Maombi yatawala nyumbani kwa Lulu

Maombi yatawala nyumbani kwa Lulu

View attachment 621810


Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’.

Mtu wa karibu wa msanii huyo alilidokeza , baada ya kesi hiyo kufikia katika hatua ya hukumu, hivi sasa kila siku maombi yanafanyika asubuhi, mchana na jioni, kwani kwa hali ilivyo hivi sasa, kila kitu kimo mikononi mwa Mungu.

“Si Lulu, si Mama yake, si ndugu zake, kila mmoja anaomba kwa muda wake, wakati mwingine kwa pamoja, au mmoja mmoja, wanachojua wao hatima ya kila kitu ipo mikononi mwa Mungu, ndiyo maana sala zinaelekezwa kwake,”

Lulu anashtakiwa kwa kosa la kumuua bila kukusudia, aliyekuwa mpenzi wake, Steven Kanumba, katika tukio lililotokea nyumbani kwa msanii huyo, Sinza Vatican mwaka 2012.

Baada ya kusikilizwa kwa ushahidi wa Jamhuri, upande wa utetezi na wazee wa mahakama, sasa hukumu hiyo itasomwa Novemba 13, mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam na Jaji Sam Rumanyika.
Aende koko beach akapunge upepo kama siku ile alipouwa
 
Ila Lulu mrembo jamani huyu mtoto! Dr cheni na kanumba walikafaidi sana. [emoji39][emoji39]
 
View attachment 621810


Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’.

Mtu wa karibu wa msanii huyo alilidokeza , baada ya kesi hiyo kufikia katika hatua ya hukumu, hivi sasa kila siku maombi yanafanyika asubuhi, mchana na jioni, kwani kwa hali ilivyo hivi sasa, kila kitu kimo mikononi mwa Mungu.

“Si Lulu, si Mama yake, si ndugu zake, kila mmoja anaomba kwa muda wake, wakati mwingine kwa pamoja, au mmoja mmoja, wanachojua wao hatima ya kila kitu ipo mikononi mwa Mungu, ndiyo maana sala zinaelekezwa kwake,”

Lulu anashtakiwa kwa kosa la kumuua bila kukusudia, aliyekuwa mpenzi wake, Steven Kanumba, katika tukio lililotokea nyumbani kwa msanii huyo, Sinza Vatican mwaka 2012.

Baada ya kusikilizwa kwa ushahidi wa Jamhuri, upande wa utetezi na wazee wa mahakama, sasa hukumu hiyo itasomwa Novemba 13, mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam na Jaji Sam Rumanyika.
Acha akawe chakula kizuri cha wanyampala
 
Kama wanaomba ili haki itendeke kwa pandezote mbili it's fine.
 
Swali la msingi ni kwamba vipi kuhusu ndugu wa kijana aliyeuwawa. Nao maombi yao ni yapi kwa mhusika. Apewe adhabu ya kuua bila kukusudia au asamehewe na aendelee na majukumu yake.
 
Damu ya Yesu iliyomwagika msalabani iliokoa wezi,makahaba,walevi na hata waliodhulumiwa. Naomba ikanene mema juu ya huyu mtoto. Amen.
 
Mungu si mwanadamu. Mungu anafurahi mkosefu anapoiacha njia yake mbaya na kumrudia Mungu. Pia wakati wa shida ndo wakati haswa wa kumrudia Mungu maana Mungu hashughuliki na mambo yanayowezekana kwa mwanadamu bali anashughulika na mambo yaliyo nje ya uwezo wa Mwanadamu. Tusimhukumu mtu, kazi ya kuhukumu ni ya Mungu.
Yah nimekuelewa mkuu
 
Mungu anatoa wakati wowote ila ni vyema zaidi ukafanya maombi kila leo na si kipindi cha shida tu by the way Mungu atakusimamia kwa hili jela si kitu kizuri mbaya zaidi kwa maisha ulioyazoe Lulu hata mwezi mmoja gerezani ni mkubwa sijui wale jamaa wakikupa mvua ya aka 10,20 au 30...itakuwaje ?
Daah! Jaman pole yake bidada aisee kesi ilivyotuliaga tulidhani imefichwa ndani ya kapeti.
 
View attachment 621810


Zikiwa zimesalia siku 12 tu kabla ya hukumu yake kusomwa kufuatia kesi yake ya kuua bila kukusudia inayomkabili, taarifa zinasema maombi na sala zimekua zikitikisa nyumbani kwa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’.

Mtu wa karibu wa msanii huyo alilidokeza , baada ya kesi hiyo kufikia katika hatua ya hukumu, hivi sasa kila siku maombi yanafanyika asubuhi, mchana na jioni, kwani kwa hali ilivyo hivi sasa, kila kitu kimo mikononi mwa Mungu.

“Si Lulu, si Mama yake, si ndugu zake, kila mmoja anaomba kwa muda wake, wakati mwingine kwa pamoja, au mmoja mmoja, wanachojua wao hatima ya kila kitu ipo mikononi mwa Mungu, ndiyo maana sala zinaelekezwa kwake,”

Lulu anashtakiwa kwa kosa la kumuua bila kukusudia, aliyekuwa mpenzi wake, Steven Kanumba, katika tukio lililotokea nyumbani kwa msanii huyo, Sinza Vatican mwaka 2012.

Baada ya kusikilizwa kwa ushahidi wa Jamhuri, upande wa utetezi na wazee wa mahakama, sasa hukumu hiyo itasomwa Novemba 13, mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam na Jaji Sam Rumanyika.
Mnafiki na Kahaba huyu....unaomba asubuhi alafu mchana unatuonyesha picha za nyuchi...stupid.

.....I can't waste time to pray for this ujinga
 
Mie namwomba Mungu ampe haki yake kama ana kosa amsamehe na kumuweka lupango ili iwe fundisho kwa watu wengine kama hana basi Mungu awezeshe kuachiwa huru. Kila kilichofungwa Duniani kimefungwa na Mbinguni pia, tumekubaliana kufunga jela wahalifu na wafungwe, vilevile tumekubaliana kuwaachia huru wema na waachiwe huru. MUNGU wetu ni wa utaratibu hakurupuki kutenda.
 
Mungu hachezewi,ukiwa huna shida humjui unamjua ukiwa na shida?Maombi yapi na ukahaba ule anaofanyaga?Kwanza si alitangaza kuokoka kipindi ametoka mahabusu?Mbona hakuonyesha kuendelea?

We Ni Nani kuhukumu ??? Huyu mtoto Ni mcha Mungu nakaonaga sana kwenye maombi kabla hata ya Hii kesi
 
We Ni Nani kuhukumu ??? Huyu mtoto Ni mcha Mungu nakaonaga sana kwenye maombi kabla hata ya Hii kesi
Wewe huna akili,sio wote wasemao bwana bwana watauona ufalme wa mbinguni.Mcha mungu?mcha mungu yupoje?Wewe unawajua wacha mungu?unamjua mbwa mwitu aliyejivisha ngozi ya kondoo?
 
Wewe huna akili,sio wote wasemao bwana bwana watauona ufalme wa mbinguni.Mcha mungu?mcha mungu yupoje?Wewe unawajua wacha mungu?unamjua mbwa mwitu aliyejivisha ngozi ya kondoo?

Hio Ni kazi ya Mungu..Hata Yesu mwenyew alikuja kwajili ya wenye dhambi.huo u mbwa mwitu na kondoo wake anaujua Mungu. Mm na ww Ni nani kuhukumu ilihali tuna mazito engine kushinda Yake
 
Mchumia janga hulia na wakwao! sheria ichukue tu mkondo wake apate kinachomstahili Mungu ni wa kwetu sote.
 
Mungu hachezewi,ukiwa huna shida humjui unamjua ukiwa na shida?Maombi yapi na ukahaba ule anaofanyaga?Kwanza si alitangaza kuokoka kipindi ametoka mahabusu?Mbona hakuonyesha kuendelea?
Anyways! Ndo maana usemi kama vile “Mungu si Athumani” unakuwa na mantiki!
 
Back
Top Bottom