MAOMBI YA MUDA MREFU: Upumbavu wa imani yetu ya kikristo ambao hata mahusiano ya kibinadamu hayakubaliani nayo!

MAOMBI YA MUDA MREFU: Upumbavu wa imani yetu ya kikristo ambao hata mahusiano ya kibinadamu hayakubaliani nayo!

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Wewe una mzazi wako halafu unaenda kukaa hapo mlangoni usiku kumpigia maombi ya kuomba ada au hela ya kununua daftari au kalam au pesa ya mtaji wa biashara. Usiku kucha unampigia mzazi makelele......baaba....... baaaaba. Au una mpenzi wako kitandani unampigia makele usiku kucha unaomba akununulie gari!!! Ndio hawa wakristo wasiojua maandiko wanachokifanya.

Hakuna Mungu anayesikiliza huo upumbavu. Ukisema umesoma kwenye biblia kwamba Yesu alikuwa akienda kusali usiku kucha unaelewa maana yake ? Wewe una one to one communication na huyo Mungu unapobwabwaja maneno usiku kucha?

Una maongezi na Mungu au unaongea na mtu ambaye nusu saa wala hakujibu???? Huo ni upumbavu. Umesoma hata hilo andiko kwenye lugha mama au umesoma tafsiri ya kiswahili au kiingereza ya mtu aliyetafsiri kwa muono wake?

Mungu huangalia SINCERITY OF THE HEART na siyo wingi wa maneno au muda . God is infinite. Kwake hakuna tofauti kati ya 1 na 100000000000000000. Infinity has no measures!
 
Wewe una mzazi wako halafu unaenda kukaa hapo mlangoni usiku kumpigia maombi ya kuomba ada au hela ya kununua daftari au kalam au pesa ya mtaji wa biashara. Usiku kucha unampigia mzazi makelele......baaba....... baaaaba. Ndio hawa wakristo wasiojua maandiko wanachokifanya. Hakuna Mungu anayesikiliza huo upumbavu. Ukisema umesoma kwenye biblia kwamba Yesu alikuwa akienda kusali usiku kucha unaelewa maana yake ? Wewe una one to one communication na huyo Mungu unapobwabwaja maneno usiku kucha? Una maongezi na Mungu au unaongea na mtu ambaye nusu saa wala hakujibu???? Huo ni upumbavu. Umesoma hata hilo andiko kwenye lugha mama au umesoma tafsiri ya kiswahili au kiingereza ya mtu aliyetafsiri kwa muono wake?

Unaandika kwa kulalamika kama wao wanavyolalamika kwenye maombi

Basi wafundishe watu kuomba kisahihi


Tofauti na hapo , hao unwaita wapumbavu mko kundi moja.
 
Unaandika kwa kulalamika kama wao wanavyolalamika kwenye maombi

Basi wafundishe watu kuomba kisahihi


Tofauti na hapo , hao unwaita wapumbavu mko kundi moja.
Silalamiki natoa elimu. Soma tena maelezo yangu mpaka mwisho. Nimefanya editing kidogo. Asante kwa kuchangia.
 
Nakujulisha tu. Maombi yanayofanyika si kuomba tu kuna kumwabudu Mungu kwa masaa mengi na si kwamba saa zote unamwomba. Hata Mbinguni kuna wazee ishirini na nne wanaomwabudu Mungu usiku na mchana. Kwenda kukesha ni pamoja na kumwimbia MUNGU NA KUMSIFU.

Ufunuo 4:10-11​

10 wazee ishirini na nne waliinama mbele yake yule anayekaa kwenye kiti cha enzi. Wanamwabudu anayeishi milele na milele. Wanaweka taji zao mbele ya kiti cha enzi na kusema:
11 “Bwana wetu na Mungu!
Unastahili kupokea utukufu, heshima na nguvu.
Uliumba vitu vyote.
Kila kinachoishi kiliumbwa kwa sababu ulitaka.”
 
Wenzako tunaomba na tunajibiwa ,huwezi kujibiwa kama moyo wako umejawa na tamaa,Kila ukiona mwanamke mwenye makalio makubwa unatetemeka ,halafu unataka Mungu akujibu?.Mimi maisha yangu asilimia 100% nategemea ,Mungu kwenye Kila hatua
 
Wewe una mzazi wako halafu unaenda kukaa hapo mlangoni usiku kumpigia maombi ya kuomba ada au hela ya kununua daftari au kalam au pesa ya mtaji wa biashara. Usiku kucha unampigia mzazi makelele......baaba....... baaaaba. Au una mpenzi wako kitandani unampigia makele usiku kucha unaomba akununulie gari!!! Ndio hawa wakristo wasiojua maandiko wanachokifanya. Hakuna Mungu anayesikiliza huo upumbavu. Ukisema umesoma kwenye biblia kwamba Yesu alikuwa akienda kusali usiku kucha unaelewa maana yake ? Wewe una one to one communication na huyo Mungu unapobwabwaja maneno usiku kucha? Una maongezi na Mungu au unaongea na mtu ambaye nusu saa wala hakujibu???? Huo ni upumbavu. Umesoma hata hilo andiko kwenye lugha mama au umesoma tafsiri ya kiswahili au kiingereza ya mtu aliyetafsiri kwa muono wake? Mungu huangalia SINCERITY OF THE HEART na siyo wingi wa maneno au muda . God is infinite. Kwake hakuna tofauti kati ya 1 na 100000000000000000. Infinity has no measures!
1 Wakorintho 10:12 (SRUV) Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.
 
Wewe una mzazi wako halafu unaenda kukaa hapo mlangoni usiku kumpigia maombi ya kuomba ada au hela ya kununua daftari au kalam au pesa ya mtaji wa biashara. Usiku kucha unampigia mzazi makelele......baaba....... baaaaba. Au una mpenzi wako kitandani unampigia makele usiku kucha unaomba akununulie gari!!! Ndio hawa wakristo wasiojua maandiko wanachokifanya.

Hakuna Mungu anayesikiliza huo upumbavu. Ukisema umesoma kwenye biblia kwamba Yesu alikuwa akienda kusali usiku kucha unaelewa maana yake ? Wewe una one to one communication na huyo Mungu unapobwabwaja maneno usiku kucha?

Una maongezi na Mungu au unaongea na mtu ambaye nusu saa wala hakujibu???? Huo ni upumbavu. Umesoma hata hilo andiko kwenye lugha mama au umesoma tafsiri ya kiswahili au kiingereza ya mtu aliyetafsiri kwa muono wake?

Mungu huangalia SINCERITY OF THE HEART na siyo wingi wa maneno au muda . God is infinite. Kwake hakuna tofauti kati ya 1 na 100000000000000000. Infinity has no measures!
Facts, hili swala wanafunzi wa YESU waliliona wakamwabia Bwana tufundishe sisi kusali.....

1 Ikawa alipokuwa mahali fulani akiomba, alipokwisha, mmoja katika wanafunzi wake alimwambia, Bwana, tufundishe sisi kusali, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake.
Luka 11:1

2 Akawaambia, Msalipo, semeni, Baba [yetu uliye mbinguni], Jina lako litakaswe, Ufalme wako uje, [Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.]
Luka 11:2

3 Utupe siku kwa siku riziki yetu.
Luka 11:3

4 Utusamehe dhambi zetu, kwa kuwa sisi nasi tunamsamehe kila tumwiaye. Na usitutie majaribuni [lakini tuokoe na yule mwovu].
Luka 11:4
 
Facts, hili swala wanafunzi wa YESU waliliona wakamwabia Bwana tufundishe sisi kusali.....

1 Ikawa alipokuwa mahali fulani akiomba, alipokwisha, mmoja katika wanafunzi wake alimwambia, Bwana, tufundishe sisi kusali, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake.
Luka 11:1

2 Akawaambia, Msalipo, semeni, Baba [yetu uliye mbinguni], Jina lako litakaswe, Ufalme wako uje, [Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.]
Luka 11:2

3 Utupe siku kwa siku riziki yetu.
Luka 11:3

4 Utusamehe dhambi zetu, kwa kuwa sisi nasi tunamsamehe kila tumwiaye. Na usitutie majaribuni [lakini tuokoe na yule mwovu].
Luka 11:4
Sasa leo sala imekuwa ni makelele ya usiku kucha. Huyo Mungu wao ni NI MUNGU KIZIWI kama yule wa manabii wa Baali. Waliomba mchana kutwa hakuna moto ulishuka. Eliya akaomba dakika moja tu moto ukashuka.
 
Nakujulisha tu. Maombi yanayofanyika si kuomba tu kuna kumwabudu Mungu kwa masaa mengi na si kwamba saa zote unamwomba. Hata Mbinguni kuna wazee ishirini na nne wanaomwabudu Mungu usiku na mchana. Kwenda kukesha ni pamoja na kumwimbia MUNGU NA KUMSIFU.

Ufunuo 4:10-11​

10 wazee ishirini na nne waliinama mbele yake yule anayekaa kwenye kiti cha enzi. Wanamwabudu anayeishi milele na milele. Wanaweka taji zao mbele ya kiti cha enzi na kusema:
11 “Bwana wetu na Mungu!
Unastahili kupokea utukufu, heshima na nguvu.
Uliumba vitu vyote.
Kila kinachoishi kiliumbwa kwa sababu ulitaka.”
Mbinguni kuna usiku na mchana?? Mafundisho ya wapi hayo tena?? Umenikatisha hata tamaa ya kuendelea kukujibu hoja zako zingine!
 
Hao
Nakujulisha tu. Maombi yanayofanyika si kuomba tu kuna kumwabudu Mungu kwa masaa mengi na si kwamba saa zote unamwomba. Hata Mbinguni kuna wazee ishirini na nne wanaomwabudu Mungu usiku na mchana. Kwenda kukesha ni pamoja na kumwimbia MUNGU NA KUMSIFU.

Ufunuo 4:10-11​

10 wazee ishirini na nne waliinama mbele yake yule anayekaa kwenye kiti cha enzi. Wanamwabudu anayeishi milele na milele. Wanaweka taji zao mbele ya kiti cha enzi na kusema:
11 “Bwana wetu na Mungu!
Unastahili kupokea utukufu, heshima na nguvu.
Uliumba vitu vyote.
Kila kinachoishi kiliumbwa kwa sababu ulitaka.”
Hao wazee ni jinsia gani ? Kwanini 24 na sio 50 au 10 ? Nani aliwahi kuwaona ? Wapo sayari ipi? Ipo nje ya solar system? Wapo kwenye milky way galaxy yetu au adromeda galaxy?? Vp wana mawasiliano na sayari nyingine ay duniani tu nduo tuna taarifa nao?
 
Hao

Hao wazee ni jinsia gani ? Kwanini 24 na sio 50 au 10 ? Nani aliwahi kuwaona ? Wapo sayari ipi? Ipo nje ya solar system? Wapo kwenye milky way galaxy yetu au adromeda galaxy?? Vp wana mawasiliano na sayari nyingine ay duniani tu nduo tuna taarifa nao?
Hapo hutapewa jibu la maana zaidi ya blalah! Nimeshauliza swali humu hawa wahubiri wanaosema HAYA NI MAMBO YA KIROHO watuambie ROHO NI NINI? Hakuna aliyejibu!
 
Kwahio hapa mnaongelea authenticity ya kitabu au uelewa wa kitabu ? (Bible)

Sababu na mimi nina swali huyo ambae hatoi mpaka kuombwa au anatoa kwa huyu na yule hatoi huoni kwamba kuna walakini ? (Upendeleo)

Pia mbona kama ni reactive wakati kama tunavyoambiwa kila kitu ni mipango yake basi hata kuomba au kutokuomba kwako ni kutimiza tu neno) sababu alishapanga wa kuwapa na kuwanyima.
 
Wenzako tunaomba na tunajibiwa ,huwezi kujibiwa kama moyo wako umejawa na tamaa,Kila ukiona mwanamke mwenye makalio makubwa unatetemeka ,halafu unataka Mungu akujibu?.Mimi maisha yangu asilimia 100% nategemea ,Mungu kwenye Kila hatua
Kumbe Mungu hapendi wanawake wenye makalio makubwa 😰 aiseee
 
Wewe una mzazi wako halafu unaenda kukaa hapo mlangoni usiku kumpigia maombi ya kuomba ada au hela ya kununua daftari au kalam au pesa ya mtaji wa biashara. Usiku kucha unampigia mzazi makelele......baaba....... baaaaba. Au una mpenzi wako kitandani unampigia makele usiku kucha unaomba akununulie gari!!! Ndio hawa wakristo wasiojua maandiko wanachokifanya.

Hakuna Mungu anayesikiliza huo upumbavu. Ukisema umesoma kwenye biblia kwamba Yesu alikuwa akienda kusali usiku kucha unaelewa maana yake ? Wewe una one to one communication na huyo Mungu unapobwabwaja maneno usiku kucha?

Una maongezi na Mungu au unaongea na mtu ambaye nusu saa wala hakujibu???? Huo ni upumbavu. Umesoma hata hilo andiko kwenye lugha mama au umesoma tafsiri ya kiswahili au kiingereza ya mtu aliyetafsiri kwa muono wake?

Mungu huangalia SINCERITY OF THE HEART na siyo wingi wa maneno au muda . God is infinite. Kwake hakuna tofauti kati ya 1 na 100000000000000000. Infinity has no measures!
hivi matusi yote hayo ni kwa sababu tu hupendi kuomba au?
 
Kila jambo linahitaji maarifa.Kuna maarifa ya kuomba yanapatikana Kwa namna MTU anavyotafuta maarifa sahihi kwa watu sahihi...Lazima Uwe na elimu sahihi ya maombi ili uweze kuomba Kwa mafanikio...Kingine kuomba Kwa mtu hakutakuwi kusikiwa na jirani.Kwa sababu MUNGU anajua tunachotaka kabla hatujamuomba...Ndio maana mtume Paulo ametutaka tuombe ktk roho...Lugha wasiijue hata wachawi wakiwa karibu...Lakini Zaidi kuomba Kwa mtu hakutakuwi kusikiwa na majirani...It is very personal..and need privacy
 
Back
Top Bottom