brAin cRacker
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 590
- 767
kumbe niwe jambazi tu niwe meza kuu picha nipate kwa umakiniMakaaba majambazi wauaji na walevi watakuwa viti vya mbele katika ufalme wa Mungu, yahani watakuwa meza kuu.
Aende koko beach akapunge upepo kama siku ile alipouwaView attachment 621810
Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Mtu wa karibu wa msanii huyo alilidokeza , baada ya kesi hiyo kufikia katika hatua ya hukumu, hivi sasa kila siku maombi yanafanyika asubuhi, mchana na jioni, kwani kwa hali ilivyo hivi sasa, kila kitu kimo mikononi mwa Mungu.
“Si Lulu, si Mama yake, si ndugu zake, kila mmoja anaomba kwa muda wake, wakati mwingine kwa pamoja, au mmoja mmoja, wanachojua wao hatima ya kila kitu ipo mikononi mwa Mungu, ndiyo maana sala zinaelekezwa kwake,”
Lulu anashtakiwa kwa kosa la kumuua bila kukusudia, aliyekuwa mpenzi wake, Steven Kanumba, katika tukio lililotokea nyumbani kwa msanii huyo, Sinza Vatican mwaka 2012.
Baada ya kusikilizwa kwa ushahidi wa Jamhuri, upande wa utetezi na wazee wa mahakama, sasa hukumu hiyo itasomwa Novemba 13, mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam na Jaji Sam Rumanyika.
Acha akawe chakula kizuri cha wanyampalaView attachment 621810
Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Mtu wa karibu wa msanii huyo alilidokeza , baada ya kesi hiyo kufikia katika hatua ya hukumu, hivi sasa kila siku maombi yanafanyika asubuhi, mchana na jioni, kwani kwa hali ilivyo hivi sasa, kila kitu kimo mikononi mwa Mungu.
“Si Lulu, si Mama yake, si ndugu zake, kila mmoja anaomba kwa muda wake, wakati mwingine kwa pamoja, au mmoja mmoja, wanachojua wao hatima ya kila kitu ipo mikononi mwa Mungu, ndiyo maana sala zinaelekezwa kwake,”
Lulu anashtakiwa kwa kosa la kumuua bila kukusudia, aliyekuwa mpenzi wake, Steven Kanumba, katika tukio lililotokea nyumbani kwa msanii huyo, Sinza Vatican mwaka 2012.
Baada ya kusikilizwa kwa ushahidi wa Jamhuri, upande wa utetezi na wazee wa mahakama, sasa hukumu hiyo itasomwa Novemba 13, mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam na Jaji Sam Rumanyika.
Nipe maandiko.Makaaba majambazi wauaji na walevi watakuwa viti vya mbele katika ufalme wa Mungu, yahani watakuwa meza kuu.
Yah nimekuelewa mkuuMungu si mwanadamu. Mungu anafurahi mkosefu anapoiacha njia yake mbaya na kumrudia Mungu. Pia wakati wa shida ndo wakati haswa wa kumrudia Mungu maana Mungu hashughuliki na mambo yanayowezekana kwa mwanadamu bali anashughulika na mambo yaliyo nje ya uwezo wa Mwanadamu. Tusimhukumu mtu, kazi ya kuhukumu ni ya Mungu.
Daah! Jaman pole yake bidada aisee kesi ilivyotuliaga tulidhani imefichwa ndani ya kapeti.Mungu anatoa wakati wowote ila ni vyema zaidi ukafanya maombi kila leo na si kipindi cha shida tu by the way Mungu atakusimamia kwa hili jela si kitu kizuri mbaya zaidi kwa maisha ulioyazoe Lulu hata mwezi mmoja gerezani ni mkubwa sijui wale jamaa wakikupa mvua ya aka 10,20 au 30...itakuwaje ?
Mnafiki na Kahaba huyu....unaomba asubuhi alafu mchana unatuonyesha picha za nyuchi...stupid.View attachment 621810
Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Mtu wa karibu wa msanii huyo alilidokeza , baada ya kesi hiyo kufikia katika hatua ya hukumu, hivi sasa kila siku maombi yanafanyika asubuhi, mchana na jioni, kwani kwa hali ilivyo hivi sasa, kila kitu kimo mikononi mwa Mungu.
“Si Lulu, si Mama yake, si ndugu zake, kila mmoja anaomba kwa muda wake, wakati mwingine kwa pamoja, au mmoja mmoja, wanachojua wao hatima ya kila kitu ipo mikononi mwa Mungu, ndiyo maana sala zinaelekezwa kwake,”
Lulu anashtakiwa kwa kosa la kumuua bila kukusudia, aliyekuwa mpenzi wake, Steven Kanumba, katika tukio lililotokea nyumbani kwa msanii huyo, Sinza Vatican mwaka 2012.
Baada ya kusikilizwa kwa ushahidi wa Jamhuri, upande wa utetezi na wazee wa mahakama, sasa hukumu hiyo itasomwa Novemba 13, mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam na Jaji Sam Rumanyika.
Mungu hachezewi,ukiwa huna shida humjui unamjua ukiwa na shida?Maombi yapi na ukahaba ule anaofanyaga?Kwanza si alitangaza kuokoka kipindi ametoka mahabusu?Mbona hakuonyesha kuendelea?
Wewe huna akili,sio wote wasemao bwana bwana watauona ufalme wa mbinguni.Mcha mungu?mcha mungu yupoje?Wewe unawajua wacha mungu?unamjua mbwa mwitu aliyejivisha ngozi ya kondoo?We Ni Nani kuhukumu ??? Huyu mtoto Ni mcha Mungu nakaonaga sana kwenye maombi kabla hata ya Hii kesi
Wewe huna akili,sio wote wasemao bwana bwana watauona ufalme wa mbinguni.Mcha mungu?mcha mungu yupoje?Wewe unawajua wacha mungu?unamjua mbwa mwitu aliyejivisha ngozi ya kondoo?
Anyways! Ndo maana usemi kama vile “Mungu si Athumani” unakuwa na mantiki!Mungu hachezewi,ukiwa huna shida humjui unamjua ukiwa na shida?Maombi yapi na ukahaba ule anaofanyaga?Kwanza si alitangaza kuokoka kipindi ametoka mahabusu?Mbona hakuonyesha kuendelea?