Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Siendi kuishi mkuu,ni kufika baada ya siku mbili narudiAfu mnasema wanaume wa dar wanalelewa na wanawake, we unatoka kwenu unakuja kukaa kwa mwanamke kapange gesti au panga chumba kabisa ili asije baba mwenye mtoto akakupiga mabusu, kwanza nikuulize...wewe ni handsome?
Hakiksha unatuwakilisha vema wanaume wa mikoani, piga hadi iwe nyekundu, usianze kuleta za kuchoka eti umechoka na safari, wanaume wa mikoani hatuko hivyo. Kazi njema usisahau kuleta mrejesho. Achana na wanaume wa dar wanaosema utatolewa linda, uoga wao ndio unafanya wadharaulike.Umewahi kukutana na mtu kwenye mitandao ya kijamii na mkafahamiana hapo na akakuomba uende kwake kumsalimia
Wanaume tuna roho ngumu,Leo nimeamua kusafiri kwenda Dar kukutana na Dada ambaye tumefahamiana mwezi mmoja uliopita
Licha ya kunihakikishia kuwa anakaa peke yake na mwanae ila bado nahitaji maombi yenu ngumu kuliko sehemu husika nitafika muda wa SAA 4 hivi za usiku
Hii Kali
Bila shaka umebeba magunia ya magimbi na viazi kama zawadi kwa mpenzi asiyejulikana!?
Sasa ataaminije kuwa wewe ni wa mkoani!?Sijabeba chochote mkuu
Hata pesa? Raha ya mgeni aje na mapene. Mwendo wa kula raha tuSijabeba chochote mkuu
Mara awe ex wa mkuu flaniUzi bila picha hauna ushawishi kwa wenye uzoefu Wa kuvaa mabomu kuja kukuombea hapa.. Weka kapicha tumuone