๐๐๐Sijapenda aje anitake radhiMagogo khaa!!! ๐๐!
Kwakweli hapo amezingua gogo litakaa wapi sasa jamani!๐๐๐Sijapenda aje anitake radhi
Et Jamani ๐๐๐Kwakweli hapo amezingua gogo litakaa wapi sasa jamani!
Hongera sana mkuu
๐๐๐Daktar wake auawe๐Kuna dada nilikutana nae ni bonge naona waliona wakiweka kijiti na mwili wake kitavunjika wakamuwekea gogo kama mwiko wa ugali๐๐
Shukran sana. Nachicha. ."Niko nae hapa analia kinyama mpaka natamani nilie"
Shimbonyi mkuu sijui ndy wanasemaga hvyo huko kwetu kaskazini.
Hongera sana mkuu empire imeongezeka.
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ shkamoo niheshima kubwa mkuu.mana sasahivi vijana kuitoa hiyo salamu nimbindeUnataka muanze kuniamkia shikamoo humu ndani?
Mambo vipi inanitosha๐ maana siku hizi hata road naamkiwa shikamoo father shikamoo brother mpaka na wenye mvi noma. .