Maombi yatawala nyumbani kwa Lulu

Bravo Bravo...... Umenena
 
Kweli mungu amsaidie asifungwe hakika anapitia kipindi kigumu
 
Nahisi ana act hata kule mahakamani inawezekana ni movie wanataka kutoa nini?Yule akiambiwa anaenda miaka 15 jela ndio akili zitafunguka,lakini hivi hivi,she will never change.
Kule kuvaa madera na vilemba
 
MTOTO AMEANZA KICHIGI JIGI MDOGO, JERA INAMHUSU, UMEUWA AFU UNAHITAJI MSAMAHA,
 
Mungu amuepushe maana kalivyokuwa kadogo wakati ule ni dhahiri hakukusudia kuua.
 
Kama kweli anamaanisha huko kuomba Mungu lazima amsikilize na amuokoe kwenye huo mdomo wa mamba. Kwani Mungu wetu hana upendeleo
 
Lulu ni mcha Mungu na muo
mbaji asiyechoka!!m
cheki
 
Mungu hachezewi,ukiwa huna shida humjui unamjua ukiwa na shida?Maombi yapi na ukahaba ule anaofanyaga?Kwanza si alitangaza kuokoka kipindi ametoka mahabusu?Mbona hakuonyesha kuendelea?
Makaaba majambazi wauaji na walevi watakuwa viti vya mbele katika ufalme wa Mungu, yahani watakuwa meza kuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…