Tetesi: Maombi ya Mnyika kujiunga CCM yakwamishwa na kauli yake ya kuudhi dhidi ya mstaafu Kikwete aliyoitoa bungeni

Tetesi: Maombi ya Mnyika kujiunga CCM yakwamishwa na kauli yake ya kuudhi dhidi ya mstaafu Kikwete aliyoitoa bungeni

Inasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!

1. Tunakaa tunawalaumu sana mataifa ya Magharibi na Marekani, na sasa China,kwamba wao ndio wanatuhujumu kiuchumi, lakini tatizo kubwa na pekee ni sisi wenyewe waafrika. Kwa thinking kama hii ya kwako, ya kuamini kwamba Mnyika akija CCM ndio CCM ita-balance au itaweza kuwaletea wananchi maendeleo ndio maana tumeshindwa kusonga mbele pasi na kufahamu tatizo ni nini hasa?

2. Hivi kweli fikra kama hizi za mtu Wa Level yako kuamua kushughulisha akili yako kuandika vitu vya kutunga sio ishara na kielelezo tosha cha jinsi tunavyochezea rasilimali muda?

3. Hivi watanzania na hasa tunaojiita wasomi kuamua kukaza akili zetu katika kushawishi watu wahamie katika vyama vyetu ndio matunda ya kukaa kwetu madarasani kwa zaidi ya miaka 16?

4.Je,fikra kama hizi za kuacha kuandika mambo chanya na kuamua kutunga mambo ambayo kwa hakika unafahamu hayana Kichwa wala miguu,inatosha kusadikisha kwamba Taifa hili kweli watu wake wanajitambua?
 
Haya nayo ni maajabu mojawapo ya CCM kudai kukataa maombi ya Mnyika mwenye hadhi ya kupewa nafasi ya Magufuli ndani ya CCM na kuwapokea akina Waitara wenye hadhi ya kupewa ubalozi wa mtaa,kama sababu ya kumkataa Mnyika kujiunga na CCM ni maneno ya kashifa dhidi ya Kikwete, Magufuli angekuwa wa kwanza kutimliwa tena kwa rungu ndani ya CCM kwakuwa ndiye namba mmoja kwa kutoa maneno ya kashifa dhidi ya Kikwete.
 
Wapo wapiga viroba watabisha; Leo kuna pahala nichangia kuwa, Hata leo Lema, Heche, Nasar na Sugu watangaze kuingia CCM hawawezi kubaliwa ng'oo, wasubiri kiama yao 2020.

Fanya Yote ila nidhamu ya kinywa n muhimu.
KWani lazima kujiunga ccm! Mbona akina sisi hatuna mjomba wala Shangazi wala ndugu yoyote alieko huko ccm na maisha yanasonga vizuri tu.
Usikariri! sio kwamba kila mtu anaendesha maisha yake kwa kulamba makalio ya viongozi hapo Lumumba
 
1. Tunakaa tunawalaumu sana mataifa ya Magharibi na Marekani, na sasa China,kwamba wao ndio wanatuhujumu kiuchumi, lakini tatizo kubwa na pekee ni sisi wenyewe waafrika. Kwa thinking kama hii ya kwako, ya kuamini kwamba Mnyika akija CCM ndio CCM ita-balance au itaweza kuwaletea wananchi maendeleo ndio maana tumeshindwa kusonga mbele pasi na kufahamu tatizo ni nini hasa?

2. Hivi kweli fikra kama hizi za mtu Wa Level yako kuamua kushughulisha akili yako kuandika vitu vya kutunga sio ishara na kielelezo tosha cha jinsi tunavyochezea rasilimali muda?

3. Hivi watanzania na hasa tunaojiita wasomi kuamua kukaza akili zetu katika kushawishi watu wahamie katika vyama vyetu ndio matunda ya kukaa kwetu madarasani kwa zaidi ya miaka 16?

4.Je,fikra kama hizi za kuacha kuandika mambo chanya na kuamua kutunga mambo ambayo kwa hakika unafahamu hayana Kichwa wala miguu,inatosha kusadikisha kwamba Taifa hili kweli watu wake wanajitambua?
Mkuu naona umevurugwa!
 
Inasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!
Babako angejua utatoka kiumbe kama wewe angepiga bao la mkono.
 
Hehehehh lumumba hoyeee? Mtoa mada tafuta uongo unaofanana na ukweli
 
Wangekubali fasta mana ubunge+ N/katibu mkuu nadhani kwenye ile tbccm ingekuwa ndo habari ya mwaka mzima.Tena yeye ameomba tofauti na wengene kodi zetu zimetumika.
 
Si aende tu, tumechoka na walamba viatu kwanza who is Mnyika by the way.
Tumechoka na upinzani wa vyama, sasa tunataka upinzani uende "Underground" ndio itapendeza na ndio heshima itarudi.
 
Propaganda at work? Yaani Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aandike barua ya kujiunga ccm mumkatalie wakati wenyeviti wa vijiji 20 wa CHADEMA kutoka Hai walipohamia CCM mlifanya sherehe?

Mnasahau haraka sana. Dr. Slaa wakati anaondoka alikuwa na cheo gani?
 
Inasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!

Ushoga utakuua
 
Mtoa mada mi sikuelewi kwa hiyo JJ Mnyika akienda ccm so what? Siku hizi stori za fulani kaenda ccm sio ishu tena zilisha buma kitambo
 
Back
Top Bottom