several time so kama kweli Mnyika angekua kaandika barua, Lumumba wangeona "hakika wamevua SANGARA" lenye tani kadhaa kwa maana ya uzito; Mwigamba, KAfulila na wengine wengi waliporudi walionesha kwamba ccm hi ni tofauti na ccm ile waliokua wakiipinga; what is the difference with Mnyika!? Hu ni UONGO.

Upo sahihi mkuu. Ila tu hapo uliposema ni "uongo wa kiwango cha degree", kwani ni uongo wa kiwango cha mtu ambaye hakwenda shule kabisaaa. Tafadhali, tuipe degree heshma yake.
 
Inasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!
Propaganda za kitoto kabisa kuwahi kutokea.
 
Upo sahihi mkuu. Ila tu hapo uliposema ni "uongo wa kiwango cha degree", kwani ni uongo wa kiwango cha mtu ambaye hakwenda shule kabisaaa. Tafadhali, tuipe degree heshma yake.
Haa ha ha, sawa mkuu. Hawa wanao kula vyakula vya buku saba saba hawa, wanadhani kila mtu ni mjinga tu, hana uwezo wa kufikiri. Hizi story wangezipeleka UWT kule halafu mwanachama mmoja atolee tamko hilo then tbc wangerusha tu hivyo hivyo
 
Mkuu usikariri unadhani hapo Ufipa mko Chadema watupu........hahahaa Nape alimlipia Dr Slaa ada ya uanachama hadi 2020, je umewahi kumsikia Slaa akisema ' anarejea' CCM?...... Kalagabaho mkuu!
Unapuyuka tu mithili ya mlevi wa pombe za kienyeji!!!!evidences.....ushuzi mtupu
 
Cheo cha maandazi anacho yule ajuza kijana
Hahahaa...... Ufipa ina Mwenyekiti tu na yule kiongozi wa Bawacha...........hivyo vingine ni vyeo maandazi tu ndio maana akina Mwita Waitara wameufata ubunge wa " ukweli " kule CCM!
 
Inasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!


Mwana mfipa, you mean mchawi wako? Ila Kikwete hastahili kuombwa msamaha kwani jamaa alikuwa useless mno as a president. namshauri Mnyika asiandike barua kuomba msamaha huko kutakuwa kumdhalilisha yeye.
 
Inasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!
jitu kubwa,jitu nene,jitu somi lakini jinga,lakin lina umbea kama dada zake,jinga sana hili,fanya kazi halali za kiume usiklie umbea sawa
 
Mwenyekiti muongo,wanachama waongo!hivi nyingi mnaenda hata kanisani kweli?
 
Mbwiga sisi chadema Mnyika akiondoka ruzuku itapungua!
janja jinga usiejielewa!!Umepata nafasi ya kutoa ushuzi huu kwa kuwa kuna CHADEMA!!Mim nawish mkimalize hata kesho alafu tushuhudie maisha yenu ya peponi Lumumba!!*Unapewa posho ya ubwabwa maharage kwakua kuna CHADEMA!!
 
Propaganda at work? Yaani Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aandike barua ya kujiunga ccm mumkatalie wakati wenyeviti wa vijiji 20 wa CHADEMA kutoka Hai walipohamia CCM mlifanya sherehe?
Reasonable person lazima ureason Sasa wewe endelea kusema propaganda
 
Back
Top Bottom