Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fact.Propaganda at work? Yaani Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aandike barua ya kujiunga ccm mumkatalie wakati wenyeviti wa vijiji 20 wa CHADEMA kutoka Hai walipohamia CCM mlifanya sherehe?
we ndio punguza umbea inakuwaje ulete habari haina uhakika kama sio umbea kwa mtoto wa kiume na hicho ndio kiherehere .lete hbr jukwaani ikiwa kamili na uthibitisho sio kukurupuka tuMbwiga punguza kihere here!
Kwa uelewa wangu mdogo wa CCM, huo Msamaha angeuombea jukwaani siku anatangaza kuunga mkono juhudi za raisInasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!
Wale 20 wa moshi si wengine wamejitokeza kukataa na wengine walilazimishwa na tus tus tussaPropaganda at work? Yaani Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aandike barua ya kujiunga ccm mumkatalie wakati wenyeviti wa vijiji 20 wa CHADEMA kutoka Hai walipohamia CCM mlifanya sherehe?
Mbwiga JJ yumo humu jamvini umesikia akikanusha?........au wewe mbwiga ni mgeni hapa mjini!we ndio punguza umbea inakuwaje ulete habari haina uhakika kama sio umbea kwa mtoto wa kiume na hicho ndio kiherehere .lete hbr jukwaani ikiwa kamili na uthibitisho sio kukurupuka tu
Mnyika aombe radhi tu apokelewe ili wana kibamba wamchague tena aendelee kuwatumikia kwa tiketi ya chama dume!CCM na siasa za maji ya chooni.
Lumumba buku 7 mmepwaya sana mitandaoni hadi spika wa bunge amewaomba mawaziri na wabunge wa CCM waje mitandaoni kujibu hoja.
Mnyika aombe radhi tu apokelewe ili wana kibamba wamchague tena aendelee kuwatumikia kwa tiketi ya chama dume!
Chadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara........ Kwa maana hiyo nyie akina David ni sisimizi tu!hayo maji ya chooni hapo Lumumba mnayanywa kwa kasi hadi mnakuwa wehu.
Chadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara........ Kwa maana hiyo nyie akina David ni sisimizi tu!
Chadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara........ Kwa maana hiyo nyie akina David ni sisimizi tu!
Chadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara........ Kwa maana hiyo nyie akina David ni sisimizi tu!
we jamaa aiseeeh yaan mbowe na mdee ndio wamiliki wa cdm ahsante kwa kutuonesha upeo wako wa kufikiri ulivyo chini mkuuChadema inamilikiwa na Mbowe na Halima Mdee by Mwita Waitara........ Kwa maana hiyo nyie akina David ni sisimizi tu!
Na je ombi la mbowe kujiunga ccm limekataliwa kwa sababi zipi?Propaganda at work? Yaani Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aandike barua ya kujiunga ccm mumkatalie wakati wenyeviti wa vijiji 20 wa CHADEMA kutoka Hai walipohamia CCM mlifanya sherehe?
akanushe umbea haaahaa si wa vile mkuu ukiona mtu anakanusha umbea ujue ana matatizo maana nyie mmeajiriwa kufanya umbea na mko wengi ,atakunasha umbea mingapi na amidume mimbea kila siku inpost umbea kama sehemu ya kazi zao,acha awatumikie wananchi wake umbea pelekeni sekretariati yenu kwa huyu anayewalipa huo umbea tena kwa midume mizima yenye familiaMbwiga JJ yumo humu jamvini umesikia akikanusha?........au wewe mbwiga ni mgeni hapa mjini!
Mbwiga hayo ni maneno ya Mwita Waitara mbunge wa Ukonga anayeijua chadema kiundani kuliko wewe!we jamaa aiseeeh yaan mbowe na mdee ndio wamiliki wa cdm ahsante kwa kutuonesha upeo wako wa kufikiri ulivyo chini mkuu
SawaInasemekana kuwa barua ya maombi ya kujiunga na CCM ya mbunge wa kiibamba JJ Mnyika wa chadema imekwamishwa na Wanene wa CCM. Sababu kuu ni kauli ya dharau na kuudhi aliyoitoa Mnyika katika bunge la Makinda iliyomlenga Rais wa awamu ya 4 aliyekuwa pia Mwenyekiti wa CCM taifa. Inadaiwa ama Mnyika amuombe JK msamaha hadharani au amwandikie KM wa CCM barua nyingine ya kuomba radhi na copy aipeleke kwa mstaafu JK. Nimejulishwa na mwana Ufipa mmoja juu ya kadhia hii, binafsi naomba niishie hapo!
Naona unaogopa sana!!.......wenzio wanasema aliondoka Dr Slaa itakuwa Mnyika?..... Usiogope Mnyika atafanya maamuzi sahihi.akanushe umbea haaahaa si wa vile mkuu ukiona mtu anakanusha umbea ujue ana matatizo maana nyie mmeajiriwa kufanya umbea na mko wengi ,atakunasha umbea mingapi na amidume mimbea kila siku inpost umbea kama sehemu ya kazi zao,acha awatumikie wananchi wake umbea pelekeni sekretariati yenu kwa huyu anayewalipa huo umbea tena kwa midume mizima yenye familia
hakuna anayeogopa ni uamuzi wao hata wakisema waondoke wote NA ccm itengeneze chama kingine ni sawa.Kinachonikera mimi ni kwa wasomi kama nyie kutumika namna hii kwa malipo madogo sana huku mkijua mnamkosea Mungu NA MANAFANYA MAKUSUDI hii ni hatari sanaNaona unaogopa sana!!.......wenzio wanasema aliondoka Dr Slaa itakuwa Mnyika?..... Usiogope Mnyika atafanya maamuzi sahihi.