Wewe una mzazi wako halafu unaenda kukaa hapo mlangoni usiku kumpigia maombi ya kuomba ada au hela ya kununua daftari au kalam au pesa ya mtaji wa biashara. Usiku kucha unampigia mzazi makelele......baaba....... baaaaba. Au una mpenzi wako kitandani unampigia makele usiku kucha unaomba akununulie gari!!! Ndio hawa wakristo wasiojua maandiko wanachokifanya.
Hakuna Mungu anayesikiliza huo upumbavu. Ukisema umesoma kwenye biblia kwamba Yesu alikuwa akienda kusali usiku kucha unaelewa maana yake ? Wewe una one to one communication na huyo Mungu unapobwabwaja maneno usiku kucha?
Una maongezi na Mungu au unaongea na mtu ambaye nusu saa wala hakujibu???? Huo ni upumbavu. Umesoma hata hilo andiko kwenye lugha mama au umesoma tafsiri ya kiswahili au kiingereza ya mtu aliyetafsiri kwa muono wake?
Mungu huangalia SINCERITY OF THE HEART na siyo wingi wa maneno au muda . God is infinite. Kwake hakuna tofauti kati ya 1 na 100000000000000000. Infinity has no measures!
Hakuna Mungu anayesikiliza huo upumbavu. Ukisema umesoma kwenye biblia kwamba Yesu alikuwa akienda kusali usiku kucha unaelewa maana yake ? Wewe una one to one communication na huyo Mungu unapobwabwaja maneno usiku kucha?
Una maongezi na Mungu au unaongea na mtu ambaye nusu saa wala hakujibu???? Huo ni upumbavu. Umesoma hata hilo andiko kwenye lugha mama au umesoma tafsiri ya kiswahili au kiingereza ya mtu aliyetafsiri kwa muono wake?
Mungu huangalia SINCERITY OF THE HEART na siyo wingi wa maneno au muda . God is infinite. Kwake hakuna tofauti kati ya 1 na 100000000000000000. Infinity has no measures!