Maombi yenu nasafiri kwenda Dar kukutana na asiyejulikana

Maombi yenu nasafiri kwenda Dar kukutana na asiyejulikana

Afu mnasema wanaume wa dar wanalelewa na wanawake, we unatoka kwenu unakuja kukaa kwa mwanamke kapange gesti au panga chumba kabisa ili asije baba mwenye mtoto akakupiga mabusu, kwanza nikuulize...wewe ni handsome?
Siendi kuishi mkuu,ni kufika baada ya siku mbili narudi
 
Umewahi kukutana na mtu kwenye mitandao ya kijamii na mkafahamiana hapo na akakuomba uende kwake kumsalimia

Wanaume tuna roho ngumu,Leo nimeamua kusafiri kwenda Dar kukutana na Dada ambaye tumefahamiana mwezi mmoja uliopita

Licha ya kunihakikishia kuwa anakaa peke yake na mwanae ila bado nahitaji maombi yenu ngumu kuliko sehemu husika nitafika muda wa SAA 4 hivi za usiku
Hakiksha unatuwakilisha vema wanaume wa mikoani, piga hadi iwe nyekundu, usianze kuleta za kuchoka eti umechoka na safari, wanaume wa mikoani hatuko hivyo. Kazi njema usisahau kuleta mrejesho. Achana na wanaume wa dar wanaosema utatolewa linda, uoga wao ndio unafanya wadharaulike.
 
Una moyo wa ujasiri sana mkuu. Hongera sana!
Binafsi siwezi kusafiri kwaajili tu ya mtu nisiyemjua..labda niwe na safari zangu kwenye huo mkoa niamue kuonana nae
 
Kumfuata binadamu usiyemjua ni hatari...

Tena kutoka mkao mmoja kwenda mwingine....


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom